Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kumbe ndio story yake ipo hivyo? Hata haifai kuiona.
Yah seriously haifai ila inavyoanza itakuvutia unajikuta umefka katkat ndipo unaona bwana mfalme anapakatwa.
halafu jina lake frozen flower utafikiri sijui nini
 
mimi binafsi niliitizama kwa dakika 30 tu hii movies ya frozen flower,kiukweli sikutegemeya mwanadada Song ji hyo (yesoya) kukubali ofa ya kucheza movie kama ile jinsi nilivyomuona kwenye jumong,crime squad,gye baek nilimchukulia kama ni mwanadada anayejiheshimu sana
Song_Ji-Hyo-p2.jpg

pia hata sikutegemea kama huyu jamaa anayeitwa jo jin moo ambaye ameigiza drama kama vile bichunmo,my love eundong,empress ki naye ningemuona kwenye movie ile lakini ameshinda best actor kupitia ile movie ila wote wapo kazini tunapaswa kuheshimu maamuzi yao
Joo_Jin-Mo-p3.jpg
Ukiwa too connected na waigizaji hawa wa nje utaumia sana maana wao wanaweza igiza chochote kasoro wahindi ndio uwa wanakataa filam kibao za hollywood wakiwekwa scenes za mapenzi mfano yule mwanadada alikataa offer ya kuigiza troy mwingine alikataa fast and furious 7
 
Ukiwa too connected na waigizaji hawa wa nje utaumia sana maana wao wanaweza igiza chochote kasoro wahindi ndio uwa wanakataa filam kibao za hollywood wakiwekwa scenes za mapenzi mfano yule mwanadada alikataa offer ya kuigiza troy mwingine alikataa fast and furious 7
Kweli mkuu daah ila haya mambo hayazuiliki unajikuta unampenda tu mtu yaani kiasi ukiona anafanya madudu unaumia
 
Kweli mkuu daah ila haya mambo hayazuiliki unajikuta unampenda tu mtu yaani kiasi ukiona anafanya madudu unaumia
Haha sure, mimi nilikuwa najiandaa anza check prison break ndipo nikasikia jamaa punga nkaghair sijawah itazama mpaka leo.
usije shangaa siku moja unamuona bidada lupita nyogo naye analiwa.
halafu movie star wars hii mpya imetoka nimemuona kwenye trailer...
 
Halafu sikiwahi itazama mpaka mwisho ilifika mahali nikaanza ona uvivu kuendelea nilipopata three days na the next three days
Mimi mwenyewe mwanzoni niliona uvivu. Kama mara tatu hivi niliiacha nikaja kuangalia baadae baada ya kuangalia zingine
 
Mimi mwenyewe mwanzoni niliona uvivu. Kama mara tatu hivi niliiacha nikaja kuangalia baadae baada ya kuangalia zingine
Mimi niliangalia almost 2/3 ya epsodes zote sema sijui kwanini sikuimaliza.
hivi ile movie ya sex is zero wale wakorea au wachina?
 
Hahaha nimekumbuka slave hunter ni kweli itakuwa ndio swaga zake za uigizaji tumvumilie tu huyu ni Jang Hyuk, lakini hata mimi huwa namfananisha sana na Kim Nam-gil ambaye yuko kwenye bad guy...
Hivi huyu star wa kwenye bad guy si ni yule Binam..kwenye series flan queen star ni demu Deukuman kama sijajosea
 
mara ya kwanza wakati namsikiliza mimi binafsi nilishangazwa na powerful voice yake kama michael bolton nakumbuka nilimtumia Prishaz amsikilize ila hajanipa mrejesho wowote,kiukweli nyimbo zake zote ni nzuri sana ila mimi nimeupenda zaidi ule unaoitwa confession.
na nimependa zaidi kiitikio chake
odiye innayo
where are you
je yaegi jongmal tumishinayo
can you really hear me
kurom pihal linun kayomsun che saran gul algo kyoshingayo
you must know my bleeding love
yosohae juseyo
please forgive me
bol ha shindamyon cho badul kkeyo
if you punish me Ill accept
hona konyomanum jege kunyo hanaman
but her just this one person
horokhal chu soso
let me have her


(1)for you (2)stigma (3) the pain is deeper than love (4) (5) if pass the night
(6)face (7) love - city hunter ost (8)because of love (9) (10) confession

itafute na nyimbo yake inaitwa where are you my love, fight

Hahaha ndio maana nikasema ndio uwanja wako....mrejesho nauweka vizuri ili nikiuleta uwe umekamilika nipe muda kidogo....
 
Back
Top Bottom