Prishaz
JF-Expert Member
- Nov 18, 2011
- 2,898
- 5,020
Sasa wewe hatutofautiani kabisa, nikiwa naangalia scene ya majonzi iambatane na ost ya majonzi mimi naishia kulia tu, na zile msg wanazoandikaga kama wosia ndio basi tena.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Napenda sana miziki ya kikorea,ipo emotional sana.
Sasa kwa mtu emotional kama mimi you can imagine vile nawakubali.
Sasa usikute ktk series kuna scene ya majonzi halafu na OST ikawa ya majonzi...nitalia sana.
I love Koreans kwakweli.
Kuna wakati nasema nitaacha kuangalia wakorea lkn najikuta nawamiss!
.