Mimi movies zenye meneno mengi bila story yenye kueleweka huwa sina muda kabisa, ndiomaana sijawahi kukaa kufuatilia family drama zaidi ya GOLDEN RAINBOW.Mwamba upo kama mimi sijui hawa wanaoipa hiyo movie hizo sifa kwasababu ipi movie imekaa computer iliyopitiliza, story ya kawaida binafsi nilishindwa kabisa kuimaliza nikaamua niifute.Kutokana na kuwa tuna ladha zinazofanana nakushauri usitafute hiyo attorney woo itakuchosha haipo serious ni comedy zile zakujitoa akili
Mkuu tuna taste sawa Sana nimetoka kuimaliza big mouth episode ya 10 huyu director wa hii drama ni fundi haswa by the way mpaka sasa hiv hii drama kwangu ni best kwa Huu mwaka ingawa ni ongoing naomba tu wasiharibu huko mbele. Mkuu kama una list ya drama Kali nitajie maana stock imeishaMimi movies zenye meneno mengi bila story yenye kueleweka huwa sina muda kabisa, ndiomaana sijawahi kukaa kufuatilia family drama zaidi ya GOLDEN RAINBOW.
Genre nazopenda ni :-
-Suspense
-Thriller
-Crime & Investigation
-Melodrama
Hivyo vitatu vyaa juu vikiungana, drama lazima ikae sawa.
Netflix napendea quality ya picha plus sipendi kuhangaika huku na kule... I watch what I find life goes onZipo au hatukuzielewa sana
Sema Netflix ina hyper kubwa sababu ya coverage yake
Mimi nawaaminiaga sana TvN
Na zile za kimaisha JTBC
Asanteee.... hivi hamnaga app dizaini ya Netflix iliyokuwa dominated na movies za Korea???Ni nadra sana kuikuta Netflix drama ya kikorea halafu iwe mbovu, hmmm binafsi sijawahi kuona.
Enjoy mkuu.
Mimi nipe zako 5 bora za Netflix niweke kwa watchlist kama bado sijaziona (can sense tunashare taste kwa ulivyoelezea comment mojawapo)Mkuu nitajie drama mbovu ya kikorea iliyowahi kurushwa Netflix, huenda tunatofautiana taste.
Mkuu nitajie drama mbovu ya kikorea iliyowahi kurushwa Netflix, huenda tunatofautiana taste.
Huyo Mzee nuksi sana kama anatumia kizizi yaani kuna vitu vya ajabu anavifanya waziwazi ila hashtukiwiWanavyoitamka hiyo Mudeok sasa [emoji23].
Mimi nataka nione hatima ya yule Shaman Choi aliyehamishia nafsi yake kwenye mwili wa Queen, kisha nione hatma ya haka kajamaa maana bado sijaishusha 19.View attachment 2338895
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] manake kwanza ncheke
Hiyo nayo kazi
Asante kwa Taarifa kama ni hiyo sitaangaika kuicheki hiyo drama umeokoa mb zanguNimeanza Alchemy of souls ila nimekuwa disappointed kidogo...main character hajui kupigana
Mimi nilikuwa kama wewe mpaka nikaja kulalamika huku, komaa nayo bado kidogo tu utaanza kuifukuzia mwenyewe.Nimeanza Alchemy of souls ila nimekuwa disappointed kidogo...main character hajui kupigana
Utakuwa umejikosesha burudani kwa kuzingatia tathmini ya episode moja au mbili ya drama nzima.Asante kwa Taarifa kama ni hiyo sitaangaika kuicheki hiyo drama umeokoa mb zangu
Huwezi movie ikawa ya action alafu main character akawa ajui kupiganaUtakuwa umejikosesha burudani kwa kuzingatia tathmini ya episode moja au mbili ya drama nzima.
Huwezi movie ikawa ya action alafu main character akawa ajui kupigana
Hahahah nimetoka kushusha episode 10 za big mouthKuna Alchemy of souls halafu kuna ile attorney woo na big mouth... unaweza kujikuta unaacha drama yako unayoangalia ukazirukia manake sio kwa sifa hizi
Side dishesZipo nyingi tu huwa sipendi niangalie drama nikute chata ya Netflix. Ndo maana napenda family dramas ni kama hawawezani nazo,wakorea mule wamejipanga kwenye misosi,kimchi za kila aina
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti kiupinde upinde. Haina bwana pale alitaka kumkata ngebe tu yule mjinga aliyekuwa anamchimbaNumbisa
It's okey not to be okey haina mambo ya upinde huko mbele?
Maana episode one aliposema tu "men" and anamshika jamaa kiupinde upinde nikaishia hapo
Kwamba wewe episode ya kwanza kama main character bado hajajua kupigana unaidump drama nzima?😂Huwezi movie ikawa ya action alafu main character akawa ajui kupigana
Of course nakomaa, ukiacha upungufu huo mambo mengine yapo perfect...nimempenda kijana mmoja mule anafanana na Cha eun woo anatembeza mkono balaaMimi nilikuwa kama wewe mpaka nikaja kulalamika huku, komaa nayo bado kidogo tu utaanza kuifukuzia mwenyewe.