DAEMUSHIN
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,428
- 120,464
Baada ya mapumziko ya miezi miwili nahitaji kurudi tena kwenye huu ulimwengu wa Kdrama.
Zamani nilikuwa siwezi kutimiza hata wiki mbili ila kwa sasa nateleza kama kambare, si ajabu mwezi septemba ukamaliza na bado sijarudi ulingoni
Changamoto kuu niliyoiona ni kupanda kwa gharama za mtandao wa internet, kwa drama inayobeba episode 16 ukitumia tovuti ya kimoi, kisssasian au nkiri utahitaji wastani wa GB 2 hadi 3.
Jaalia una viporo vyako vitatu wataka kuvipasha moto, kule wanakotokea wazazi wangu wanaita mwiku badala ya uporo
Kwa pesa za kitanzania hiyo ni shilingi 6000 kwa kila drama.
Ngoja hawa watu wa hii taasisi wanipe password ya WI-FI yao
Tozonovic kuelekea tozoninho
Zamani nilikuwa siwezi kutimiza hata wiki mbili ila kwa sasa nateleza kama kambare, si ajabu mwezi septemba ukamaliza na bado sijarudi ulingoni
Changamoto kuu niliyoiona ni kupanda kwa gharama za mtandao wa internet, kwa drama inayobeba episode 16 ukitumia tovuti ya kimoi, kisssasian au nkiri utahitaji wastani wa GB 2 hadi 3.
Jaalia una viporo vyako vitatu wataka kuvipasha moto, kule wanakotokea wazazi wangu wanaita mwiku badala ya uporo
Kwa pesa za kitanzania hiyo ni shilingi 6000 kwa kila drama.
Ngoja hawa watu wa hii taasisi wanipe password ya WI-FI yao
Tozonovic kuelekea tozoninho