elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,261
- 9,733
Yah seriously haifai ila inavyoanza itakuvutia unajikuta umefka katkat ndipo unaona bwana mfalme anapakatwa.Kumbe ndio story yake ipo hivyo? Hata haifai kuiona.
Aisee kumbeIle ponography mkuu
Hotel King vipi ni nzuri? Niipakue.Yah seriously haifai ila inavyoanza itakuvutia unajikuta umefka katkat ndipo unaona bwana mfalme anapakatwa.
halafu jina lake frozen flower utafikiri sijui nini
Ukiwa too connected na waigizaji hawa wa nje utaumia sana maana wao wanaweza igiza chochote kasoro wahindi ndio uwa wanakataa filam kibao za hollywood wakiwekwa scenes za mapenzi mfano yule mwanadada alikataa offer ya kuigiza troy mwingine alikataa fast and furious 7mimi binafsi niliitizama kwa dakika 30 tu hii movies ya frozen flower,kiukweli sikutegemeya mwanadada Song ji hyo (yesoya) kukubali ofa ya kucheza movie kama ile jinsi nilivyomuona kwenye jumong,crime squad,gye baek nilimchukulia kama ni mwanadada anayejiheshimu sana
pia hata sikutegemea kama huyu jamaa anayeitwa jo jin moo ambaye ameigiza drama kama vile bichunmo,my love eundong,empress ki naye ningemuona kwenye movie ile lakini ameshinda best actor kupitia ile movie ila wote wapo kazini tunapaswa kuheshimu maamuzi yao
Hahaa mkuu usiogope ni muvi kama muvi zingine sema ile walikuwa wanapeleka kamera hadi chumbaniAisee kumbe
Nzuri lakini siyo action ni story flani ina mauaji ndani yake na kugombea mali na bila kukosa mapenzi.Hotel King vipi ni nzuri? Niipakue.
Kweli mkuu daah ila haya mambo hayazuiliki unajikuta unampenda tu mtu yaani kiasi ukiona anafanya madudu unaumiaUkiwa too connected na waigizaji hawa wa nje utaumia sana maana wao wanaweza igiza chochote kasoro wahindi ndio uwa wanakataa filam kibao za hollywood wakiwekwa scenes za mapenzi mfano yule mwanadada alikataa offer ya kuigiza troy mwingine alikataa fast and furious 7
Nzuri sanaaHotel King vipi ni nzuri? Niipakue.
Haha sure, mimi nilikuwa najiandaa anza check prison break ndipo nikasikia jamaa punga nkaghair sijawah itazama mpaka leo.Kweli mkuu daah ila haya mambo hayazuiliki unajikuta unampenda tu mtu yaani kiasi ukiona anafanya madudu unaumia
Halafu sikiwahi itazama mpaka mwisho ilifika mahali nikaanza ona uvivu kuendelea nilipopata three days na the next three daysNzuri sanaa
Asante next week naanza kuionaNzuri sanaa
Safii
Mimi mwenyewe mwanzoni niliona uvivu. Kama mara tatu hivi niliiacha nikaja kuangalia baadae baada ya kuangalia zingineHalafu sikiwahi itazama mpaka mwisho ilifika mahali nikaanza ona uvivu kuendelea nilipopata three days na the next three days
Mimi niliangalia almost 2/3 ya epsodes zote sema sijui kwanini sikuimaliza.Mimi mwenyewe mwanzoni niliona uvivu. Kama mara tatu hivi niliiacha nikaja kuangalia baadae baada ya kuangalia zingine
Hivi huyu star wa kwenye bad guy si ni yule Binam..kwenye series flan queen star ni demu Deukuman kama sijajoseaHahaha nimekumbuka slave hunter ni kweli itakuwa ndio swaga zake za uigizaji tumvumilie tu huyu ni Jang Hyuk, lakini hata mimi huwa namfananisha sana na Kim Nam-gil ambaye yuko kwenye bad guy...
Ni ya kikorea??Mnaopenda moviea za.mazombie
Train.to busan
Ipo pouwa sana
Hiyo sijaionaMimi niliangalia almost 2/3 ya epsodes zote sema sijui kwanini sikuimaliza.
hivi ile movie ya sex is zero wale wakorea au wachina?
Yes ndio Bidam wa kwenye Queen seondeok uko sahihi...Hivi huyu star wa kwenye bad guy si ni yule Binam..kwenye series flan queen star ni demu Deukuman kama sijajosea
Hahaha ndio maana nikasema ndio uwanja wako....mrejesho nauweka vizuri ili nikiuleta uwe umekamilika nipe muda kidogo....mara ya kwanza wakati namsikiliza mimi binafsi nilishangazwa na powerful voice yake kama michael bolton nakumbuka nilimtumia Prishaz amsikilize ila hajanipa mrejesho wowote,kiukweli nyimbo zake zote ni nzuri sana ila mimi nimeupenda zaidi ule unaoitwa confession.
na nimependa zaidi kiitikio chake
odiye innayo
where are you
je yaegi jongmal tumishinayo
can you really hear me
kurom pihal linun kayomsun che saran gul algo kyoshingayo
you must know my bleeding love
yosohae juseyo
please forgive me
bol ha shindamyon cho badul kkeyo
if you punish me Ill accept
hona konyomanum jege kunyo hanaman
but her just this one person
horokhal chu soso
let me have her
(1)for you (2)stigma (3) the pain is deeper than love (4) (5) if pass the night
(6)face (7) love - city hunter ost (8)because of love (9) (10) confession
itafute na nyimbo yake inaitwa where are you my love, fight