[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alikuwa kila akiongea sentensi anamalizia na 'yoo' sijui hii nayo ni lahaja ya wapi, niliona Mudeok pia kwenye Alchemy of souls anaitumiaMimi katika picha za kikorea sijamuona comedian aliyeitendea haki nafasi hiyo kama huyu mwamba kwenye Emperor of the sea huyu jamaa fundi sana, kwa walioiona hiyo picha alitumia jina la Jong_dal mule full uchizi kuna na wenzake kama watatu hivi.
Hapo ndipo nilijua wakorea noma picha sio ya comedy ila kuna watu wakuchangamsha picha na comedy zao zinahusiana na content ya picha wala haziboiView attachment 2379526
View attachment 2379519
Drama tunaangalia zote muhimu iwe nzuri. Habari ya ku-label watu na drama za aina fulani ushindwe kabisa
Dialect ya countryside kama Busan,Gwangju n.k ukiangalia drama kama Youth Of May,Hometown Cha Cha Cha,Once Upon A Small Town utasikia sana lafudhi hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alikuwa kila akiongea sentensi anamalizia na 'yoo' sijui hii nayo ni lahaja ya wapi, niliona Mudeok pia kwenye Alchemy of souls anaitumia
Okey...Dialect ya countryside kama Busan,Gwangju n.k ukiangalia drama kama Youth Of May,Hometown Cha Cha Cha,Once Upon A Small Town utasikia sana lafudhi hiyo
Inasikitisha sana aisee!!Lemno ndo lee mihno ama maana nae yupo kwenye hio city hunter. Huwa naburudika sana nikipita nyuzi wanapondea wanaoangalia vikorea kwa ujumla halafu nikija humu nakuta mashujaa kama wewe wanaoshabikia baadhi ya vikorea na kuwaona wengine wanapoteza muda kuangalia hivyo hivyo vikorea😂😂😂
raha ya script imuongoze muigizaji na isiwe kinyume chake.[emoji23][emoji23] halafu inavyoendelea inazid kunoga
Mari kamatch vizuri n jihun jaman kuliko kwenye The Veil
ha ji won hajawahi kuni impressNimeianza Empress Ki
Wakati naishusha niliona epi 20 kumbe kuna next page, ziko 51
Yaan mpaka natetemeka [emoji23][emoji23]
ha ji won hajawahi kuni impress
project zake nyingi nimeziepuka sijui kwa sababu gani.
haya nimeshatangaza vita na bwana Ziyech22
Nimeianza Empress Ki
Wakati naishusha niliona epi 20 kumbe kuna next page, ziko 51
Yaan mpaka natetemeka [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]hata mimi sinaga moto nae sijui kwa sababu anavyojikutana mgumu.ha ji won hajawahi kuni impress
project zake nyingi nimeziepuka sijui kwa sababu gani.
haya nimeshatangaza vita na bwana Ziyech22
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Noma sanaLemno ndo lee mihno ama maana nae yupo kwenye hio city hunter. Huwa naburudika sana nikipita nyuzi wanapondea wanaoangalia vikorea kwa ujumla halafu nikija humu nakuta mashujaa kama wewe wanaoshabikia baadhi ya vikorea na kuwaona wengine wanapoteza muda kuangalia hivyo hivyo vikorea[emoji23][emoji23][emoji23]
Aiseeeh, hivi hakuna Mserereko wowote wa Tigo au Halotel? Hii wire tun ilikuwa nzuri kwa tigo ila now ipo slow sana.
Nani huyoEbwana eeh kuna actresses wazuri aisee utafikiri hawavuti hii oxyven tunayovuta sisi wao wana pro max.[emoji23]
Kuna huyo mmoja kaniacha speechless [emoji1316][emoji23][emoji23]
Shin HayoungAnaitwa nani?
raha ya script imuongoze muigizaji na isiwe kinyume chake.
Namgoong min wa humu ndani yupo tofauti kabisa na yule tuliyemuona ndani ya stove league, doctor prisoner na the veil drama.
mischievous.
episode 4 walipotembelea ofisi ya babu yake binti marishi kama anavyomwita mwenyewe, akakutana na logo ya kampuni inaitwa BAEK:
akaunganisha dot mpaka kwa baek mari, binti katika kujitetea akatoa mifano ya BAEK ji YOUNG hadi baek seungsoo,
alipotajwa baek seung soo bwana cheon ji hun akashituka na baadae akamuuliza baek mari:
cheon ju hun: huyo baek seung soo umemjuaje
baek mari: alikuwa ni character katika stove league drama
cheon ji hun: hiyo drama natamani iendelee season 2 yake
daemushin: akawa na tabasamu huku akiwa ameshikilia simu yake ya tekno M3
talnam hapo uliachwa katika huo mjadala?
dont tell me