Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Mimi katika picha za kikorea sijamuona comedian aliyeitendea haki nafasi hiyo kama huyu mwamba kwenye Emperor of the sea huyu jamaa fundi sana, kwa walioiona hiyo picha alitumia jina la Jong_dal mule full uchizi kuna na wenzake kama watatu hivi.

Hapo ndipo nilijua wakorea noma picha sio ya comedy ila kuna watu wakuchangamsha picha na comedy zao zinahusiana na content ya picha wala haziboiView attachment 2379526

View attachment 2379519
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alikuwa kila akiongea sentensi anamalizia na 'yoo' sijui hii nayo ni lahaja ya wapi, niliona Mudeok pia kwenye Alchemy of souls anaitumia
 
Hii inaitwaje ? mimi hizi ndizo muvi zangu hizi za kina sijui LemiNo na wavaa suti na vimodo za town wanazocheki wakina Khantwe Numbisa na wengine humu sikikubali labda ziwe za kijasusi kama City hunter , A man Called nk mimi nakubali za pori zitembee panga na stori kali.
Drama tunaangalia zote muhimu iwe nzuri. Habari ya ku-label watu na drama za aina fulani ushindwe kabisa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] alikuwa kila akiongea sentensi anamalizia na 'yoo' sijui hii nayo ni lahaja ya wapi, niliona Mudeok pia kwenye Alchemy of souls anaitumia
Dialect ya countryside kama Busan,Gwangju n.k ukiangalia drama kama Youth Of May,Hometown Cha Cha Cha,Once Upon A Small Town utasikia sana lafudhi hiyo
 
Lemno ndo lee mihno ama maana nae yupo kwenye hio city hunter. Huwa naburudika sana nikipita nyuzi wanapondea wanaoangalia vikorea kwa ujumla halafu nikija humu nakuta mashujaa kama wewe wanaoshabikia baadhi ya vikorea na kuwaona wengine wanapoteza muda kuangalia hivyo hivyo vikorea😂😂😂
Hii inaitwaje ? mimi hizi ndizo muvi zangu hizi za kina sijui LemiNo na wavaa suti na vimodo za town wanazocheki wakina Khantwe Numbisa na wengine humu sikikubali labda ziwe za kijasusi kama City hunter , A man Called nk mimi nakubali za pori zitembee panga na stori kali.
 
Lemno ndo lee mihno ama maana nae yupo kwenye hio city hunter. Huwa naburudika sana nikipita nyuzi wanapondea wanaoangalia vikorea kwa ujumla halafu nikija humu nakuta mashujaa kama wewe wanaoshabikia baadhi ya vikorea na kuwaona wengine wanapoteza muda kuangalia hivyo hivyo vikorea😂😂😂
Inasikitisha sana aisee!!
 
[emoji23][emoji23] halafu inavyoendelea inazid kunoga

Mari kamatch vizuri n jihun jaman kuliko kwenye The Veil
raha ya script imuongoze muigizaji na isiwe kinyume chake.
Namgoong min wa humu ndani yupo tofauti kabisa na yule tuliyemuona ndani ya stove league, doctor prisoner na the veil drama.

mischievous.

episode 4 walipotembelea ofisi ya babu yake binti marishi kama anavyomwita mwenyewe, akakutana na logo ya kampuni inaitwa BAEK:

akaunganisha dot mpaka kwa baek mari, binti katika kujitetea akatoa mifano ya BAEK ji YOUNG hadi baek seungsoo,
alipotajwa baek seung soo bwana cheon ji hun akashituka na baadae akamuuliza baek mari:

cheon ju hun: huyo baek seung soo umemjuaje
baek mari: alikuwa ni character katika stove league drama
cheon ji hun: hiyo drama natamani iendelee season 2 yake

daemushin: akawa na tabasamu huku akiwa ameshikilia simu yake ya tekno M3
talnam hapo uliachwa katika huo mjadala?
dont tell me
 
Aina yake ya kuigiza huwa naona anajiamini mpaka anapitiliza viwango vya kujiamini. angekua bongo ungesema yeye ndo actress,director,makeup artist, stylish, etc yaani kama akina ray kigosi vile
ha ji won hajawahi kuni impress
project zake nyingi nimeziepuka sijui kwa sababu gani.

haya nimeshatangaza vita na bwana Ziyech22
 
ha ji won hajawahi kuni impress
project zake nyingi nimeziepuka sijui kwa sababu gani.

haya nimeshatangaza vita na bwana Ziyech22
[emoji23][emoji23][emoji23]hata mimi sinaga moto nae sijui kwa sababu anavyojikutana mgumu.

Type zangu ni akina Han Hyo Joo,Han Ji Min,Seo Hyun Jin,Lee Da Hee,Yoo In Na na akina noona wengine wenye charms zao[emoji16]
 
Lemno ndo lee mihno ama maana nae yupo kwenye hio city hunter. Huwa naburudika sana nikipita nyuzi wanapondea wanaoangalia vikorea kwa ujumla halafu nikija humu nakuta mashujaa kama wewe wanaoshabikia baadhi ya vikorea na kuwaona wengine wanapoteza muda kuangalia hivyo hivyo vikorea[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Noma sana
 
Ebwana eeh kuna actresses wazuri aisee utafikiri hawavuti hii oxyven tunayovuta sisi wao wana pro max.[emoji23]

Kuna huyo mmoja kaniacha speechless [emoji1316][emoji23][emoji23]
 
Nani huyo
[emoji1313]
photo1308786.jpg

View attachment 2380121View attachment 2380118View attachment 2380120View attachment 2380119View attachment 2380122
 
raha ya script imuongoze muigizaji na isiwe kinyume chake.
Namgoong min wa humu ndani yupo tofauti kabisa na yule tuliyemuona ndani ya stove league, doctor prisoner na the veil drama.

mischievous.

episode 4 walipotembelea ofisi ya babu yake binti marishi kama anavyomwita mwenyewe, akakutana na logo ya kampuni inaitwa BAEK:

akaunganisha dot mpaka kwa baek mari, binti katika kujitetea akatoa mifano ya BAEK ji YOUNG hadi baek seungsoo,
alipotajwa baek seung soo bwana cheon ji hun akashituka na baadae akamuuliza baek mari:

cheon ju hun: huyo baek seung soo umemjuaje
baek mari: alikuwa ni character katika stove league drama
cheon ji hun: hiyo drama natamani iendelee season 2 yake

daemushin: akawa na tabasamu huku akiwa ameshikilia simu yake ya tekno M3
talnam hapo uliachwa katika huo mjadala?
dont tell me

Hapana sikuachwaa

Mari alimalizia hata we hujui itatoka lini[emoji1787][emoji1787]

Dah nlifurahi sanaa kama nilikua character mule
Na ujue stove league ndo nilimjua Nam goo min ingawa nilimfata Park Eun Bin kutoka kwenye Do you like brahms
 
Back
Top Bottom