Sasa wewe hatutofautiani kabisa, nikiwa naangalia scene ya majonzi iambatane na ost ya majonzi mimi naishia kulia tu, na zile msg wanazoandikaga kama wosia ndio basi tena.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Napenda sana miziki ya kikorea,ipo emotional sana.
Sasa kwa mtu emotional kama mimi you can imagine vile nawakubali.
Sasa usikute ktk series kuna scene ya majonzi halafu na OST ikawa ya majonzi...nitalia sana.
I love Koreans kwakweli.
Duuuuu ina nini cha ziada mkuu, mbona budget kubwa saanainaonekana maslahi yalikuwa mazuri kwa sababu budget nzima ya movie ilikuwa usd 10 million
Umeiona? Kama umeiona ungekuwa umekiona hicho cha ziadaDuuuuu ina nini cha ziada mkuu, mbona budget kubwa saana
hahah Aigooo Anjumaaa [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aigooo aigoooo JF nasi tuna kijiwe chetu cha kikorea.
Hahahah wakorea wa JF tukiongozwa na gwiji Damushinmuhyool
Asante sana mkuu kwa uchambuzi huu. Ama hakika huwa naumia sana nikisikia waigizaji niwapendao wanaenda kulitumikia jeshi.
Mwanzoni nilidhani ni wanaenda kwa hiyari kumbe ni sheria,safi sana.
Nitammiss sana Lee Min Ho na Kim Soo Hyun.
Vipi mkuu Bidam nasikia baada ya kulitumikia jeshi aliachana na kazi ya uigizaji na kuwa mjeshi kabisa,ni kweli?
Yeap n koreaNi ya kikorea??
BalaaaaYes ndio Bidam wa kwenye Queen seondeok uko sahihi...
hahahahaaaaa nahisi hamuna[emoji23] [emoji23] [emoji23] Hivi Soju ipo Tzee kweli?
naomba mwenye link ya GIANT anisaidie nianzie kupakua mzigo muda huu...
shukrani mkuuGiant With Eng Subtitles
Hizi links za chini hazina subtitles.
Unaweza kuzi-download subtitles zake kwa kubofya hapa.
s1.asia1drama.ir - /Giant/
Giant
_____
Jifundishe jinsi ya kuzipata links za Dramas nyengine kwa bofya hapa.
Kama uko Arusha njoo tufanye biashara..ninayo yote (complete)mkuu msaada wa link nitakayoweza kupakua drama ya kikorea inayoenda kwa jina la Arrows on the bowstring, kwenye hizo links ulizoweka sikupitia zote ila nimeitafuta bila mafanikio
Iko good gud..nimeicheki
Watching this season the so-called THE K2.
Then utanipa mrejesho.