Hii drama imenishinda kabisa yani
Naisubiri kwa hamuInayo itaanza kuonyeshwa December
siipati ya 1080kimoitv
siipati ya 1080
Njoo PM nikupe tricks za kuiunganisha ipige kazi.Nikitumia ttcl inakataa kuconnect kabisa...wiki hii yote nimekuwa nikijaribu kuunganisha inagoma
Ngoja nikuambie wakorea hawakosei kabisa.Mpaka sasa sijapata mpinzani wa SIX FLYING DRAGON
tupo pa moko kitambo sana uzi niliona nakumbuka toka 21 hivi but skupata fursa ya kuachia comment languMkuu ndio umeuona uzi leo? Karibu kijiweni
Aisee kuna lidubwana nimelicheki hivi karibuni la kikorea linaitwa KUNDO ni balaa sana hili na ndio filamu ya kwanza ya wakorea naiona sterring ana sura ngumu ni bonge la filamu na epsode zake chache tu linaisha unatamani ingeendelea hivi.Ngoja nikuambie wakorea hawakosei kabisa.
Unaweza ukadhani hio ndio Kali kuliko zingine sababu hujapata muda wa kuzitazama kwa ukaribu zingine.
Kwa kweli wewe ni Fan mzuri wa Kdrama basi zicheki drama. Zingine
Mfano baada ya six flying dragons check ya King of tears:Lee bang won halafu tafakari
Mkuu nipo Nipo Mwanza unaweza nisaidia Nywila Pm nikashushe mzigoUngekuwa mwanza ningekupa password ya Hotel moja maarufu ipo katikati ya jiji, ukifika pale kuna WiFi ina kasi ambayo sijawahi fikiria unasimama tu pale pembeni kitu kinasoma unashisha episode hata 30 (unavyotaka) kisha unaendelea na mishe zako.
Mimi kila nikienda town naegesha tu gari kwa nje( parking) nashisha epsode za week nzima halafu napotea[emoji23].
Password nilipewa na rafiki yangu mmoja mmoja ni staff pale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nikicheki kava katokea mtu haeleweki sikufuatilia kabisa..Aisee kuna lidubwana nimelicheki hivi karibuni la kikorea linaitwa KUNDO ni balaa sana hili na ndio filamu ya kwanza ya wakorea naiona sterring ana sura ngumu ni bonge la filamu na epsode zake chache tu linaisha unatamani ingeendelea hivi.
Under the Queen UmbrellaKwa anaependa ongoing km mimi kindly usiache kucheki hizi:
👉Blind
👉The Golden spoon
👉One dollar lawyer
👉Empire Law
👉Under the Queen umbrella
Hii kitu ni moto ila kuna vigongo vingi tu wakorea ni shida mkuu.Mpaka sasa sijapata mpinzani wa SIX FLYING DRAGON
Romantic doctor ya kwanza sijaimaliza,ngoja niendelee kusubiriSubiria romantic doctor kim season 3 inakuja.
Nafikiri ni 2023
atari sana mzee kama mpenzi wa action za viwana na story ya kuvutia lichekiMimi nikicheki kava katokea mtu haeleweki sikufuatilia kabisa..
Under the queen's umbrella iko poa kastory kake kanavutia kwakweli!Under the Queen Umbrella
Nimetizama Medical drama nyingi ila hiii Dr romantic mwisho wa matatizoo zile scene za OR ni fire manRomantic doctor ya kwanza sijaimaliza,ngoja niendelee kusubiri
Mimi nahisi zile kelele zinamhamasisha farasi kukimbia na hiyo ooohhhh ni ya kumwambia asimameKuna uhusiano gani wa kukimbiza farasi huku ukipiga kelelee!!!
Hiyaa!!!
Hayaaa!!!
Yaaaa!!!
OOOhhhhhh!!!
Kwa wale wanaoangalia historical drama itakuwa wamenielewa