Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Umenikumbusha hizi moments ..

Lady Jungwa & Yum_moon

View attachment 2409561Halafu akashindilia msumari wa mwisho kikatili mno ,Mwanangu Yum_moon the Pirate haijawahi kupenda chochote zaidi ya huyo manzi.View attachment 2409566


Wakati huyu huzuni kwengine furaha General Hae_mosu alivyokutana na Lady Yuhwa kea mara ya kwanza baada ya mika 20 huku ikidhaniwa General ameshafariki .Mambo yalikuwa mazuri sana kwa upande wao.View attachment 2409574
Hii Ngoma wakati naiangalia ilinichosha kutokana na urefu wake ila sikukoma kutokana na utamu wake ilikuwa ndio series yangu ya kwanza. Kuna kipindi nilitamani nilitamani niweke screen kwenye dari ili niwe naandalia nimelala maana kiuno kilikuwa kinauma shauri ya kukaa.

Ila naishukuru hii series ilinipatia mpenzi wa nguvu
 
nimechungulia nikafanikiwa kumuona moonbyul wa mamamoo,
nilidhani huyu binti ni rapper tu.
kumbe ni vocal wa kiwango cha juu.
wakorea wanashangaza sana

Mamamoo si ndo mavocalist wa viwango hivoo
Ila nampendaga Exy
Huyu JooE ana sauti nzuri ila sijui kuhema hema kwa hofu anakwama
Haka katoto je?

Sasa hawaja subtitle kuanzia ep ya 5[emoji35]
 
nimechungulia nikafanikiwa kumuona moonbyul wa mamamoo,
nilidhani huyu binti ni rapper tu.
kumbe ni vocal wa kiwango cha juu.
wakorea wanashangaza sana
Wengi ni multi talented that's why huwa wananidatisha sana!

Ukienda pale SM Entertainment kuna rappers wengi ila kama kawaida ya Lee Soo Man katika scouting yake huwa anaangalia kwanza vocalists wa maana.

SM Town ni wakali wa vocals hata rapper wa pale anaweza kukuimbia ballad akakupagawisha.
Kuna girl group Aespa wale ni rappers wote ila kuna ballad moja hivi waliiimba inaitwa Forever ukipata time icheki balaa lao.

Upande wa Mamamoo wote ni vocalists wazuri sana Solar na Wheein wakifuatiwa na Hwasa nao wana balaa.

Hata actors wengi pia ni vocalists wazuri ila wamejikita sehemu moja
 
Hajazeeka tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kawa mtu mzima kidogo.

Ila jamaa alicheza vizuri kwenye Jumong kama mtu kwenye mzuka muda wote akizinguliwa na hasira hadi zinamkaba na macho yanamtoka.

Ana visasi hatari.

Sijui why hawajampa drama nyingi labda nimeona chache

Kuna Moja inaitwa Royal inspector alicheza kawa episode chache alidead mule.

Mtu ambaye mpaka Sasa sijamuona kwenye drama zingine aliecheza kama Young-po kwenye Jumong the brainless prince[emoji1787]

Anyway wakorea wako vizuri.

Nilikuwa naicheki MY liberation notes mwanzo ilikuwa hainivutii huko mbeleni ikawa tamu sana inazungumzia watu ambao ni introverts jinsi wanavyopata ugumu kusocialize.

Sema mwishoni wameiharibu imeisha kijinga sijapeplnda kwakweli.
 
banter

kuna mbunge anaitwa sereweji, laptop yake amejaza season za wakorea kuliko nyaraka za mipango mikakati ya jimboni kwake gamboshi.

mtafute hapo dodoma, mke wake analalamika tokea apewe gari ya millioni 50 ameshindwa kurejea kwao mwanakwerekwe

Aiseee
 
Wazee wa Alchemy Of Souls mwezi mmoja umebaki tukatambe
20221110_121121.jpg


Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom