hahahaaaa hiyo series ni konyo hatari...........panga znachezwa kwa akili na mahesabuSix flying dragons ni moto..!!!
Tangu niangalie Emperor of the Sea sijawahi kutana na historical drama ya Kikorea iliyosimama kama hii..!
tafuta kitu inaitwa jackpot au dae bak nayo ni nzuriAhahaaaaaah...
Ulivosema habari ya modo nimekumbuka City Hunter...
Humo ndani kuna kijana ananyuka vimodo ni hatari..!
Ni ya kijijini..!?tafuta kitu inaitwa jackpot au dae bak nayo ni nzuri
Six Flying Dragons ni moto wa kuotea mbali mkuu..!!!hahahaaaa hiyo series ni konyo hatari...........panga znachezwa kwa akili na mahesabu
wale matween niliwapenda bure na yule dada na style zake
Zinakua na subtitles?dramafire.com
Nimejaribu kuigoogle kidogo,story yake imenivutia sana...Kuna Korean series moja inaitwa JANG GIL SANG.. Please itafute hiii!!
It's one of the best
ndio ya kijijiniNi ya kijijini..!?
Kama ni ya kijijini nitaitafuta..!
Yap ina subtitlesZinakua na subtitles?
Nimekuwa mpenzi mkubwa sana wa Korean Historical Drama...
Kwakweli huwa navutiwa sana nikiziangalia...
Historical Drama ambazo nimefanikiwa kuzitazama mpaka sasa ni;
Kama kuna Korean Historical Drama kali ambayo umeshaitazama na sijaitaja hapo juu itaje tafadhali ili niitafute..!
- Jumong
- Land of wind
- Emperor of the sea
- Dream of the emperor
- God of war
- Kim Soo Ro
- Gye Baek
- Dae Jo Yeong
- Gu Family Book
- Warrior Baek Dong Soo
- Slave Hunter
- King Gwanggaeto
2Zilizotoka ni Season 1 & 2.
Unazungumzia ipi?
Mkuu...Jumong na Emperor of the Sea kwangu ndiyo mujarabu kabisa.
Mkuu...
Itafute na Six Flying Dragons...
Nafikiri hautojuta kupoteza muda wako..!
Kuna Korean series moja inaitwa JANG GIL SANG.. Please itafute hiii!!
It's one of the best
Inapatikana...Ngoja niitafute.
Vipi inapatikana mtandaoni?
Inapatikana...
Ingia kissasian.com utaikuta..!
ne jinjjalo yoChinchaa???
mtafute huyu jamaa anaitwa jo sung mo. Ni ballad singer ila utakapo msikiliza lazima uwe umeshiba kwa sababu huenda ukasamehe kula kutokana na sauti yake, wakati namtumia Prishaz nilimwambia aniletee mrejesho ila tumepoteana sijui amekutana na makonda.Napenda sana miziki ya kikorea,ipo emotional sana.
Sasa kwa mtu emotional kama mimi you can imagine vile nawakubali.
Sasa usikute ktk series kuna scene ya majonzi halafu na OST ikawa ya majonzi...nitalia sana.
I love Koreans kwakweli.
hahahahahahaaaaaaaaaaa mimi nataka uniletee siku ya harusi yangu (inshaa allah) na vazi langu itakua ni hilo.watu wananisubiri bwana harusi msikitini wananikuta nimevaa vazi la mfalme Taejo (yi seong gye)Hahahaha hiyo siku ikifika najitolea kukununulia Hanbok.