Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kuna scene jamaa alipewa part acheze na ex wake kissing scene baada ya kushoot mwamba akakimbilia bafuni kupiga mswaki huku akijitapisha dah halafu unfortunately demu akaona aisee acha machozi yamlenge kwa hasira akiona kama kafanyiwa harassment kubwa sana.

Nilimuonea huruma yule mdada ukizingatia ni byuti byuti anadeserve better
Hizi kissing scenes za drama za sikuhizi niliona knetizens wakisema kwamba ML wengi hawapo comfortable pia...
Wadada wengi wananyanyasika wakati wanashoot hizi scene.
Kissing scenes zimezidi sana sikuhizi tofauti na za kitambo hakuna ku sexisha sana actors
BTW love to hate you ilikuwa best
 
Hizi kissing scenes za drama za sikuhizi niliona knetizens wakisema kwamba ML wengi hawapo comfortable pia...
Wadada wengi wananyanyasika wakati wanashoot hizi scene.
Kissing scenes zimezidi sana sikuhizi tofauti na za kitambo hakuna ku sexisha sana actors
BTW love to hate you ilikuwa best
Sema kiss za zamani walikuwa wanagusishana lips tu miaka ya 2005-2012.

Now ni kiss nzito hadi najiulizaga kama wanayonyana lips na ndimi.kweli[emoji23]

Sema ukifuatilia mkasa wa Kim Jung Hyun na Seohyun kwenye drama ya Time utaelewa why mastaa wanakatazwa kudate ili wasiharibu kazi zao
 
Sema kiss za zamani walikuwa wanagusishana lips tu miaka ya 2005-2012.

Now ni kiss nzito hadi najiulizaga kama wanayonyana lips na ndimi.kweli[emoji23]

Sema ukifuatilia mkasa wa Kim Jung Hyun na Seohyun kwenye drama ya Time utaelewa why mastaa wanakatazwa kudate ili wasiharibu kazi zao
Kwa kweli watu wanaodate mastaa wana kazi sana mimi siwezi [emoji16][emoji16]
 
Sema kiss za zamani walikuwa wanagusishana lips tu miaka ya 2005-2012.

Now ni kiss nzito hadi najiulizaga kama wanayonyana lips na ndimi.kweli[emoji23]

Sema ukifuatilia mkasa wa Kim Jung Hyun na Seohyun kwenye drama ya Time utaelewa why mastaa wanakatazwa kudate ili wasiharibu kazi zao
Wakatazwa kudate au wanakatazwa kudate na mastar wenzao?

Sijaelewa hapo.
 
Sema kiss za zamani walikuwa wanagusishana lips tu miaka ya 2005-2012.

Now ni kiss nzito hadi najiulizaga kama wanayonyana lips na ndimi.kweli[emoji23]

Sema ukifuatilia mkasa wa Kim Jung Hyun na Seohyun kwenye drama ya Time utaelewa why mastaa wanakatazwa kudate ili wasiharibu kazi zao
Hizi kiss za sahivi ni real kabisa sometimes mpk sauti za mgusano wa midomo zinatoka,yaani kissing scene dk1 na nusu kweli[emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom