Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Drama: Love rain
Year: 2012
Category: Romance
Synopsis: Love at first sight.............
s-l500(0).jpg
love_rain22(1).jpg

My favourite love story so far. Hii ni worth watching
 
Naombeni love story nzuri angalizo isiwe ya kitoto, ina mazingira ya shule na mwisho kabisa isiwe imechezwa na teenager's
KWANINI USALITIWE NA MWENZA WAKO KISA HUMRIDHISHI, unawahi kufika kileleni kabla yake, unashndwa unashindwa kuendelea awamu ya pili, dhakari yako inasimama legelege, kukosa hamu ya tendo, kutosimamisha dhakari. Ni lazima atakusaliti tu.Tupigie au whatsApp 0658283250 X POWER MAN, ni dawa mujarab kwa ajili ya kumaliza matatizo hayo

PIA TUNA TIBU MAGONJWA YAFUATAYO
[emoji637] Vidonda vya tumbo (ulcers)
[emoji638] Bawasiri ya ndani na nje
[emoji639] Tezi dume
[emoji640] Fungus na UTI sugu
[emoji641] Ngiri kwa wanaume (korodani kuvimba)
[emoji642]Miguu kuwaka moto na kupasua.
[emoji643]Kuondoa chunusi na makovu Mwilini
[emoji644]Heshima ya ndoa (Nguvu za kiume)
[emoji645]Kupunguza uzito na kuondoa Kitambi
[emoji647]Dawa ya jino bila kung'oa.
Pia tunatoa huduma ya counselling (Ushauri Wa kiafya)
Kwa msaada wa haraka zaid piga 0658283250

Kuchat na Doctor bonyeza link

FB_IMG_1679939812526.jpg
 
Humo ndani ameigiza pamoja na yoo seung ho.

Wote wakiwa watoto wadogo, cha ajabu yule dogo aliyeigiza starring career yake haijawa kubwa kulinganisha na hao wawili.

Maajabu ya maisha yapo hapo, si kila unayemtangulia utaendelea kumuongoza mileleee
Ulivyotaja utoto wa Yoo Seung Ho umenikumbusha Park Eun Bin.

Wamcheza sana pamoja utotoni chemistry yao unawwza kuifananisha na ya Yeon Jin Goo & Kim Yoo Jung
 
Humo ndani ameigiza pamoja na yoo seung ho.

Wote wakiwa watoto wadogo, cha ajabu yule dogo aliyeigiza starring career yake haijawa kubwa kulinganisha na hao wawili.

Maajabu ya maisha yapo hapo, si kila unayemtangulia utaendelea kumuongoza mileleee
[emoji16][emoji16] ndio unaambiwa kutangulia sio kufika. Ila Yoo seung ho ina maana 2023 inapita bilabila? Simuelewi ujue[emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom