Shaibu Hiwalisi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 603
- 582
Korea zote kwa ujumlaKorea gani sasa kusini au kaskazini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Korea zote kwa ujumlaKorea gani sasa kusini au kaskazini?
Haya Mr, ila ukileta mambo kijinga Kim Jung un wa north Korea lazima akunyonge.Korea zote kwa ujumla
aksante mkuu.. maana niliianza nikashindwa hata kuimaliza episode ya 1. nitajaribu tena na tenaAisee defendant ni Nzuri, ajabu mm nilimpenda adui zaidi kuliko star, kuhusu missing nine nakuahidi hutojutia maana mimi binafsi naiangalia, ipo vizuri,
Doctor stranger ni jipu sana...yan kila dakika surgery mpaka ina boa duh..angalia kitu cha may queen mkuu halaf rudisha majibuWakuu kwa aliecheki Doctor stranger anipe mrejesho mi nimecheki mpka episode ya 11 naona inaniboa sana ,
nimeamua kubadili user name kutoka Damushinmuhyool kuwa DamushinDamushinmuhyool usishangae nlikuwa najaribu kuandika id yako[emoji23][emoji23]
Choonaa...doctor stranger ni jipuu...hata inavyomalizika tu..baba hivi yule mchiz wa binchum manual(dance in the sky)...alipiga ule mzigo tuu au kuna mingineaigooooo umesahau kama doctor stranger ni medical drama.
Labda binaadamu tunatofautiana coz mi huwa napendaga vicheko vyake balaa! Kwenye VOICE hata sijafurahi kivile kwani muda mwingi alikuwa yuko serious! (Kiufupi ile personality yake inanivutia).kupitia thread hii nimeamua kutangaza rasmi ya kwamba nitakapomaliza kuangalia Fated to love you sitaangalia tena drama itakayochezwa na Jang hyuk kwa sababu nimechoshwa na vicheko vyake na nahisi humu kapitiliza. episode ya 1 amecheka kama mara 10.
![]()
nikikumbuka vicheko vya kwenye The merchant Gaekju, shine or go crazy,chunno,deep root tree na humu na hisi balaa.
![]()
![]()
nimeamua kunyoosha mikono juu kwa huyu mtu wenu.
ila hii drama nimevutiwa zaidi na ost.
Ailee (beyonce wa korea) - good bye my love
jung dongha - destiny sonata
you are my everything -melody day
Myong Seok anafanya masihara sijui anaongea kimasai kile lakini sio Kiswahili hahahaha....Chief Kim imetulia sana ile tamthilia nimeimaliza jana naikumbuka sana sasa dah inachekesha kupindukia.View attachment 489109 View attachment 489111 Wakuu,
Kuna ambae anaangalia "Chief Kim"?
Huwa nachekaga sana pindi Myung Suk anapoongea Kitanzania. Hahaha!
A man called a god ni ya 2010 IRIS ya 2009 mkuu kwa hiyo kama kuna aliyemuiga mwenzake atakuwa ni A man called a god ingawa binafsi sijaona kama zimefanana hata kidogo zote zina uzuri wake.A man called a god naona imefanana zaidi na city hunter ingawa pia city hunter hadithi yake imechukuliwa kwenye katuni ya kijapan inayoitwa Tsukasa Hojo au city hunter hivyohivyo kwa kiingereza ya tangu miaka ya 90 huko.iris naona waliiga zaidi kutoka kwa A MAN CALLED GOD hatari hiyo kitu
Aigoo acha kumnyanyapaa Jang Hyuk wangu bhana mi nampendaga[emoji85]kupitia thread hii nimeamua kutangaza rasmi ya kwamba nitakapomaliza kuangalia Fated to love you sitaangalia tena drama itakayochezwa na Jang hyuk kwa sababu nimechoshwa na vicheko vyake na nahisi humu kapitiliza. episode ya 1 amecheka kama mara 10.
![]()
nikikumbuka vicheko vya kwenye The merchant Gaekju, shine or go crazy,chunno,deep root tree na humu na hisi balaa.
![]()
![]()
nimeamua kunyoosha mikono juu kwa huyu mtu wenu.
ila hii drama nimevutiwa zaidi na ost.
Ailee (beyonce wa korea) - good bye my love
jung dongha - destiny sonata
you are my everything -melody day
Kweli bhana af hata kwenye Shine or Go crazy hajacheka sana muda mwingi alikuwa seriousLabda binaadamu tunatofautiana coz mi huwa napendaga vicheko vyake balaa! Kwenye VOICE hata sijafurahi kivile kwani muda mwingi alikuwa yuko serious! (Kiufupi ile personality yake inanivutia).
Sejong huyu alifanya makubwa sana na aliteuwa watu kulingana na talanta zao na si family status ndio kipindi ambacho kulitokea na mwanasayansi mkubwa kabisa wa Korea na akapata nafasi serikalini japo alipata ugumu kutoka kwa Confucius scholars ambao ndo mfumo uliokuwa unaendesha serikali.Utawala wa mfalme gani uliokuvutia katk watawala hawa?
1.jumong
2.daemusin
3.gwanggaeto
4.bojang
5.dae jo yeong
6.gonchogo
7.kim chun chu
8.seon duk
9.krong ryong
10.goong yi
11.wang gun na
12.sejong
K2 imechangamka sana haichoshi kuangaliaDefendant tuliokuwa tunafuatilia naona imeisha vyema kwa both parties kuwa satisfied. Kuna hii K2 na missing nine zipo vipi? nisijemaliza bundle langu bure
THE HONG FAMILY wananifurahisha sana mambo yao.Wakuu kuna inayoendelea sasa hivi inaitwa REBEL ni balaa