Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Wakorea hawajakukosea aisee kuna series moja hv inaitwa
KING GWANGGAETO n hataree inafanana na Jumong
King gwanggaeto kwangu ndio itabaki the best historical drama....yan ni kali hadi inaboa....ina episode 90+ lakini huwez ichoka...


Post sent using JamiiForums mobile app
 
Naangalia EMPRESS KI hapa

Post sent using JamiiForums mobile app
 
N kwel nmesema sio zote ukichek zile za mujin mujin huwa hakunaga ila zle za kijijin ndo nyng mf ile empress Ki au bichunoo/dance in the sky
Ngoja nikakague vzur kwenye library yng ambazo nmeziangalia huwa wanakufa mwshon ntakuletea mrejesho
No usiniletee. Kuna zingine nna mpango wa kuziangalia sasa ukiniambia mwisho utakuwa umeniharibia hamu ya kuangalia
 
Inagoma kufunguka iyo site
Acha zako hii nn tumia UC Browser fast Download, sachi kupitia Google bonyeza link ya pili achana na yakwanza inasumbua hiyo. Bonyenza link ya pili. Hapo kwenye search utatafuta series unayo itaka.
24cb807424ba76ace75751e6a0c0561d.jpg
a9cb6110e5faf3fcb4de2e8de8a1dd9d.jpg
47b899b53c7b618cc4d948b0e8496e56.jpg
 
King gwanggaeto kwangu ndio itabaki the best historical drama....yan ni kali hadi inaboa....ina episode 90+ lakini huwez ichoka...


Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu hiyo series ni nzur mno ama
 
Kwa wale wenye kuhitaji sites mbalimbali za ku-download Korean Dramas, pitieni hapa.
 
Bado aijaisha Ila Mpka Apo ilipofikia, Naweza kusema aina Mapigano Sana ila Ina Mtiririko Mzuri wa Stori na Ina Mahaba Yasiyo ya juu sana,Mahaba yale yanayokufanya Uguswe Moyoni,
Ila ni Story inayowakutanisha ndugu wawili waliochangia Baba, Baba yao ni Mkuu wa nchi ila baada ya kifo chake aliacha wosia Kwenye Mwili wa Mwanamke ambaye bado ajafaamika ni Yupi,Na uo wosia ulikuwa unaelezea kuwa yule Mtoto Mdogo kati ya wale wawili ndo aje arithi kiti chake,Ila Mambo yalienda tofauti Na Visasi Vinaanza kwa yule Mkubwa Pamoja na wapambe wake Kumuwinda yule Mdogo kwa Nia ya Kumuua, Iyo ni kwa kifupi kwa Mengi Yaliyomo Umo, Nachokuahidi autajutia Bando Lako na Utapata full Package...Lakin kama Ni Mpenzi wa DRAMA Izo...
Nashukuru sana, ndio nipo episode ya tatu sasa naona it is worth the watch.
 
Stranger
Remember

Sent from my Siemens A-35 using JamiiForums mobile app
 
Mpe na onyo asiiangalizie sebuleni au akiwa na mtu yeyote wanaeheshimiana...
Maana hio movie sio ya nchi hii[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Post sent using JamiiForums mobile app
Nilifata Ushauri Wako Mkuu Nimeiangalia Peke Yangu,Ila Sikuona Ulazima Wakuweka Zile Scene Pale Sijuhi Ata Walichokimaanisha, Yule Actress Wazazi Wake Sijuhi Walikuwa Awapo!! Maana Si Kwa Unaked Ule....
 
Damushin Uje Uku Utoe Details Zaidi,Naona Agency Ya My Second Favorite Actor ( Ji Chang Wook) Imetoa Tarrifa Ya Kuingia Kwake Kutumikia Jeshi August Hii. Jamaani .


upload_2017-7-17_9-2-1.jpeg
 

Attachments

  • upload_2017-7-17_8-50-50.jpeg
    upload_2017-7-17_8-50-50.jpeg
    5 KB · Views: 41
  • upload_2017-7-17_8-52-23.jpeg
    upload_2017-7-17_8-52-23.jpeg
    7.7 KB · Views: 39
Vipi kuhusu The Vengeance,The field knife,The leader na The Victory.Ni hatari.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom