Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

hahahahhaaaaaaa inakadiriwa watu bilioni 5 duniani wanaisubiria kwa hamu siku ya jumamosi ili wapate kujua ni nani aliyepata ajali ya gari na kama wewe si miongoni mwa hao basi unapaswa ukaombewe kwa kakobe.
ila kitendo alichokifanya kang pil joo cha kuwadanganya watu zaidi ya billioni 5 ya kwamba baba yake na mo hyun amefariki hakisameheki,
aigooooo amejua kutuchezea akili zetu.
26113868_959882697520726_2483755559303439636_n.jpg

26165421_959882447520751_6100282114159865269_n.jpg
Ona Ilo Smile la nguvu Kabisaaa.
Daebak!!!
 
Ona Ilo Smile la nguvu Kabisaaa.
Daebak!!!
hivi noona hizi make up zinatofautiana na nchi husika?
juzi moja kuna dada mmoja alikuwa anakwenda harusini basi kama kawaida alijipamba vizuri ila cha kushangaza alikuwa manjano usoni kama dhahabu.
lakini hawa wakorea makeup zao haziwabadilishi muonekano wa ngozi yao.
usisahau jang hyuk ana miaka 40.
 
hivi noona hizi make up zinatofautiana na nchi husika?
juzi moja kuna dada mmoja alikuwa anakwenda harusini basi kama kawaida alijipamba vizuri ila cha kushangaza alikuwa manjano usoni kama dhahabu.
lakini hawa wakorea makeup zao haziwabadilishi muonekano wa ngozi yao.
usisahau jang hyuk ana miaka 40.
Hahahhahaha! Aigooo!
Sijuhi Nisemeje Ila Sina Experience na Make Up Coz Niko Mshamba Pande Izo.
Ila wezetu Wako na Ujuzi Zaidi na Ivi Vitu Na Wako Kiprofessional Zaidi.Si uku kwetu ndo Tunaanza Kwaiyo Bado Bado.
Ila Uyo Itakuwa Alizidisha Sana Lol!! Mpaka Mtu unamkimbia.
 
hivi noona hizi make up zinatofautiana na nchi husika?
juzi moja kuna dada mmoja alikuwa anakwenda harusini basi kama kawaida alijipamba vizuri ila cha kushangaza alikuwa manjano usoni kama dhahabu.
lakini hawa wakorea makeup zao haziwabadilishi muonekano wa ngozi yao.
usisahau jang hyuk ana miaka 40.
Guyz naomba mnifundishe namna ya kudownload hiz drama za kikorea.

kuna program yoyote mnatumia kudownload?
au mnaotumia computa pia naombeni maujanja ya kuzishusha
 
basi tuanzishe kampeni ya kutawaliwa na wakorea tupate kujifunza lugha yao, wajerumani,waingereza na waarabu walipotutawala hatukuambulia chochote.
mimi mpaka leo nikiulizwa what is your name ?
najibu: your name is Damushin.
aigooo kupatwa kwa lugha
kwa msaada wa google.

naega boini naega deullini
neoui nunbich-eun mueol malhani
gudge damun ibsul sum-eul jug-in chae
amu maldo haji anhneun na-ege
I can see you
What did your eyes say?
Firmly licking your lips
To me who does not say anything


yogmang-eun jwigo salang-eun pyeolchyeo
jag-eun teumjocha heolagji anh-a
neolan sesang-i jeo meolli issdaedo
naj-eun yeongicheoleom neoleul hwigam-a
Desire holds and love unfolds
I do not even allow a small gap.
The world is far away
I wind you like low smoke


tteugeobge tteugeobge
kkochcheoleom aleumdabge
pieona geujeo neoneun nun-eul gam-a
deullineun mellodi puleun bich-eul ttalaseo
naege geol-eojwo nae an-e meomulleojwo
Hot and hot
Beautifully as a flower
Just bloody, you close your eyes.
The audible melody follows the blue light
Walk to me and stay inside me


naui gieog-i neoleul buleuji
gogael dollin neon sang-gwan-eobsgessji
witaelobge noh-in ne mamsog-ui seom
bam-eul tago geu an-e jamdeul geoya
My memory calls you
You do not care about Gogel.
Isle of Mind
I will go to sleep in the night.


eodum-eul ttulhgo nege geol-eumyeon
apeum-ui kkeut-en niga iss-eulkka
maleun gaseum taewo nege dah-eumyeon
sesang dwie sum-eo salajineun neo
If you walk through the darkness
Will you end up in pain?
If you touch your dry breast,
You are hiding behind the world


tteugeobge tteugeobge
kkochcheoleom aleumdabge
pieona geujeo neoneun nun-eul gam-a
deullineun mellodi puleun bich-eul ttalaseo
naege geol-eojwo nae an-e meomulleojwo
Hot and hot
Beautifully as a flower
Just bloody, you close your eyes.
The audible melody follows the blue light
Walk to me and stay inside me


gasi dodchin deus hangeol-eum naedidgido
geulae eolyeobji hajiman gyesog geol-eoya hae
kkamahge geulyeojin heunjeog ttala
geu kkeut-e neo issdamyeon oh
It takes a step like a spike
It's difficult, but we have to keep walking.
Following a charred trail
If you are at the end oh


tteugeobge tteugeobge
bulkkoch-ui kkeutjalag-e
apeuge ilgeuleojin naui salang
jag-ajin mellodi sideul-eogaji anhge eh
naui salang-a eoseo naege bul-eojwo
Hot and hot
At the end of the flame
My sickly broken love
Do not let the melody get smaller eh
My love Oh please blow me


Hani-Solji-EXID-Money-Flower-OST-Part-2.jpg


Release Date : 2017-12-30
Hii tuition naomba utufundishe aisee. Tutakuja kukutembelea huko zenji na nae Salang aminas utupe Nondo za maana.
 
Guyz naomba mnifundishe namna ya kudownload hiz drama za kikorea.

kuna program yoyote mnatumia kudownload?
au mnaotumia computa pia naombeni maujanja ya kuzishusha
mimi natumia software ya Internet Download Manager kwenye computer.
au kama huna software baadhi ya website zinakuwekea kitufe cha kudownload episode
kwa mfano
https://ondramanice.io/
 
Lol! Nishapaa tangu Jana.
Now Nasubilia Za Leo Japo Sijaweza Kupredict IPI Itachukua ila Bae Chang Wook lazima Abebe na Ma Soo bin Pia,Nawasiwasi Na SCHOOL 2017 Nayo Itachukua kwa chochote kile.
Aji 3, Mori, & Chang Wook...wote wakipokea tuzo basi itapendeza!
 
Damushin kuna kipindi ulikuja hapa na kuisifu sana the strongest deliveryman ila baadhi ya member walikupinga lakini naona Huyo chae so bin wa the strongest deliveryman na am not a robot aneonyesha kuwa the strongest deliveryman was one of the best Kdrama 2017
 
harabujiiiiii........
  • kama kang pil joo atakuwa ndiye aliyepata ajali atakapopelekwa hospitali ni lazima atahitaji msaada wa damu jambo ambalo litakuwa ni tatizo kwa sababu atajulikana identity yake ya kwamba ana uhusiano na ukoo wa mzee jang harabujiiiiiiiii
  • kama jang bo cheon ndiye aliyepata ajali nadhani pia itakuwa ni tatizo kwake kwa sababu pia atahitaji kuchangiwa damu na wanafamilia yake nahisi pia itakuwa ni tatizo kwa sababu huenda atajulikana ya kwamba hana uhusiano wa kidamu na ukoo wa jang harabujiiiiiiiiii............. au munaonaje kwa mtazamo wenu?
mf_hwan_1.jpg
 
Sijapenda kabisa kwa jinsi alivyoamua ku-reveal 'trump card' kama ile kirahisi!

Ila kama alivyosema, yeye siku zote huwa ana 'Plan B' hivyo naamini alikuwa na lengo lake.
nahisi ile turufu atakuja kuitumia kwa ajili ya kuwabamiza kwenye ukuta familia nzima ya jang kwa sababu ana ushahidi wote wa sauti kuhusiana na vitisho walivyomtishia baba yake na mo hyun na kupelekea kutaka kujitoa uhai wake, na kisheria ni makosa kumtaka mtu ajiue.
ila ni mtazamo wangu...
 
harabujiiiiii........
  • kama kang pil joo atakuwa ndiye aliyepata ajali atakapopelekwa hospitali ni lazima atahitaji msaada wa damu jambo ambalo litakuwa ni tatizo kwa sababu atajulikana identity yake ya kwamba ana uhusiano na ukoo wa mzee jang harabujiiiiiiiii
  • kama jang bo cheon ndiye aliyepata ajali nadhani pia itakuwa ni tatizo kwake kwa sababu pia atahitaji kuchangiwa damu na wanafamilia yake nahisi pia itakuwa ni tatizo kwa sababu huenda atajulikana ya kwamba hana uhusiano wa kidamu na ukoo wa jang harabujiiiiiiiiii............. au munaonaje kwa mtazamo wenu?
mf_hwan_1.jpg
Hihihihi! Sunbae ushaanza utabiri wako.

Kwani lazima mchangiaji atoke kwenye familia?
 
Damushin kuna Kitu Nataka angalia Kwenye Viki Inaniambia restricted Area ndo nini hii sasa
Tumia VPN, Mkuu.
Hapo maana yake ni kuwa hiyo video hauwezi kuitazama 'sababu unatokea Tanzania. Hihihihi!

Au tutajie jina lake nikupe alternative sources ikiwezekana.
 
Back
Top Bottom