Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

  1. uyo wa kati kati anajifanya hajali hali ya nchi yake ilivyo ilimradi kwa kuwa maisha yake yanakwenda vizuri. anasahau ya kwamba wakoloni wanapovamia sehemu hawabagui aliyenacho na asiyenacho.
  2. uyo wa pembeni aliyevaa madeepa (deera) kama ahjumma wa kizanzibari moyo wake ameupeleka sehemu ambayo hapendwi na sababu kubwa yule binti anamchukulia kama ni mbwa wa kijapani,anabaki kuumia nafsini mwake na kubaki na hasira za samaki. vurugu nyingi akiwa kwenye bahari lakini dawa yake ni nyavu yenye matobo.
  3. uyo aliyevaa suti kama derick upande wangu wa kulia ameshaanza kuona wivu baada ya kugundua ya kwamba uyo jamaa wa katikati ndiye mchumba wa lady aesin, cheza na njaa ila usicheze na wivu wa kimapenzi, matokeo yake ameanza kusahau kilichomfanya aletwe korea.
Eugene Choi: "No matter where I go, I always end up drawing attention."
kuna uwezekano huyu mzee genius wa historical drama ndiye kiongozi mkuu wa harakati za kudai haki nchini joseon?
nimeikuta soompi thread
anaitwa kim gap soo
f131757597380104346(0).png
Hahahahhahahahahhaha, Kuanzia Namba 1-3 Ndo Vimenifanya Nicheke, Una Maneno Ya Uchokozi Umeniacha Hoi Ulivyoandika Madeepa Dah! Hata Haya Unayajua, We Sikuweziiiii! Hahahahahhahhah Hasira Za Samaki Daah Damuuuu...

Eugene Kweli Yalomleta Anayaacha Anayafanya Yasomuhusu, Mwishoni Mwa Episode Six ndo Kanimaaliza Yaani! Drama Kali.
 
  1. uyo wa kati kati anajifanya hajali hali ya nchi yake ilivyo ilimradi kwa kuwa maisha yake yanakwenda vizuri. anasahau ya kwamba wakoloni wanapovamia sehemu hawabagui aliyenacho na asiyenacho.
  2. uyo wa pembeni aliyevaa madeepa (deera) kama ahjumma wa kizanzibari moyo wake ameupeleka sehemu ambayo hapendwi na sababu kubwa yule binti anamchukulia kama ni mbwa wa kijapani,anabaki kuumia nafsini mwake na kubaki na hasira za samaki. vurugu nyingi akiwa kwenye bahari lakini dawa yake ni nyavu yenye matobo.
  3. uyo aliyevaa suti kama derick upande wangu wa kulia ameshaanza kuona wivu baada ya kugundua ya kwamba uyo jamaa wa katikati ndiye mchumba wa lady aesin, cheza na njaa ila usicheze na wivu wa kimapenzi, matokeo yake ameanza kusahau kilichomfanya aletwe korea.
Eugene Choi: "No matter where I go, I always end up drawing attention."
kuna uwezekano huyu mzee genius wa historical drama ndiye kiongozi mkuu wa harakati za kudai haki nchini joseon?
nimeikuta soompi thread
anaitwa kim gap soo
f131757597380104346(0).png
Pale Yule Mdada wa Hotel Alivyowatambulisha Wote Kuwa Uyo Ndie Mchumba Wa Ae-Sin Wote Wakajikuta Wanatoa Silaha Zao, Dah! Aliwaweza Pale!
 
Series za kikorea ni za wanawake na watoto... sasa kama we ni kidume kuanzia miaka 18+ na bado una angalia ayo mataka taka itabidi tukuchunguze
 
Hahahahhahahahahhaha, Kuanzia Namba 1-3 Ndo Vimenifanya Nicheke, Una Maneno Ya Uchokozi Umeniacha Hoi Ulivyoandika Madeepa Dah! Hata Haya Unayajua, We Sikuweziiiii! Hahahahahhahhah Hasira Za Samaki Daah Damuuuu...

Eugene Kweli Yalomleta Anayaacha Anayafanya Yasomuhusu, Mwishoni Mwa Episode Six ndo Kanimaaliza Yaani! Drama Kali.
sunshine-06-00129.jpg

huyu mzee kuna maneno alimwambia eugene choi ya kwamba unapozaliwa kwenye familia ya kitumwa haijalishi huko mbele utakuwa na mafanikio yanayozidi nguvu ya mianga ya jua bado utaendelea kuwa mtu wa chini sana mbele ya waliokuwa mabwana zako.

eugene amepatwa na maumivu makali sana baada ya kupata taarifa za hee sung kuwa ndio mume mtarajiwa wa lady aesin kuliko maumivu ya kuchinjwa na upanga wa dong mae.
anapokumbuka utofauti wa kiheshima kati yake na mwanadada aeshin ambaye ametokea noble family kunamzidi kumkatisha tamaa kwenye safari yake ya kumchumbia, atawezaje kuwa na mahusiano na mtoto wa kitajiri asiyeguswa na mtu yeyote nchini joseon haliyakuwa aliwahi kuwa ni mtumwa pamoja na wazazi wake?

halafu bila ya kusahau upande wa pili wazazi wawili wameshakutana kwa dhumuni la kujadili mikakati ya ndoa kwa ajili ya watoto wao japo upande wa wazee wake hee sung wanajaribu kutia mpira kwapani baada ya kupokea vitisho kutoka kwa eugene choi.
 
Series za kikorea ni za wanawake na watoto... sasa kama we ni kidume kuanzia miaka 18+ na bado una angalia ayo mataka taka itabidi tukuchunguze
Kabisaa! Duh!, Uku Umekujaje Au Umefikaje Mpka Kwenye Hili Jukwaa Wakati We Ni Kidume Na Hupaswi Kuangalia Hizi Za Kimama, Au Tuanze Kukuchunguza Wewe Kwanza Uloingia Kusipokuhusu Au Ulikosea Njia Maana Ndo Kwanza Mpya!? Kuwa Na Heshima Hata Kwa Usomjua Kijana Kama Huna La Maana La Kuandika Kaa Kimya au Nenda Kwenye Majukwaa Yanayokufaa..
 
Kabisaa! Duh!, Uku Umekujaje Au Umefikaje Mpka Kwenye Hili Jukwaa Wakati We Ni Kidume Na Hupaswi Kuangalia Hizi Za Kimama, Au Tuanze Kukuchunguza Wewe Kwanza Uloingia Kusipokuhusu Au Ulikosea Njia Maana Ndo Kwanza Mpya!? Kuwa Na Heshima Hata Kwa Usomjua Kijana Kama Huna La Maana La Kuandika Kaa Kimya au Nenda Kwenye Majukwaa Yanayokufaa..
Kwakweli yaan hapo ji sawa na mwanaume kuingia choo cha kike na kusema eti sinki lenu linavuja[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kama sio kiherehere ni nini?
 
nauza ubuyu wa babu issa
ubuyu wa bakhressa
ubuyu wa kiponda
ubuyu wa mama zahra
ubuyu wa bibi Aisha.
Park Seo Joon na Park Min Young wana mahusiano ya kimapenzi?
siku ya jana kuna mtumiaji mmoja wa SNS ambaye alijitambulisha kama ni muandishi wa habari alituma soft copy ya gazeti la DongA sports ambalo lilitarajiwa kuingia sokoni siku ya jana likiwa na habari inayohusu wawili hao kuwa na mahusiano ya kimapenzi.
picha hiyo aliyoituma kwenye account yake ilikuwa na kichwa cha habari kinachosema park park couple wamekuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa miaka 3 yaani kabla hawajakutana kwenye drama ya whats wrong with secretary kim ambayo imemaliza siku ya alkhamisi ambapo mashabiki walishuhudia wawili hao wakifunga ndoa.
Park-Min-Young-Park-Seo-Joon6.jpg

makala hiyo ya gazeti imeeleza wawili hao wamekuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa muda mrefu lakini wameamua kutokuweka hadharani mahusiano yao kwa dhumuni la kutokuharibu mahusiano na makampuni wanayoyawasimamia kazi zao na vile vile kuwepuka kukumbana na maswali ya mara kwa mara kutoka kwa wananchi na mashabiki wanaofuatilia kazi zao.

chanzo chengine cha udaku kimeeleza ya kwamba wawili hao tayari wameshaanza harakati za kuwaambia watu wao wa karibu kuhusiana na mahusiano yao pamoja na mikakati yao waliodhamiria kuyafanya ila walikuwa wanasuburi muda muafaka kuwapa taarifa mashabiki wao.mtu wa kwanza kutuma taarifa hiyo pia aliambatanisha ushahidi wa kurasa ilioandikwa taarifa hiyo na kusisitiza picha hiyo ni halisi., baada ya saa moja kupita gazeti la Sports DongA waliweka hadharani makala hiyo inayowahusu wawili hao (park park couple).
Park-Seo-Joon-Park-Min-Young.jpeg

baada ya tetesi kuzidi kusambaa watumiaji wa mitandao (netizens) nao walizidi kufukunyua post zilizopita za wawili hao ili kutafuta japo kiuthibitisho cha madai hayo na hatimae kupitia account ya instagram ya park min young walikutana na post ya MARCH 2017 ikimuonyesha mwanadada huyo akiwa amevaa kofia na viatu ambavyo vyote vinafanana na alivyovipost park seo joon kwenye post yake ya video mnamo mwezi FEBRUARY 2017.
 
Last edited:
Park Seo Namoo Actors Joon na Park Min Young wakanusha kuwa na mahusiano
Namoo Actors ambayo ndio kampuni inayomsimamia park min young wamekanusha taarifa zinazomuhusu mteja wao kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na park seo joon.
Awesome ENT ambao wanamsimaia park seo joon nao wamekanusha taarifa hizo na kudai ya kwamba wawili hao wana urafiki wa kawaida tofauti na uvumi.
Park-Seo-Joon-Park-Min-Young17.jpg


unazikumbuka tetesi za kimahusiano kati ya song joong ki na song hye kyo ilikuaje?
walikanusha kwa muda mrefu kama serikali ya awamu ya 10 inavyokanusha kuwa hali si ngumu ya kimaisha lakini baadae tukasikia song song couple kufunga ndoa.

kama ni kweli park park couple wana mahusiano ya kimapenzi kwa muda mrefu bila shaka walikuwa wanasubiri muda mzuri wa kuweka hadharani mahusiano yao ila ndio unachopanga wewe na mwenzako ni tofauti.
kabla ya mwezi wa August haujamaliza dunia itatambulishwa rasmi ya kwamba mtu na bosi wake ni wachumbaaaa.

kila ninapopata muda wa kuiangalia whats wrong with secretary kim ukaribu wa wawili hao umekuwa ukinisababishia nitamani wawe na mahusiano ya ukweli na si maigizo.
Nimeanza kuona dalili ya Mungu kusikia maombi yangu.
Ila kuna ombi langu moja kubwa sana mpaka dakika hii sijaona dalili ya Mungu kulikubalia ila sitachukia kwa sababu yeye ndio mwenye maamuzi ya mwisho kwenye ulimwengu huu tunaoishi.

ngoja tukumbushane kidogo kilichotokezea mwezi june 2017
 
Park min young
2018072620040918659-540x810.jpg

nilikuwa nikijawa na furaha kila sekunde nilipokuwa nikiigiza uhusika wa kim mi so, nilishikw ana woga baadhi ya wakati lkini furaha niliokuwa nayo sitaweza kuisahau kwenye maisha yangu.
pia nilikuwa nikijiuliza maswali
je kuna nyakati ambazo niliwahi kujisikia nikiwa na furaha kama hivi sasa?
sifahamu kama watizamaji wametambua ya kwamba drama hii imenifanya niwe na furaha wakati huu, baadhi ya watu wameniambia kiukweli nimefanana na kim miso.
kitu muhimu zaidi kwangu mimi ni kinachokuja mbele yangu na si kilichopita hivyo basi nawaahidi mashabiki nitazidi kujituma kwenye kazi zangu na kuwahakikishia nitarudi na project nzuri.
natumai mutamuaga kim miso kwa tabasamu lililojaa nafsini mwenu.

Pyo Ye Jin
1S28H68IDX_1.jpg

namshukuru sana director Park Joon Hwa, writer, actors na staff wote waliokuwa pamoja na mimi kwa muda wote. nilijawa na furaha kwa muda wote na kwa kweli siamini kama ndio tumeimaliza project hii. Nahisi kama miezi miwili imekimbia kwa spidi kubwa sana zaidi ya muangaza. Mwisho niwashukuru mashabiki kwa ushirikiano mkubw amuliouonyesha kwa muda wote.,
nawapenda sana.

2PM Chansung
DjBw8-lU8AAvPyh.jpg

nilijitahidi kadri ya uwezo wangu nisiwavunje moyo mashabiki wangu, film set ilikuwa ni furaha muda wote wa kazi.
aigoooo sijui hizi episode mbili za mwisho alibadilisha suti?

hwang bora
Hwang-Bo-Ra1.jpg

mchumba wangu wa 40 ambaye ndiye nyota wa tatu wa drama hii kiupande wangu.
amesema
"niwashukuru wale wote waliovutiwa na uhusika wa Sera na Yang bok couple,pia niwashukuru staff wote waliofanikisha drama hii.nitaendelea kuwa muigizaji ambaye kila ninapopata nafasi nitaonyesha kitu kipya.
kwa sasa ninajiandaa kushiriki kwenye drama ya VAGABOND ambayo waigizaji wakuu watakuwa ni Lee seung gi na Bae Suzy.
kila la kheri mchumba endelea kufanya kazi kwa bidii tupate hela ya kula na pesa ya kodi, mimi mwenzio nitendelea kuwa mume na baba mtarajiwa wa nyumbani.

Kang Ki Young
1S28I6FEXZ_1.jpg

niwe mkweli huyu kijana namuheshimu sana kwa sababu kwenye kazi zake hajawahi kuniangusha licha ya kwamba sijawahi kumuona akiigiza uhusika mkuu.
amesema
"napenda niwashukuru watazamaji wote waliovutiwa na drama hii, pia niwashukuru team nzima ya whats wrong with secretary kim kwa kipindi chote tulichokuwa pamoja tulifanya kazi kama familia.napenda kumshukuru director kwa kunipa nafasi ya kushiriki kwenye hii drama, hivyo basi nawaahidi mashabiki nitaendelea kujitahidi kufanya kazi kwa bidii na kuendelea kushiriki kwenye project nyenginezo pindi nitakapopewa nafasi.
Kang Ki Young atashiriki kwenye drama ya Boyfriend ambayo waigizaji wakuu ni park bo gum na song hye kyo.
vile vile atashiriki kwenye drama ya terius behind me ambayo muigizaji mkuu ni SO JI SUB.

ngoja niendelee kuziweka kiporo episode mbili za mwisho mpaka nitakapopata majibu ya ubuyu wangu wa leo. sitaki kushuhudia tukio la uongo la ndoa.
whats wrong with secretary kim ndio best romantic comedy kwa mwaka huu kwa maoni
yangu.
 
Last edited:
Noop sio hiyo mr sunshine sio ya zamani kihivyo inaelezea maisha ya mwanajeshi miaka ya hiv karibuni na wala sio ya kijijini
Apa Sijakuelewa Unataka Jina La Drama Gani?? Kama Ni Hiyo Uloniquote Inaitwa Mr.Sunshine Ambayo Ni Ongoing Drama Na Iko Episode 6, Inayoelezea Mzaliwa Wa Korea katika Familia Zile Za Chini Sana Kwa Jina Lengine Ni Slave Family, Ambayo Ataenda America Na Kurudi korea Kama Captain wa Jeshi La Marekani, Si ndo Iyo Ama?
 
Park min young
2018072620040918659-540x810.jpg

nilikuwa nikijawa na furaha kila sekunde nilipokuwa nikiigiza uhusika wa kim mi so, nilishikw ana woga baadhi ya wakati lkini furaha niliokuwa nayo sitaweza kuisahau kwenye maisha yangu.
pia nilikuwa nikijiuliza maswali
je kuna nyakati ambazo niliwahi kujisikia nikiwa na furaha kama hivi sasa?
sifahamu kama watizamaji wametambua ya kwamba drama hii imenifanya niwe na furaha wakati huu, baadhi ya watu wameniambia kiukweli nimefanana na kim miso.
kitu muhimu zaidi kwangu mimi ni kinachokuja mbele yangu na si kilichopita hivyo basi nawaahidi mashabiki nitazidi kujituma kwenye kazi zangu na kuwahakikishia nitarudi na project nzuri.
natumai mutamuaga kim miso kwa tabasamu lililojaa nafsini mwenu.

Pyo Ye Jin
1S28H68IDX_1.jpg

namshukuru sana director Park Joon Hwa, writer, actors na staff wote waliokuwa pamoja na mimi kwa muda wote. nilijawa na furaha kwa muda wote na kwa kweli siamini kama ndio tumeimaliza project hii. Nahisi kama miezi miwili imekimbia kwa spidi kubwa sana zaidi ya muangaza. Mwisho niwashukuru mashabiki kwa ushirikiano mkubw amuliouonyesha kwa muda wote.,
nawapenda sana.

2PM Chansung
DjBw8-lU8AAvPyh.jpg

nilijitahidi kadri ya uwezo wangu nisiwavunje moyo mashabiki wangu, film set ilikuwa ni furaha muda wote wa kazi.
aigoooo sijui hizi episode mbili za mwisho alibadilisha suti?

hwang bora
Hwang-Bo-Ra1.jpg

mchumba wangu wa 40 ambaye ndiye nyota wa tatu wa drama hii kiupande wangu.
amesema
"niwashukuru wale wote waliovutiwa na uhusika wa Sera na Yang bok couple,pia niwashukuru staff wote waliofanikisha drama hii.nitaendelea kuwa muigizaji ambaye kila ninapopata nafasi nitaonyesha kitu kipya.
kwa sasa ninajiandaa kushiriki kwenye drama ya VAGABOND ambayo waigizaji wakuu watakuwa ni Lee seung gi na Bae Suzy.
kila la kheri mchumba endelea kufanya kazi kwa bidii tupate hela ya kula na pesa ya kodi, mimi mwenzio nitendelea kuwa mume na baba mtarajiwa wa nyumbani.

Kang Ki Young
1S28I6FEXZ_1.jpg

niwe mkweli huyu kijana namuheshimu sana kwa sababu kwenye kazi zake hajawahi kuniangusha licha ya kwamba sijawahi kumuona akiigiza uhusika mkuu.
amesema
"napenda niwashukuru watazamaji wote waliovutiwa na drama hii, pia niwashukuru team nzima ya whats wrong with secretary kim kwa kipindi chote tulichokuwa pamoja tulifanya kazi kama familia.napenda kumshukuru director kwa kunipa nafasi ya kushiriki kwenye hii drama, hivyo basi nawaahidi mashabiki nitaendelea kujitahidi kufanya kazi kwa bidii na kuendelea kushiriki kwenye project nyenginezo pindi nitakapopewa nafasi.
Kang Ki Young atashiriki kwenye drama ya Boyfriend ambayo waigizaji wakuu ni park bo gum na song hye kyo.
vile vile atashiriki kwenye drama ya terius behind me ambayo muigizaji mkuu ni SO JI SUB.

ngoja niendelee kuziweka kiporo episode mbili za mwisho mpaka nitakapopata majibu ya ubuyu wangu wa leo. sitaki kushuhudia tukio la uongo la ndoa.
whats wrong with secretary kim ndio best romantic comedy kwa mwaka huu kwa maoni
yangu.

Naona Jinsi Ulivyo Na Mapenzi Na Hii Drama.
 
Park min young
2018072620040918659-540x810.jpg

nilikuwa nikijawa na furaha kila sekunde nilipokuwa nikiigiza uhusika wa kim mi so, nilishikw ana woga baadhi ya wakati lkini furaha niliokuwa nayo sitaweza kuisahau kwenye maisha yangu.
pia nilikuwa nikijiuliza maswali
je kuna nyakati ambazo niliwahi kujisikia nikiwa na furaha kama hivi sasa?
sifahamu kama watizamaji wametambua ya kwamba drama hii imenifanya niwe na furaha wakati huu, baadhi ya watu wameniambia kiukweli nimefanana na kim miso.
kitu muhimu zaidi kwangu mimi ni kinachokuja mbele yangu na si kilichopita hivyo basi nawaahidi mashabiki nitazidi kujituma kwenye kazi zangu na kuwahakikishia nitarudi na project nzuri.
natumai mutamuaga kim miso kwa tabasamu lililojaa nafsini mwenu.

Pyo Ye Jin
1S28H68IDX_1.jpg

namshukuru sana director Park Joon Hwa, writer, actors na staff wote waliokuwa pamoja na mimi kwa muda wote. nilijawa na furaha kwa muda wote na kwa kweli siamini kama ndio tumeimaliza project hii. Nahisi kama miezi miwili imekimbia kwa spidi kubwa sana zaidi ya muangaza. Mwisho niwashukuru mashabiki kwa ushirikiano mkubw amuliouonyesha kwa muda wote.,
nawapenda sana.

2PM Chansung
DjBw8-lU8AAvPyh.jpg

nilijitahidi kadri ya uwezo wangu nisiwavunje moyo mashabiki wangu, film set ilikuwa ni furaha muda wote wa kazi.
aigoooo sijui hizi episode mbili za mwisho alibadilisha suti?

hwang bora
Hwang-Bo-Ra1.jpg

mchumba wangu wa 40 ambaye ndiye nyota wa tatu wa drama hii kiupande wangu.
amesema
"niwashukuru wale wote waliovutiwa na uhusika wa Sera na Yang bok couple,pia niwashukuru staff wote waliofanikisha drama hii.nitaendelea kuwa muigizaji ambaye kila ninapopata nafasi nitaonyesha kitu kipya.
kwa sasa ninajiandaa kushiriki kwenye drama ya VAGABOND ambayo waigizaji wakuu watakuwa ni Lee seung gi na Bae Suzy.
kila la kheri mchumba endelea kufanya kazi kwa bidii tupate hela ya kula na pesa ya kodi, mimi mwenzio nitendelea kuwa mume na baba mtarajiwa wa nyumbani.

Kang Ki Young
1S28I6FEXZ_1.jpg

niwe mkweli huyu kijana namuheshimu sana kwa sababu kwenye kazi zake hajawahi kuniangusha licha ya kwamba sijawahi kumuona akiigiza uhusika mkuu.
amesema
"napenda niwashukuru watazamaji wote waliovutiwa na drama hii, pia niwashukuru team nzima ya whats wrong with secretary kim kwa kipindi chote tulichokuwa pamoja tulifanya kazi kama familia.napenda kumshukuru director kwa kunipa nafasi ya kushiriki kwenye hii drama, hivyo basi nawaahidi mashabiki nitaendelea kujitahidi kufanya kazi kwa bidii na kuendelea kushiriki kwenye project nyenginezo pindi nitakapopewa nafasi.
Kang Ki Young atashiriki kwenye drama ya Boyfriend ambayo waigizaji wakuu ni park bo gum na song hye kyo.
vile vile atashiriki kwenye drama ya terius behind me ambayo muigizaji mkuu ni SO JI SUB.

ngoja niendelee kuziweka kiporo episode mbili za mwisho mpaka nitakapopata majibu ya ubuyu wangu wa leo. sitaki kushuhudia tukio la uongo la ndoa.
whats wrong with secretary kim ndio best romantic comedy kwa mwaka huu kwa maoni
yangu.

Hivi Kwa Nini Umempenda Sana Huyo Mchumba Wako Mpya, Najua Ni Maamuzi Lakini Nauliza Tuuh Sababu!?
 
Back
Top Bottom