Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Hivi Kwa Nini Umempenda Sana Huyo Mchumba Wako Mpya, Najua Ni Maamuzi Lakini Nauliza Tuuh Sababu!?
umebahatika kuangalia the miracle we met drama?
labda tuanzie hapo
ni mcheshi mnooooooo ndio maana amenivutia.
usiniambie umepatwa na ugonjwa wa wivu
natania tu.
 
umebahatika kuangalia the miracle we met drama?
labda tuanzie hapo
ni mcheshi mnooooooo ndio maana amenivutia.
usiniambie umepatwa na ugonjwa wa wivu
natania tu.
Hahahhahah! Wivu Lazima Siunajua, Hahahahhahah Dah!
 
Mamboz, jaman dramanice inasumbua naombeni link au njia nyingine ya kudownload. Natizama Mr. Sunshine na My mister kwa sasa
 
Wadau mwenye kujua series Kali za action drama mpya naomba anisaidie
kwa style hii ya kuomba msaada inakuwa ni vigumu kusaidiwa kwa sababu wakorea wana project nyingi mnoo hivyo basi inapendeza zaidi kama ungeliweka list ya drama ulizobahatika kuziangalia.
nimejaribu kutoa ushauri wangu hivyo basi unaweza ukaufanyia kazi kama utauona una maana na inaweza ikawa ni kinyume chake

utachagua ambazo hujabahatika kuziangalia, ni mchanganyiko wa crime, thriller, investigation na action

tunnel
secret forest
bad guy season 1, 2, 3
criminal mind
signal
squad 38
gap dong
defendant
heartless city
healer
iris 1, 2
athena goddess of war
hidden identity
vampire prosecutor
k2
nine: nine times travel
voice season 1, season 2 itaanza karibuni
The Village: Achiara's Secret
come and hug me
black
pied piper
3 days
my beautiful bride
a man called a god
2 weeks

usisahau hizi drama za kikorea hatujibii mtihani hivyo basi angalia kwa mujibu wa nafsi ya mapumziko unayoipata.
usishindane na mtu kuangalia korean drama ila shindana na mtu kwenye kutafuta mafanikio ya dunia na ya safari ya milele kama unaamini kuna kufufuka.
karibu tena dongsaeng
 
Apa Sijakuelewa Unataka Jina La Drama Gani?? Kama Ni Hiyo Uloniquote Inaitwa Mr.Sunshine Ambayo Ni Ongoing Drama Na Iko Episode 6, Inayoelezea Mzaliwa Wa Korea katika Familia Zile Za Chini Sana Kwa Jina Lengine Ni Slave Family, Ambayo Ataenda America Na Kurudi korea Kama Captain wa Jeshi La Marekani, Si ndo Iyo Ama?
Naweza kuipataje?
 
Series za kikorea ni za wanawake na watoto... sasa kama we ni kidume kuanzia miaka 18+ na bado una angalia ayo mataka taka itabidi tukuchunguze

  1. kuomba radhi pale unapofanya kosa ndio super glue ya maisha, inaziba tatizo lolote lile lililotokezea.
  2. kuomba radhi pale unapoteleza ndio manukato yenye harufu nzuri zaidi duniani,yanaweza kubadilisha harufu ya tukio baya ulilolifanya na kuwa zawadi yenye kuthaminiwa.
  3. kufanya unachokitaka ndio uhuru na kufurahia unachokifanya ndio furaha.
  4. jambo pekee litkalokufanya uyafurahie maisha yako ni kufanya kile ambacho kinapendeza ndani ya nafsi yako.
  5. mpumbavu huifuata furaha iliombali ila mwerevu huiweka furaha chini ya nyayo zake.
 
30 But 17”
Still_17-P1.jpg

hii drama imeanza vizuri sana kwa ambaye hana going drama ya kuangalia.
  1. gong woo jin ni kijana mwenye umri wa miaka 30, alipokuwa na miaka 17 alipata tatizo la Trauma ambalo linapelekea kutokupenda kuwa na urafiki na mtu yeyote.pia alipokuwa na miaka 17 alianza kuvutiwa na msichana anayeitwa woo seo ri.
  2. woo seori naye alikuwa na miaka 17 wakati anapata ajali ya gari iliopelekea kupoteza fahamu kwa kipindi cha miaka 13 mfululizo (coma). alipoamka alijishangaa sana baada ya kujiona ana mabadiliko ya kimwili, yaani ametoka kuwa msichana mdogo hadi kuwa msichanamwenye miaka 30.
  3. gong woo jin anaamini ya kwamba aliyefariki kwenye ajali ya bus ni seori na amekuwa akijilaumu kuwa yeye ni chanzo cha kifo cha msichana seuri kwa sababu yeye ndiye aliyemshauri apande gari.kumbe aliyefariki ni shoga yake woo seori.
  4. balaa linamkumba mwanadada woo seuri baada ya kurudisha akili zake kwani anajikuta nyumba aliyokuwa akiishi miaka 13 iliopita imeshauzwa na hata mjomba na shangazi yake hajui wanapoishi na pia anaamini ya kwamba shoga yake yupo hai. anaamka akiwa na miaka 30 lakini uwezo wake wa kufikiri umebaki ule ule wa miaka 17. ina maana miaka 13 imeenda bure bule ya kuifanyia kazi. je atatimiza vipi ndoto yake ya utotoni ya kuwa violinist?

Thirty But Seventeen at Dramanice
 
Last edited:
30 But 17”
Still_17-P1.jpg

hii drama imeanza vizuri sana kwa ambaye hana going drama ya kuangalia.
  1. gong woo jin ni kijana mwenye umri wa miaka 30, alipokuwa na miaka 17 alipata tatizo la Trauma ambalo linapelekea kutokupenda kuwa na urafiki na mtu yeyote.pia alipokuwa na miaka 17 alianza kuvutiwa na msichana anayeitwa woo seo ri.
  2. woo seori naye alikuwa na miaka 17 wakati anapata ajali ya gari iliopelekea kupoteza fahamu kwa kipindi cha miaka 13 mfululizo (coma). alipoamka alijishangaa sana baada ya kujiona ana mabadiliko ya kimwili, yaani ametoka kuwa msichana mdogo hadi kuwa msichanamwenye miaka 30.
  3. gong woo jin anaamini ya kwamba aliyefariki kwenye ajali ya bus ni seori na amekuwa akijilaumu kuwa yeye ni chanzo cha kifo cha msichana seuri kwa sababu yeye ndiye aliyemshauri apande gari.kumbe aliyefariki ni shoga yake woo seori.
  4. balaa linamkumba mwanadada woo seuri baada ya kurudisha akili zake kwani anajikuta nyumba aliyokuwa akiishi miaka 13 iliopita imeshauzwa na hata mjomba na shangazi yake hajui wanapoishi na pia anaamini ya kwamba shoga yake yupo hai. anaamka akiwa na miaka 30 lakini uwezo wake wa kufikiri umebaki ule ule wa miaka 17. ina maana miaka 13 imeenda bure bule ya kuifanyia kazi. je atatimiza vipi ndoto yake ya utotoni ya kuwa violinist?

Thirty But Seventeen at Dramanice
Mkuu Aina kama za queen dwager,slave hunter,jumong, general bae...inshort za kifamle za porini mpya naomba majina please
 
Jackport hii drama iko powa sana kila kitu tunaenda na kamali tu watu wametulia humu ndani yumo sky lord wa baek dong soo
 
ungeliweka list ya drama ulizoziangalia ndio ingelipendeza zaidi, halafu hizi historical drama husuan za three kingdom hakuna project mpya iliotengenezwa kwa miaka hii.

d5a1182b849e8e6380985752bf33c0d0.jpg
Asante mkuu hata hapo nitazichangua ambazo ....sijaziona!!vp naweza pata site yenye mb nafuu ku download au kuchekii online?
 
  1. kuomba radhi pale unapofanya kosa ndio super glue ya maisha, inaziba tatizo lolote lile lililotokezea.
  2. kuomba radhi pale unapoteleza ndio manukato yenye harufu nzuri zaidi duniani,yanaweza kubadilisha harufu ya tukio baya ulilolifanya na kuwa zawadi yenye kuthaminiwa.
  3. kufanya unachokitaka ndio uhuru na kufurahia unachokifanya ndio furaha.
  4. jambo pekee litkalokufanya uyafurahie maisha yako ni kufanya kile ambacho kinapendeza ndani ya nafsi yako.
  5. mpumbavu huifuata furaha iliombali ila mwerevu huiweka furaha chini ya nyayo zake.
👍
👏
 
Back
Top Bottom