Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Kwanza inapaswa uchunguzwe ww. Yawezekana akili zako zime changanyikana na damu. Kama kitu hukipendi si ukae kimya kwani ukikaa kimya utapungukiwa nini? Watu wengine bhana sijui bangi wanavutia chooni. Kaa utulie na hiyo miaka yako ya kuhesabu, nyie ndio mnafanya watu wanafanya teuzi za ajabu tu.
Series za kikorea ni za wanawake na watoto... sasa kama we ni kidume kuanzia miaka 18+ na bado una angalia ayo mataka taka itabidi tukuchunguze