Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,365
Inamaana Kukaa kotee Uko Na Bahari Hujui Kuogelea Mpemba Wewe!!!mimi mwenzio hata kuogelea sijui sasa kwenda busan kutaleta faida gani kwangu mimi?
bora twenda kwenye mji mpya na wa kisasa unaoitwa Songdo nipate kunywa chai nyumbani kwa Song il Kook na baadae niombe ajira ya kuwatembeza mapacha watatu bila ya malipo.
najua nitakapotembea na song triplets kila sehemu nitajitengenezea fedha kwa mgongo wao.
wazo lako ni zuri lakini Mr Sunshine inamaliza mwezi November na baadae inafuata memories of alhambra drama ya hyun bin na mwanadada park shin hye na usisahau kuna drama ya boyfriend inayowakutanisha song hye kyo na park bo gum.
Na drama hii ya memories of alhambra location zao si za nchi hii, tayari wameshamaliza kurekodi nchini hispania kwenye mji wa granada, hivi karibuni walikuwepo hungary kwenye mji wa budapest na kwa sasa sijui wameenda nchi gani inayopakana na urusi.
pia usisahau fundi jang hyuk anarudi tena akiwa kama mpiganaji wa ulingoni kwenye drama inayoitwa bad papa (baba mbaya)
usisahau mwishoni mwa mwaka kuna korean drama awards za mashirika ya KBS, MBC, SBS
hahahahaaaaaa tunaweza kujikuta tumeganda humu ndani kama tumewekea vizizi na mshana junior.
mara paap 2019 inaanza na Drama ya Asadal inayowakutanisha song joong ki, jung dong gun inaanza
mara paap 2019 drama ya kijasusi ya prosmetheus inaanza inayowakutanisha Ha ji won na jin goo
mara paap 2019 season 2 ya waikiki drama
bila ya kusahau mwenye kutoa uhai ni Mungu mweza wa yote.
![]()
![]()
![]()
Hahahhaahahhaha Dah!!! Kuwatembeza Mapacha Bila Kulipwa Duuh We Noma...
Tukifika Seoul Tutaachana Apo Kila Mtu Ataingia Mitaa Yake Na Tutakutana Tena Apo Kurudi Nchi Ya Mpenda Wanyongee...
Mwezangu Sasa Inabidi Tusisubili Mpka Sunshine Iishe Nahisi Sisi Tuanze Tuuh Likizo Yetu.