Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh nimetizama hapo kidogo Yan kama mtu kwelindugu zangu tunadanganywa sana
raha ya udanganyifu uwe na burudani ndani yake
dummyDuh nimetizama hapo kidogo Yan kama mtu kweli
Mlinzi wa usiku nalitaja jina lako mara tatu kama sauti ya jogoo anapowika.
Halotel wameamua kujitekenya wenyewe baadae wanalazimisha kicheko.
Habari hii unayo (umeshaijaribu ili unipe mrejesho)?
kama habari hii hujaipata ,Je una mtu wako wa karibu mwenye line ya halotel?
kama huna basi nakushauri katafute line nyengine ya halotel.
View attachment 1834414
- *148*66#
- bonyeza namba 2 (zawadi kwa rafiki)
- bonyeza namba 3 (internet)
- bonyeza namba 5 (usiku)
kama ni kweli wameirudisha huduma ya unlimited kwa nyuma ya pazia basi niwape hongera (macho yangu hayaoni vizuri, hivi hapajaandikwa GB 5 hapo kwenye 1500)
- utaambiwa uingize namba ya mpokeaji (hapo ndipo nilipofikia kwa sababu sina mtu anayetumia laini ya halotel)
ngoja nikanunue laini nyengine ya Halotel🚶♂️🚶♂️🧑🦯👨🦯🏃♂️
walevi wenzangu tumekumbukwa tena
nitawaletea mrejesho
😛😛😛😛
My watchlist kama ifuatavyo, Doom at your service, hospital playlist, imitation, nevertheless, train...
Nashusha penthouse s3 Ila Sina nguvu ya kuitanzama Kwa Sasa, Chicago typewriter kila niikitazama nastopisha kama chief Kim.
Loool nimepata uraibu mpyaaa king of mask singer wakorea wanaimba jaman...Basi nikiimaliza hizo dozi za mara Moja Kwa wiki nakaa hapo
Park Bo young kwenye doom anajua sanaaa
Hahaha yaan nimevuta tano Ila haziamshiChicago ni majanga mengine nami nilikua naiangalia hivyo hivyo haina amsha amsha story imepoa mno bahati mbaya nilikua nimeivuta yote na kuifuta bila kuiangalia hasara kubwa
Ohoo bora nimeiona hii repyl..hivi nilikuwa nataka ninunue vocha ya buku mbili nijiunge maana nnazo line mbili ingekula kwanguNilishajaribu mara mbili nikala za uso. Mara ya kwanza kuiona hio menu nilijiona bonge la mjanja nikaisaka laini yangu part two kung'uta vumbi nikaijaza bando saa tano na dakika 59 usiku huo fasta nikajitumia night bundle bwana weee sms ikaja nimelamba kifurushi cha bila kikomo wacha nifurahie,kuvuta episode 6 napokea ujumbe wa kifurushi kukaribia kuisha sijakaa sawa naambiwa kifurushi kimeisha kumbe wajinga wale walinipa gb 5 tu kwa 1500 na sio unlimited.
Mara ya pili nikajipa moyo labda walinishtukia ngoja nitumiwe na mtu wa mbali yaan mikoa miwili toka nilipo. nikatumiwa bando la usiku. sms ikaja nina unlimited ila sababu nshakua mwenyeji(kwa maumivu ya kudanganywa unlimited kumbe sio)nikaangalia salio kwanza nikakuta gb 5 tu na sio unlimited.
#wavutadramatunateseka
#boraamshapopo
Kwa style ya halotel tunaibiwa sana ndugu zanguni
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Teh unalo nakuambia
Hahaha yaan nimevuta tano Ila haziamshi
Watu wengi walirecomend wakat natizama Mr. Sunshine Ila imekuwa tofaut na expectation zangu.
Ohoo bora nimeiona hii repyl..hivi nilikuwa nataka ninunue vocha ya buku mbili nijiunge maana nnazo line mbili ingekula kwangu
Nitasubiri mrejesho mwingine aisee[emoji23][emoji23][emoji23]labda kama wamebadilika japo niliunga mwaka huu tena mara ya mwisho ilikua mwezi uliopita mwanzoni. Ila dae hashindwi atajaribu atuletee mrejesho
Ukazipate Kwa Nevertheless, kiss na nyongeza juu kunako ep ya 2 tu[emoji23][emoji23]Mr sunshine iliniweza kweli nilikua naangalia kwa matumaini ya kushuhudia kiss scene lakini waaapiii kama sadala na BET awards jamani
Ukazipate Kwa Nevertheless, kiss na nyongeza juu kunako ep ya 2 tu[emoji23][emoji23]
Navillera nzuri sanaMwezi huu nimeshuka miaka ya huko
nipo ndani ya
1.Take care of us captain
2. Youth of May(nimeimaliza) 2021
3. Navillera 2021
4. The sweet blood(naona ya kitoto kufikirika ila nimeipenda) 2021
5.Second to last love
6. Gye baek
7. cantabile tommorow
Stock ya kutosha kufaidi usingizi kwa wiki kadhaa
Navillera nzuri sana
So inspiring yaani