Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Una utani na ningeee😂😂😂😂 kwa ninge full draft mazaga mazaga tele la mapochopocho
si niliona kadi ya mualiko kutoka kwa nigendako, ndio nikakosa nguvu ya kukualika baada ya kushuhudia umepokea mualiko wa dume suruali