Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Nenda playstore download ha tunnel plus kisha nenda telegram search group linaitwa somo letu(au latestmovie255)utakuta kaweka files za ha tunnel zina jina HAT download litakuja moja kwa moja kwenye app ya ha tunnel. kisha subiria asubuh saa kumi na mbili,salio nunua kwa tpesa sh 10(shilingi kumi au 20) itabust file washa data ,halafu connect ha tunnel kula mseleleko
Numbisa utakapomaliza kupika ugali tafadhali niwekee mafunzo ya kuperuzi mtandaoni bila ya bando.

Nimekaaa paleee kiseke nasubiria darasa lako.

Nauziwa gb 1 kwa buku 2
 
Nenda playstore download ha tunnel plus kisha nenda telegram search group linaitwa somo letu(au latestmovie255)utakuta kaweka files za ha tunnel zina jina HAT download litakuja moja kwa moja kwenye app ya ha tunnel. kisha subiria asubuh saa kumi na mbili,salio nunua kwa tpesa sh 10(shilingi kumi au 20) itabust file washa data ,halafu connect ha tunnel kula mseleleko
  1. T pesa ndio mtandao gani?
  2. Hiyo huduma inapatikana asubuhi tu?
 
Wakuu kwema???
mwenye kuikumbuka hii series tafadhali naomba msaada wa jina lake, kuna series moja zile battle za wakorea dhidi ya uvamizi wa wajapan, wale wakorea (kama sio wachina maana sikumbuki vizuri) walikuwa kati ya sita au nane hivi na kila mmoja ana uwezo wake wa pekee tofauti na wengine, kuna mwamba mmoja alikuwa na nguvu sana kiasi anaweza kukupiga ngumi tumboni ukatoboka, katika wale wavamizi (wajapan kulikuwa na dem mmoja ana machale sana na anapiga mkono balaa, mwishoni nakumbuka kama walijilipua na mabomu kwenye ile kambi ya wajapani.
Natanguliza shukrani!!
 
Hapa nilipo najiuliiza kama ni MR SUNSHINE au ni drama nyingine. Ngoja wataalamu waje watakujuza zaidi
Wakuu kwema???
mwenye kuikumbuka hii series tafadhali naomba msaada wa jina lake, kuna series moja zile battle za wakorea dhidi ya uvamizi wa wajapan, wale wakorea (kama sio wachina maana sikumbuki vizuri) walikuwa kati ya sita au nane hivi na kila mmoja ana uwezo wake wa pekee tofauti na wengine, kuna mwamba mmoja alikuwa na nguvu sana kiasi anaweza kukupiga ngumi tumboni ukatoboka, katika wale wavamizi (wajapan kulikuwa na dem mmoja ana machale sana na anapiga mkono balaa, mwishoni nakumbuka kama walijilipua na mabomu kwenye ile kambi ya wajapani.
Natanguliza shukrani!!
 
Mac Alpho ngoja nikupe short story ya hiyo drama ya "Whisper" kuna jamaa ni judge anajukikana kama ni judge ambaye anatoa hukumu kwa haki ndio anatakiwa kutoa hukumu ya kesi ya baba mmoja na inaonesha kabisa huyo baba ni hana hatia na judge anajua hivyo bahati mbaya wakubwa wake wa huyo judge wanataka huyo baba hakumiwe ili kulinda issue zao na jamaa anaamua kufuata matakwa ya wakubwa maana wao ndio wamemuweka hapo halipo.Baada ya yule Judge kutoa hukumu ya kifungo kwa yule baba ambaye hana hatia binti yake ilimuuma Sana na akataka alipize kisasi na afanye namna yote kutafuta ushahidi utakaoridhisha utakaomsaidia kuthibitisha kuwa baba yako kuwa hana kosa anachoamua kumtumia yule judge kama ngao yakufanya mambo yake kwa namna gani? Yule judge alivolewa chakali akampeleka hoteli akajifanya kama anafanya nae mapenzi huku akirecord judge alivyoamka baada hangover kuisha yule binti akamwambia nina video yako ili nisiirushe ni lazima ufate mikakati yangu kuwaadhibu wakubwa wake na kumbuka jamaa anawatumikia wakubwa wake.
Unadhani jamaa( judge) atafanyaje je akae side ya yule binti au ya wakubwa wake ambao ndio waliomtoa kwenye umasikini? Hapa ndio ukali wa story unapoanzia
Numbisa
Daemushin
talnam
 
Mac Alpho ngoja nikupe short story ya hiyo drama ya "Whisper" kuna jamaa ni judge anajukikana kama ni judge ambaye anatoa hukumu kwa haki ndio anatakiwa kutoa hukumu ya kesi ya baba mmoja na inaonesha kabisa huyo baba ni hana hatia na judge anajua hivyo bahati mbaya wakubwa wake wa huyo judge wanataka huyo baba hakumiwe ili kulinda issue zao na jamaa anaamua kufuata matakwa ya wakubwa maana wao ndio wamemuweka hapo halipo.Baada ya yule Judge kutoa hukumu ya kifungo kwa yule baba ambaye hana hatia binti yake ilimuuma Sana na akataka alipize kisasi na afanye namna yote kutafuta ushahidi utakaoridhisha utakaomsaidia kuthibitisha kuwa baba yako kuwa hana kosa anachoamua kumtumia yule judge kama ngao yakufanya mambo yake kwa namna gani? Yule judge alivolewa chakali akampeleka hoteli akajifanya kama anafanya nae mapenzi huku akirecord judge alivyoamka baada hangover kuisha yule binti akamwambia nina video yako ili nisiirushe ni lazima ufate mikakati yangu kuwaadhibu wakubwa wake na kumbuka jamaa anawatumikia wakubwa wake.
Unadhani jamaa( judge) atafanyaje je akae side ya yule binti au ya wakubwa wake ambao ndio waliomtoa kwenye umasikini? Hapa ndio ukali wa story unapoanzia
Numbisa
Daemushin
talnam

[emoji2][emoji2]
Sio kwa ulivyosimulia
Haya maandishi yote jamani...
 
Hii ADAMAS mbona kama haina amsha-amsha kabisa, au kwasababu bado nipo episode ya kwanza?

Imagine nilianza kuitazama yenyew, ikabid niitafutie side dishes mpaka zikawa main lol
Alchemy niko sambamba bigmouth hivyohivyo, ila yenyewe niko ep ya saba nasikia hadi uvivu ipo slow.

Ila waigizaji wake ni konki ndo inanipa moyo itachangamka
 
Hakuna kama alchemy..... na ukitumia netflix kwenye smart TV unaenjoy mpaka basi. Waiting for episode 20 usiku
Edit:mzigo kwa hewa
 

Attachments

  • Screenshot_20220828-184515_Netflix.jpg
    Screenshot_20220828-184515_Netflix.jpg
    144.4 KB · Views: 21
Back
Top Bottom