Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata Numbisa nahisi kuna kitu hutuambii [emoji1787][emoji1787] haiwezekani umerelax hivyo bila kitonga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee tuliokosa ujanja wacha tuendelee kuumia tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi nimepaliwa .Mie natumia ujanja wa Al hadidy bahati nzuri kwangu inakubali japo kuna changamoto za hapa na pale. Ukimsoma vizuri al hadidy na ukajiongeza kwa ujanja na uvumilivu utaenjoi kila kitonga anachokiweka hapa na simu ni 4G
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] aisee tuliokosa ujanja wacha tuendelee kuumia tu
Si nilitoa maelekezo rahisi hapa maana mimi mvivu wa kutazama meseji hata online nakuwaga mara chache humu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi nimepaliwa .Mie natumia ujanja wa Al hadidy bahati nzuri kwangu inakubali japo kuna changamoto za hapa na pale. Ukimsoma vizuri al hadidy na ukajiongeza kwa ujanja na uvumilivu utaenjoi kila kitonga anachokiweka hapa na simu ni 4G
Huyu nae...anaoa ili iweje? Hajaambiwa kuwa ndoa ni utapeli?View attachment 2614060
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijapentaaAnajidai sio team kataa ndoa
Labda kakutana na mmakonde au mngoni[emoji16] asilaumiwe
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sijapentaa
Nahisi hapa kwenye 4G labda ndo napokwama
Lakini em ni boost
Ni muda wote?
Huyu nae...anaoa ili iweje? Hajaambiwa kuwa ndoa ni utapeli?View attachment 2614060
Kipaji hakipotei akina Jang Hyuk na Ji Sung bado wanatambaBora waoe kipaji kiwaishe waache nafasi kwa handsome wengine nao tuwaone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Waendelee kuwepo hao wengine watakuja kwa wakati waoBora waoe kipaji kiwaishe waache nafasi kwa handsome wengine nao tuwaone[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kipaji hakipotei akina Jang Hyuk na Ji Sung bado wanatamba
Kwa mfano naniWachache wanatamba ila wengi wanapotea
Kwa mfano nani
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Subiri niyashike majina yao vizuri na kisawa sawa ili nije nikutajie