Kwa wasikilizaji wa Clouds FM the People's Station Mnisaidie hili

Kwa wasikilizaji wa Clouds FM the People's Station Mnisaidie hili

Mimi nilikuwa nataka kumjua sanaa.yule jamaa anaeweka sauti kwenye matangazo ya ukimwi.
Juzi naangalia tamthilia ya huba.nikaskia sauti Yake.
Ni yule cheche mtungi.
Hata kwenye video ya banana zoro ya zoba alikuwepo
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Majibu ya wadau yanaponyesha malaria kwa kweli haahaa
 
Hata sio huyo Chris Lugoe anayetangaza Choice FM wala yule aliyeenda Vodacom tunaomba jibu sahihi.Hiyo sauti sio ya mchezo ni namba 1 Tanzania kwa jingles.
 
Aslaam aleikyum wanajamvi..Kwanza nianze kwa kutoa pole kwa wanafamilia wote wa CMG kwa kuondokewa na Watu wawili muhimu(Ruge&Kibonde),Kazi yake mola haina makosa...Let me back to the business,Kwa waskilizaji wazuri wa Clouds FM lazima watakua wanaijua hii sauti,Kuna sauti nzito kama uji na yakitofauti hua inaskika zaidi ya 80% kwenye Vipindi vyote vya Clouds FM,Sauti ya huyu Dingilii inatumika kwenye vipindi vyote iwe kwenye Jingles,Sign tune,Sweeper,Enter programs,Promo nk.Ata sasahivi sauti yake inaskika sana kuhusu kifo cha kibonde ikisema"Emphraim kibonde wewe ni sura halisi ya Utamaduni wa Clouds,Kurasa za Kibs",,Jingles na Enter program zake ni1:Ekstraa Ekstra Laajii.2:Jahazi la Clouds FM mdogomdogo hadi saa moja.3:Leeo tenaa.4:Njia panda na Dr.Isaac Maro...pia Sweeper zake ni 1:Mbili tano tano.2:Mastori ya Town.3:Heka heka Unlimited nk...Pia Frequency zote za Clouds FM katika mikoa yote Tz huzitaja yeye mfano 88.1MHz Clouds FMArusha/Mwanza,87.5 MHz Clouds FM Shinyanga,104.4MHz Clouds FM Dodoma...Pia zamani hii sauti Ilikua ikiskika ikisema"CLAAAAUUUUZZZ FM...Naombeni wanajamvi mnijulishe huyu jamaa anaitwa nani na Yuko wapi saiv na kwanini hana kipindi pale mawingu??Asanteni....



@ChaliiYaKijengeJuu.
ile sauti ya Cloooouuuuudss fm, ni ya M L Chriss ila iliondolewa kwasababu jamaa aliondoka kituo kile mambo ya copyright wakaondoa ile jingle,

hiyo sauti unayoisema, siyo ya Lugoe, na mwanzo mimi nilijua ni ya DJ VENTURE ila bado sijathibitisha
 
Hiyo sauti ni kiboko,sasa pata picha ikiwa inampgia mtu promo.
 
Back
Top Bottom