Kwa wasikilizaji wa Clouds FM the People's Station Mnisaidie hili

Kwa wasikilizaji wa Clouds FM the People's Station Mnisaidie hili

Hapana mkuu kuna siku nilipost kitu kuhusu kipindi cha XXL nikakosea kidogo kitu fulani,Dah watu walinishambulia balaa asee.!hadi nikashangaa kumbe clouds ina listers wengi ivi?!!
Sasa kilichokushangaza ni kipi?
 
Huyo chalii nilishawahi kumuona live kwenye shoo ya clouds uswazi jamaa akapanda stejini akawa anaonyesha uwezo wake live kama anafanya matangazo, basi raia kila walikuwa hawataki ashuke wanataka arudie rudie kwa kweli kila mtu pale alishangazwa na uwezo wake yaani kiufupi tu jamaa mchangamfu sana halafu yuko simpo hata kimavazi
 
Huyo chalii nilishawahi kumuona live kwenye shoo ya clouds uswazi jamaa akapanda stejini akawa anaonyesha uwezo wake live kama anafanya matangazo, basi raia kila walikuwa hawataki ashuke wanataka arudie rudie kwa kweli kila mtu pale alishangazwa na uwezo wake yaani kiufupi tu jamaa mchangamfu sana halafu yuko simpo hata kimavazi
Uyu dingilii ni konyo sana bablae..ndo uyo kwenye picha walizoleta machalii apo juu au sio yeye??coz we ushamuona..
 
Ni sauti ya kati ya hawa watu wawili,Razalo matalange au Georg Jokopa.halaf nikumbushie,G.Jokopa Ilikuwa na kipindi kinaitwa jicho LETU jmos asubuh,jamaa anajua sana mambo ya ulimwengu wa siasa za nje na historia kwa ujmla
 
Nimemsahau kwa jina, ila kwenye sherehe zao zile za bathidei au kufunga mwaka huwa anahojiwaga sana na mm nimeshawahi kumsikia mara kadhaa. Yy anakitengo chake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyo mtu anaitwa Patrick yeye hua co mtangazaji wa chombo chochote bali huitwa kwa mkataba maalum popote pale! sauti yake husikika pia azam TV, TV1, clouds na matangazo mbalimbali, aliwai pia kuigza siri ya mtungi
Hivi ni talanta au professionalism?

Professionalism nina maana kwamba kuna kozi kwa ajili ya ishu kama hizo mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni sauti ya kati ya hawa watu wawili,Razalo matalange au Georg Jokopa.halaf nikumbushie,G.Jokopa Ilikuwa na kipindi kinaitwa jicho LETU jmos asubuh,jamaa anajua sana mambo ya ulimwengu wa siasa za nje na historia kwa ujmla
Sio Jokopa mkuu

Ni Njogopa samahani lakini kama nitakuwa nimekosea kusahihisha mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani atakuwa Kusaga
Kusaga huyu aliyejiita naye kijana kwenye msiba wa Kibonde
Kusaga tunamsikia wakati bado tupo shule mpaka leo bado kijana hahahh uzee unaogopeka si mchezo.
Youth ends at 35 - labda alirekodi akiwa na umri huu hapa
 
Ni sauti ya kati ya hawa watu wawili,Razalo matalange au Georg Jokopa.halaf nikumbushie,G.Jokopa Ilikuwa na kipindi kinaitwa jicho LETU jmos asubuh,jamaa anajua sana mambo ya ulimwengu wa siasa za nje na historia kwa ujmla
zamani sana mkuu labda nilikua bado sijazaliwa,coz nilianza kuskiliza clouds nikiwa darasa la5 enzi za Emmanuel Likuda,Mussa Hussein,Kibonde na Wasiwasi mwabulambo pale Jahazini,XXL ina kina Dozen,Dj Fetty,Mchomvu,Dee andy na Dj stevie B,Leo tena ina Dina Mario, Ghea kabla ya hawa kina Jose Mara uku Powerbreakfast ikiwa na Babra hassan,Gerrard Hando na PJ,Top20 ni Millard Ayo.Ray Mshana na Dee Andy wana kipindi cha Total Request,Pia Perfect Crispin anakipindi cha Klabu10,,So sijaanza zamani sana Nilianza miaka ya 2009/10 up to now.
 
zamani sana mkuu labda nilikua bado sijazaliwa,coz nilianza kuskiliza clouds nikiwa darasa la5 enzi za Emmanuel Likuda,Mussa Hussein,Kibonde na Wasiwasi mwabulambo pale Jahazini,XXL ina kina Dozen,Dj Fetty,Mchomvu,Dee andy na Dj stevie B,Leo tena ina Dina Mario, Ghea kabla ya hawa kina Jose Mara uku Powerbreakfast ikiwa na Babra hassan,Gerrard Hando na PJ,Top20 ni Millard Ayo.Ray Mshana na Dee Andy wana kipindi cha Total Request,Pia Perfect Crispin anakipindi cha Klabu10,,So sijaanza zamani sana Nilianza miaka ya 2009/10 up to now.[/QUOT


hapo n juzi sana mkuu,kuanzia 2008 kurudi nyuma hao jamaa walikuwepo
 
Back
Top Bottom