Job seeker 2
Senior Member
- Oct 28, 2018
- 178
- 111
Wadau wa mahusiano...mimi nilikutana na rafiki wa kike huko field sikuwa namfahamu japokuwa nimesoma chuo anachosoma ...nilikuwa mwaka wa pili 2017 yeye akiwa mwaka wa 1! Tulikaa nyumba ya kupanga yenye get moja tofauti chumba. Tulianza mazoea hapo siku ya kwanza nilimuona binti mstarabu sana hivyo sikuwa na haraka ya kujua hata jina lake but yeye aliwahi kulijua jina lang.
Nikaanza kumzoea huku nikishangaa uumbwaji wake (chura chura) ..akanipa namba ..sikuwa na piga simu ovyo wala text...nikamuomba siku moja twende out ili nipime kama atalainika maana niliona dalili za utamu.
Akakubali huwezi amin demu nilivomtoa out alilainika mda huo nikaanza kuchezea anga zote...akaitia haikuwa na usumbufu nikamrudisha geto ili nimchanje chare na mhogo wangu ...nikamvua nguo kama natania vile naye akawaka moto nikaingizia zima moto nikamwaga maji meupe ndan ya tank siku ya 1 kujuana nae! Tangia hapo nikaanza kumwagilia bustan kadr nitakavyo.....
Sasa najiuliza inakuwaje mwanamke anatoa utamu wake kwangu kirahis hivyo au kuna kitu nyuma ya pazia?
Nikaanza kumzoea huku nikishangaa uumbwaji wake (chura chura) ..akanipa namba ..sikuwa na piga simu ovyo wala text...nikamuomba siku moja twende out ili nipime kama atalainika maana niliona dalili za utamu.
Akakubali huwezi amin demu nilivomtoa out alilainika mda huo nikaanza kuchezea anga zote...akaitia haikuwa na usumbufu nikamrudisha geto ili nimchanje chare na mhogo wangu ...nikamvua nguo kama natania vile naye akawaka moto nikaingizia zima moto nikamwaga maji meupe ndan ya tank siku ya 1 kujuana nae! Tangia hapo nikaanza kumwagilia bustan kadr nitakavyo.....
Sasa najiuliza inakuwaje mwanamke anatoa utamu wake kwangu kirahis hivyo au kuna kitu nyuma ya pazia?