Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumbeUkiona hivyo we jua ni mkarimu sana, sio mchoyo
Mdogo wangu soma sana achana na hizo papuchi utazikuta mbele ya safariWadau wa mahusiano...mimi nilikutana NA rafiki wa kike huko field sikuwa namfaham japokuwa nimesoma chuo anachosoma ...nilikuwa mwaka wa pili
Mkuu nimemaliza hyo papuch nimeiacha chuo[emoji2] [emoji2] [emoji2]Mdogo wangu soma sana achana na hizo papuchi utazikuta mbele ya safari
Cha kufanya ni PM namba ya hiyo papuchi niijulie haliMkuu nimemaliza hyo papuch nimeiacha chuo[emoji2] [emoji2] [emoji2]
Unapenda vitu hiv mkuuCha kufanya ni PM namba ya hiyo papuchi niijulie hali
Nataka nimuonye asikusumbue sumbueUnapenda vitu hiv mkuu
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]Nataka nimuonye asikusumbue sumbue
SUA? kozi gani anasoma?Yuko Sua
Mkuu napata mashaka ujue wewe ni mwalimu ulikuwa SMC na huyo bidada alikuwa main ilikuwaje mkapanga nyumba moja ilihali wote mpo campus mbili tofauti.Kwa bahat mbaya hatumii hata jf n mrembo wa msuli mrefu BVM
Huyu dada afutiwe mashitaka yotejamhuri hatuna nia ya kiendelea na shauri lolote dhidi yakeHakuna kuzungushana siku hizi