Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Habari JF ,Kwa wanasheria Kwa kuangalia hili la Kuondoka Kwa Membe .
Hivi Mimi kama nimechafuliwa nikafungua kesi nikashinda ikabidi nilipwe fidia .lakini Kwa Bahati mbaya nikafariki ,je ile fidia nayo inakufa ?
Imeshaatoka hivyoTena ilitakiwa familia ilipwe mara 2 maana alietakiwa kulipa hakufanya hivyo kwa wskati hadi mahakama ilivyokazia hukumu. Hivyo mlipaji nikaidi(according to mimi).
Ila kifo cha huyu mwamba Mungu ndiye mwenye siri nacho maana km sikosei Yono auction alipewa hadi trh 15 mwezi huu wa 5 ikiwa Musiba hajalipa deni basi wamfulisi, lakini daaaaaa he he he he he [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Ww ukiambiwa ununue nyumba ya musical hata kwa 500000 utathubutuHabari JF ,Kwa wanasheria Kwa kuangalia hili la Kuondoka Kwa Membe .
Hivi Mimi kama nimechafuliwa nikafungua kesi nikashinda ikabidi nilipwe fidia .lakini Kwa Bahati mbaya nikafariki ,je ile fidia nayo inakufa ?
Naskia yono walifanywa kitu mbayaTena ilitakiwa familia ilipwe mara 2 maana alietakiwa kulipa hakufanya hivyo kwa wskati hadi mahakama ilivyokazia hukumu. Hivyo mlipaji nikaidi(according to mimi).
Ila kifo cha huyu mwamba Mungu ndiye mwenye siri nacho maana km sikosei Yono auction alipewa hadi trh 15 mwezi huu wa 5 ikiwa Musiba hajalipa deni basi wamfulisi, lakini daaaaaa he he he he he 😆😆😆😆
🤣🤣🤣🤣Ww ukiambiwa ununue nyumba ya musical hata kwa 500000 utathubutu
Duuuu walifanywaje tena.Naskia yono walifanywa kitu mbaya
Hiyo kesi ya madai iliyotolewa hukumu na kukaziwa haifi. Ni msuli wa mdai kusimamia ulipwaji kwa kufuata taratibu za kisheria. Mdaiwa pia anayo haki ya namna anavyotendewa kwa kuzingatia haki za binadamu.Habari JF ,Kwa wanasheria Kwa kuangalia hili la Kuondoka Kwa Membe .
Hivi Mimi kama nimechafuliwa nikafungua kesi nikashinda ikabidi nilipwe fidia .lakini Kwa Bahati mbaya nikafariki ,je ile fidia nayo inakufa ?