Kwa Watanzania walio na malengo ya kuishi kutafuta kazi au kusoma nchini Ubelgiji au Uswisi someni hapa

Uzi mzuri lakini wabongo kuchangamkia fursa kimataifa huwa ni wagumu mno wengi hawajiamini hili andiko labda litawafaidisha wakenya tu kupata connection na huyo mwenzao uliesema anamiliki Club ya Rumba
 
Uzi mzuri lakini wabongo kuchangamkia fursa kimataifa huwa ni wagumu mno wengi hawajiamini hili andiko labda litawafaidisha wakenya tu kupata connection na huyo mwenzao uliesema anamiliki Club ya Rumba
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mkuu Parabora ingependeza ungeshea nasi vile vilivyomo au vinavyopatikana ndani ya hizo night club nadhani kutakuwa na vitu vya ziada tofauti na night club zetu,,
 
Mkuu hebu nipe connection ya scholarship za Masters huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Parabora mi nakualika Scotland na nakuahidi Ukija huku,stress free na nyumba ya kufikia na chakula chako chote during your stay,

Ila Mzee Mimi nakujirusha katika maisha yangu yote nimewahi mara moja Tu night club Scotland tena ilikuwa ni Kwa sababu maalum ndo mana nilienda,jamaa walikuwa wanafanya fund Raising ya charity ambayo nipo involved,

Ukifika huku ntakupa kila Aina support na list ya club zote na kama Una driving licence ya EU,na Gari pia ntakupa uzungukie night club zote mpka uchoke,

Hapa IPO Night club moja ya wakenya kama ulivyozungumzia hapo juu ukanimbusha unaitwa KALABASH,ndo huwa naskia vijana wengi wa ngozi zetu hizi wanajitumbukiza huko,Mimi sijawahi Tia mguu labda kupita Kwa nje Tu.

Wabongo walio wengi huwa wanapenda kwenda nje kujiripua kikimbizi na kutobolea njia hiyo na sio wengi sana ambao wanapenda kutumia route ya kusoma,nadhani hili linachagizwa zaidi na gharama ndefu za kuandaa masomo nje ya Nchi,

Karibu Sana Mkuu
Mzee wa Scotland Adabwash washe, Daby na totoz zako akina Khantwe na Jael kujeni huku mfanye utaratibu wa kukwea mwewe
cc Depal ,Victoire , Dinazarde,Witmak255, daud 1990,bullar, amu, Extrovert,HARUFU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu Adabwash kwanza nashukuru sana Jf kutukutanisha wewe tayari ni ndugu na rafiki wa karibu nakuahidi nitakuwa huko kabla ya mwaka huu kuisha
 
Lockdown inafaida zake,Mabandiko kama haya tusingeyapata kama si Kwa faida ya covid 19,

Mi Mzee nimekaa ndani mpaka Najiskia kupiga makele, na nikiona video watu wapaost ukifungua mlango ndo kirusi kinakungoje ndo kabisaaaa nazidi kuchanganyikiwa.
Mzee wa Scotland Adabwash washe, Daby na totoz zako akina Khantwe na Jael kujeni huku mfanye utaratibu wa kukwea mwewe
cc Depal ,Victoire , Dinazarde,Witmak255, daud 1990,bullar, amu, Extrovert,HARUFU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒKaka we acha tu Mimi mgongo unauma kwa kulala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…