Parabora
JF-Expert Member
- Jul 6, 2019
- 1,504
- 2,203
- Thread starter
- #41
Mkuu Mayor Slum pitia hapa hili lilikuwa moja la hitaji lako majuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natamani sana kufika huko na uingineer wangu mshahara hautoshelezi kuwa huko na hata huyo mkata majani wa huko ananizidi hizo pesa anazolipwa kwa saa nimezichange yaani simpati hata robo ya robo ya anachokiingiza akifanya masaa 4 tu kwa siku😲😲 Duuuh
Wala tusiwape watu lawama sisi wabongo linapokuja suala la fursa za kimataifa ni waoga na hatujiamini kabisa Kama tungekuwa na watu aina ya Kenya na Nigeria ungeona namna ya maswali ambayo tungeuliza hapa na narudia tena huu uzi utawafaidisha sana wakenya Kama wakipitwakipita hapaMfano jaluo au mkikuyu akipata connection nje ya nchi anawavuta kabila yake na nduguze kibao sisi atabaki tu kusimulia anavyokula Bata huko aliko!!!
😀😀Natamani sana kufika huko na uingineer wangu mshahara hautoshelezi kuwa huko na hata huyo mkata majani wa huko ananizidi hizo pesa anazolipwa kwa saa nimezichange yaani simpati hata robo ya robo ya anachokiingiza akifanya masaa 4 tu kwa siku
Kweli mkuu sio utani kabisa
Naunga mkono hojaWala tusiwape watu lawama sisi wabongo linapokuja suala la fursa za kimataifa ni waoga na hatujiamini kabisa Kama tungekuwa na watu aina ya Kenya na Nigeria ungeona namna ya maswali ambayo tungeuliza hapa na narudia tena huu uzi utawafaidisha sana wakenya Kama wakipitwakipita hapa
😲😲😲😲😲Mkuu Club za hawa wenzetu zimesanifiwa kwa kuvutia sana ukibahatika kuingia utatamani kusikuche
Ubaguzi vipi?Mkuu Club za hawa wenzetu zimesanifiwa kwa kuvutia sana ukibahatika kuingia utatamani kusikuche
Tuongozane uendapo Old Woman.Sasa kijana wangu haya maandiko yako ya siku mbili hizi yananipa wazimu na hii pensheni yangu hapa natamani nije kumalizia uzee wangu huko
Kijana wa Tz akinunua Brevis anaona dunia yote yake,tofauti na wenzetuWala tusiwape watu lawama sisi wabongo linapokuja suala la fursa za kimataifa ni waoga na hatujiamini kabisa Kama tungekuwa na watu aina ya Kenya na Nigeria ungeona namna ya maswali ambayo tungeuliza hapa na narudia tena huu uzi utawafaidisha sana wakenya Kama wakipitwakipita hapa