hakomana sekemesekeme
JF-Expert Member
- Oct 15, 2023
- 646
- 1,568
bwege weweRoho mtakatifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bwege weweRoho mtakatifu.
Hatumridhishi Mungu yeye amesharidhika kitambo. Maana vitu vyote ni vyake. Ni njia ya kuonyesha kwa vitendo kuwa vitu ulivyonavyo vyatoka kwake.hamna, sisi tusioamini hatutoi sadaka,
sadaka si unatoa kumridhisha mungu? sisi hatuna lengo la kumridhisha mungu
ni ngumu sana kubishana na wewe matunduiziHatumridhishi Mungu yeye amesharidhika kitambo. Maana vitu vyote ni vyake. Ni njia ya kuonyesha kwa vitendo kuwa vitu ulivyonavyo vyatoka kwake.
Ni njia aliyoweka kutusaidia sisi tukajisahau na kusahau mpaji tukaanza kujiabudu na kuabudu watu au vitu.
Asante kwa mchango mzuri. Wewe ni mtu Mwema sana.bwege wewe
Nadhani hiyo huwa anaandaa namna nzuri ya kuwapa/kuboresha utoaji wa elimu bora kwa jamii ya waumini na jamii kwa ujumla,kwani atakapopata elimu mwaka huu mtoto wako wewe mchangiaji na atakapopata elimu mwanangu mimi kwa baadae ambaye si mchangiaji automatically kile ulichochangia wewe kitakuwa kimeingiza product bora kwenye jamii atakayokuwa anaishi mwanao so dunia itakuwa bora.Kwahiyo tunamjengea mchungaji na familia yake shule?🤔 akifa unabaki urithi wa watoto wake?
Kama ni hicyo kwanini asiende kuchukua mkopo bank? Akiwa anapata faida atarudisha
Wachungaji wengi wanawanyonya waumini
Tofautisha katoriki anglicana na walokole!Nadhani hiyo huwa anaandaa namna nzuri ya kuwapa/kuboresha utoaji wa elimu bora kwa jamii ya waumini na jamii kwa ujumla,kwani atakapopata elimu mwaka huu mtoto wako wewe mchangiaji na atakapopata elimu mwanangu mimi kwa baadae ambaye si mchangiaji automatically kile ulichochangia wewe kitakuwa kimeingiza product bora kwenye jamii atakayokuwa anaishi mwanao so dunia itakuwa bora.
Na ndiyo maana halisi ya sadaka kwamba hutafaidika nayo wewe moja kwa moja,ni somo pana kidogo lakini huwa linaeleweka zaidi kama hizo shule zikawa ni za taasisi kubwa eg KKKT,Anglican,Islam,Catholics na mfanano wa hizo ila kwa watu kama mamposa sijui nabii nani huko ndiyo huleta ukakasi japo ukichukulia kwamba ni kwa manufaa ya jamii mzima ni jambo jema pia.
Sadaka yake imejenga Miundombinu.Nadhani hiyo huwa anaandaa namna nzuri ya kuwapa/kuboresha utoaji wa elimu bora kwa jamii ya waumini na jamii kwa ujumla,kwani atakapopata elimu mwaka huu mtoto wako wewe mchangiaji na atakapopata elimu mwanangu mimi kwa baadae ambaye si mchangiaji automatically kile ulichochangia wewe kitakuwa kimeingiza product bora kwenye jamii atakayokuwa anaishi mwanao so dunia itakuwa bora.
Na ndiyo maana halisi ya sadaka kwamba hutafaidika nayo wewe moja kwa moja,ni somo pana kidogo lakini huwa linaeleweka zaidi kama hizo shule zikawa ni za taasisi kubwa eg KKKT,Anglican,Islam,Catholics na mfanano wa hizo ila kwa watu kama mamposa sijui nabii nani huko ndiyo huleta ukakasi japo ukichukulia kwamba ni kwa manufaa ya jamii mzima ni jambo jema pia.