Kwa watumiaji wa supu ya kongoro someni hapa

Kwa watumiaji wa supu ya kongoro someni hapa

Hata juisi wengine wanakamulia kwapa lkn bado tunapiga na tunaishi,nn supu inayoiva jikoni mkuu!?
 
Tutafika tu, ulaya kongoro unalikuta butcher limesafishwa. Unaulizwa ukatiwe?
Dah! Unaulizaje hapo mwisho? (joking)Lakini mkuu, mimi siwezi kukubali kuuziwa kipande cha ngozi kilichopo kwenye mfupa kwa Tsh. 2500.Sikubali. Hahahahahaaa!
 
Supu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana.

Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu.

Mathalani unamuona mtu ameshika fegi mkono mmoja na mkono mwingine anaparua kongoro na kulizamisha kwenye maji ya moto kwenye sufuria chafu.

Au unaona mama anapenga makamasi na kujifutia mikono inayoparua kongoro.

Kwakweli kongoro ni tamu licha ya mazingira mabovu sana ya mapishi na wapikaji.

Bora tu kitimoto rost na dona
Mkuu limbwata inatumika sana kitimoto hasa sinza na kmr sijui naoo n uchafuu
 
Mimi ni mpenzi wa hii kitu sana ila kuna wakati hamu inanitoka kabisa mkono huohuo anapokelea pesa,huo huo anashika anakatia kongoro,hiyo tisa alijifunua akajikuna kiunoni hiyo boxer duh niliachaje manyoya?ila wapo wachache wastaarabu sana
Hahahaaaa akikuna kwapa unajua mkonogani anatumia

Walemabinti wanaowashwa sehemuza siri na uti unahisi anajikuna na vidole vya mguuni..yaani ukishaamua kukaa kitini we pambana na haliyako mengine wachie
[HASHTAG]#HONTUMBO[/HASHTAG]
 
Mnanyonyannyuchi bilakuujua nao nuchafu
 
Njoo upate kongoro kwa Mama k ufipa pale kongoro safi anauza kongoro zaidi ya Miaka 10 hapo....

Ova
 
Kwenye papuchi unazama chumvini ujaona uchafu , acha tunywe kongoro tukate hangover za weekend.
Ukichunguza chunguza sana utashindwa kuishi ...
 
Supu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana.

Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu.

Mathalani unamuona mtu ameshika fegi mkono mmoja na mkono mwingine anaparua kongoro na kulizamisha kwenye maji ya moto kwenye sufuria chafu.

Au unaona mama anapenga makamasi na kujifutia mikono inayoparua kongoro.

Kwakweli kongoro ni tamu licha ya mazingira mabovu sana ya mapishi na wapikaji.

Bora tu kitimoto rost na dona
Yaani kooooote kuna mashiko Ila mstari wa mwisho umeharibu
 
Dah!
Tuombe radhi aisee,
Yaani hata sie maustadh tule Mdudu?
 
Back
Top Bottom