Kwa watumiaji wa supu ya kongoro someni hapa

Kwa watumiaji wa supu ya kongoro someni hapa

Mbona karanga zizokaangwa na kufungwa kwenye nylon mnakula wakati wa kujazwa mle, ile nailoni hupulizwa na mtu mwenye mafua na anakoholea humohumo kisha anafunga! Si bora kongoro sababu baada ya kukwanguliwa huoshwa na kuchemshwa kwenye joto kali hadi liive.
 
Hahahahahaa hizo fitna hizo, Leo nimepikiwa mkia home Aaaghh hata haunogi Kama WA Bar
 
Supu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana.

Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu.

Mathalani unamuona mtu ameshika fegi mkono mmoja na mkono mwingine anaparua kongoro na kulizamisha kwenye maji ya moto kwenye sufuria chafu.

Au unaona mama anapenga makamasi na kujifutia mikono inayoparua kongoro.

Kwakweli kongoro ni tamu licha ya mazingira mabovu sana ya mapishi na wapikaji.

Bora tu kitimoto rost na dona
Maandalizi ya supu ya kongoro machafu yapo mtaani kwenu tu, kwetu ni wasafi Sana, wanaipenda kazi yao, ndo inayowaweka mjini, wanaithamini Sana.
Huko kwenu siji n'go
 
Supu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana.

Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu.

Mathalani unamuona mtu ameshika fegi mkono mmoja na mkono mwingine anaparua kongoro na kulizamisha kwenye maji ya moto kwenye sufuria chafu.

Au unaona mama anapenga makamasi na kujifutia mikono inayoparua kongoro.

Kwakweli kongoro ni tamu licha ya mazingira mabovu sana ya mapishi na wapikaji.

Bora tu kitimoto rost na dona

Inategemea upo wapi
 
Binafsi siwezi kuacha kwa sababu ya kusoma ulichoandika. Kama ulienda kwa wachafu ni uzembe wako
 
Supu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana.

Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu.

Mathalani unamuona mtu ameshika fegi mkono mmoja na mkono mwingine anaparua kongoro na kulizamisha kwenye maji ya moto kwenye sufuria chafu.

Au unaona mama anapenga makamasi na kujifutia mikono inayoparua kongoro.

Kwakweli kongoro ni tamu licha ya mazingira mabovu sana ya mapishi na wapikaji.

Bora tu kitimoto rost na dona
Watu wameshindwa kuacha gegedo za rejareja/ kuuza na kununua dada poa, wataachaje kula kongoro?

Asante kwa ushauri japo si mshabiki wa kongoro mimi.
 
Back
Top Bottom