Kwa watumiaji wa supu ya kongoro someni hapa

Kwa watumiaji wa supu ya kongoro someni hapa

Supu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana.

Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu.

Mathalani unamuona mtu ameshika fegi mkono mmoja na mkono mwingine anaparua kongoro na kulizamisha kwenye maji ya moto kwenye sufuria chafu.

Au unaona mama anapenga makamasi na kujifutia mikono inayoparua kongoro.

Kwakweli kongoro ni tamu licha ya mazingira mabovu sana ya mapishi na wapikaji.

Bora tu kitimoto rost na dona
Kwa uzoefu wa maeneo gani ndo maandalizi yanakuwa hivyo maana mimi najua Kongoro linakuwaga poa tu kuanzia maandalizi mpaka kula tena wakati mwingine naandaliwa home
 
Duh kongoro ilivyokuwa tamu siiachi hata mseme nn kwanza inaongeza rutuba kwenye kwenye tendo la ndoa
 
Supu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana.

Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu.

Mathalani unamuona mtu ameshika fegi mkono mmoja na mkono mwingine anaparua kongoro na kulizamisha kwenye maji ya moto kwenye sufuria chafu.

Au unaona mama anapenga makamasi na kujifutia mikono inayoparua kongoro.

Kwakweli kongoro ni tamu licha ya mazingira mabovu sana ya mapishi na wapikaji.

Bora tu kitimoto rost na dona
ni huko unapoishi mkuu ila huku kwetu mambo mazuri tu.
ila kwa ushauri tu usimchunguze sana bata coz unaweza usimle
 
Supu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana.

Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu.

Mathalani unamuona mtu ameshika fegi mkono mmoja na mkono mwingine anaparua kongoro na kulizamisha kwenye maji ya moto kwenye sufuria chafu.

Au unaona mama anapenga makamasi na kujifutia mikono inayoparua kongoro.

Kwakweli kongoro ni tamu licha ya mazingira mabovu sana ya mapishi na wapikaji.

Bora tu kitimoto rost na dona
maxresdefault+%281%29.jpg
[emoji39]
tanzanian-konyagi-a-spirit-drink-based-on-molasses-made-from-sugarcane-fcwp91.jpg
[emoji106] [emoji123]
 
Mimi ni mpenzi wa hii kitu sana ila kuna wakati hamu inanitoka kabisa mkono huohuo anapokelea pesa,huo huo anashika anakatia kongoro,hiyo tisa alijifunua akajikuna kiunoni hiyo boxer duh niliachaje manyoya?ila wapo wachache wastaarabu sana
WACHA KULA MAKONGORO SEHEMU ZA HOVYO HOVYO MKUU.KWETU HUANDALIWA KWA USAFI WA HALI YA JUU UKIPENDA UELEKEZWE
 
Back
Top Bottom