Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaa [emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81]Tena ukipata pumbu LA ng'ombe pale Kwa wauza kongoro ndo hatari,mm nikienda Kwa muuza kongoro km hana pumbu LA ng'ombe naondoka.
Uliotumika tenaHua wanazikwangua kwa wembe
Duuuh mkuu!! Ya kweli hayo? So ukiagiza kongoro watu wanajua umeagiza boosterKongoro linanipa nguvu ya kupampu
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kweli MKUU tena saana tu yaani nikinywa napiga pumpu kishenziDuuuh mkuu!! Ya kweli hayo? So ukiagiza kongoro watu wanajua umeagiza booster
Hatuachi kongoro hata iweje
Nzi kufia kwenye kidonda!Hatuachi kongoro hata iweje
Aje aone mapupu yetu yanavyopigwa vita[emoji19] [emoji19]Swahiba cuzoo wangu unamtaka nini lakini[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yani wanamuharibia Slim5 soko[emoji57] [emoji57]Aje aone mapupu yetu yanavyopigwa vita[emoji19] [emoji19]
Kwa uzoefu wa maeneo gani ndo maandalizi yanakuwa hivyo maana mimi najua Kongoro linakuwaga poa tu kuanzia maandalizi mpaka kula tena wakati mwingine naandaliwa homeSupu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana.
Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu.
Mathalani unamuona mtu ameshika fegi mkono mmoja na mkono mwingine anaparua kongoro na kulizamisha kwenye maji ya moto kwenye sufuria chafu.
Au unaona mama anapenga makamasi na kujifutia mikono inayoparua kongoro.
Kwakweli kongoro ni tamu licha ya mazingira mabovu sana ya mapishi na wapikaji.
Bora tu kitimoto rost na dona
ni huko unapoishi mkuu ila huku kwetu mambo mazuri tu.Supu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana.
Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu.
Mathalani unamuona mtu ameshika fegi mkono mmoja na mkono mwingine anaparua kongoro na kulizamisha kwenye maji ya moto kwenye sufuria chafu.
Au unaona mama anapenga makamasi na kujifutia mikono inayoparua kongoro.
Kwakweli kongoro ni tamu licha ya mazingira mabovu sana ya mapishi na wapikaji.
Bora tu kitimoto rost na dona
Supu pendwa ya kongoro huwa inaandaliwa katika mazingira mabovu na mchafu sana.
Si wapishi Si masufiria ya kupikia Si vijiko na si vibanda vyao yaani uchafu uchafu tu.
Mathalani unamuona mtu ameshika fegi mkono mmoja na mkono mwingine anaparua kongoro na kulizamisha kwenye maji ya moto kwenye sufuria chafu.
Au unaona mama anapenga makamasi na kujifutia mikono inayoparua kongoro.
Kwakweli kongoro ni tamu licha ya mazingira mabovu sana ya mapishi na wapikaji.
Bora tu kitimoto rost na dona
Siyo mke tu mkuu! Hata bata ukimchunguza sana hutakula nyama yake! Au nyuki naye hutakaa ule asali!Acha fitna..! Hata mke ukimchunguza sana hukai nae.
WACHA KULA MAKONGORO SEHEMU ZA HOVYO HOVYO MKUU.KWETU HUANDALIWA KWA USAFI WA HALI YA JUU UKIPENDA UELEKEZWEMimi ni mpenzi wa hii kitu sana ila kuna wakati hamu inanitoka kabisa mkono huohuo anapokelea pesa,huo huo anashika anakatia kongoro,hiyo tisa alijifunua akajikuna kiunoni hiyo boxer duh niliachaje manyoya?ila wapo wachache wastaarabu sana
Hahaaaaa bila shaka ulitoshekaNimemaliza balimi yangu hapa na kongolo matata