Kwa watumiaji wa supu ya kongoro someni hapa

Kwa uzoefu wa maeneo gani ndo maandalizi yanakuwa hivyo maana mimi najua Kongoro linakuwaga poa tu kuanzia maandalizi mpaka kula tena wakati mwingine naandaliwa home
 
Duh kongoro ilivyokuwa tamu siiachi hata mseme nn kwanza inaongeza rutuba kwenye kwenye tendo la ndoa
 
ni huko unapoishi mkuu ila huku kwetu mambo mazuri tu.
ila kwa ushauri tu usimchunguze sana bata coz unaweza usimle
 
[emoji39] [emoji106] [emoji123]
 
Mimi ni mpenzi wa hii kitu sana ila kuna wakati hamu inanitoka kabisa mkono huohuo anapokelea pesa,huo huo anashika anakatia kongoro,hiyo tisa alijifunua akajikuna kiunoni hiyo boxer duh niliachaje manyoya?ila wapo wachache wastaarabu sana
WACHA KULA MAKONGORO SEHEMU ZA HOVYO HOVYO MKUU.KWETU HUANDALIWA KWA USAFI WA HALI YA JUU UKIPENDA UELEKEZWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…