Kwa watumishi hawa wa umma, umma usahau kuhusu maendeleo

Kwa watumishi hawa wa umma, umma usahau kuhusu maendeleo

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Ni chaguzi kuu 6 sasa zimefanyika hapa nchini tangu tupate Uhuru.

Ahadi kutoka vyama vyote kwenda kwa wananchi ni zilezile maji, barabara, elimu, na afya.

Kwa watumishi hawa ninaowafahamu Mimi kwa miaka 8 sasa wananchi hawatakuja kupata utoshelevu wa mahitaji ya elimu, maji, umeme, miundombinu n.k

Wasahau, wasahau kabisa.

Watumishi hawa ambao kazi yao kutongozana ofisini ndio walete maendeleo kwa wananchi? No.

Watumishi hawa ambao kazi yao ni kupiga madili kila mda ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi? No.

Watumishi hawa ambao kazi yao kubishana kuhusu Simba na Yanga kazini ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi? No

Watumishi hawa ambao kazi yao ni kuandaa mikeka ya kumnyoa Mhindi ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi,? No.

Watumishi hawa ambao wanaingia kazini na pombe kichwani ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi? No
 
Ni chaguzi kuu 6 sasa zimefanyika hapa nchini tangu tupate Uhuru.
Ahadi kutoka vyama vyote kwenda kwa wananchi ni zilezile maji, barabara, elimu, na afya.
Kwa watumishi hawa ninaowafahamu Mimi kwa miaka 8 sasa wananchi hawatakuja kupata utoshelevu wa mahitaji ya elimu, maji, umeme, miundombinu n.k
Wasahau, wasahau kabisa.
Watumishi hawa ambao kazi yao kutongozana ofisini ndio walete maendeleo kwa wananchi? No.
Watumishi hawa ambao kazi yao ni kupiga madili kila mda ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi? No.
Watumishi hawa ambao kazi yao kubishana kuhusu Simba na Yanga kazini ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi? No
Watumishi hawa ambao kazi yao ni kuandaa mikeka ya kumnyoa Mhindi ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi,? No.
Watumishi hawa ambao wanaingia kazini na pombe kichwani ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi? No
Wakati mwingine tuwe Logical kidogo, chukulia huyo mtumishi akitoka kazini anakuta umeme ulikatika nyumbani kwake na vyakula kwenye friji zimearibika, kesho asubuhi kabla ya kwenda kazini kama leo anaamka anakuta mafuta yamepanda na majuzi mwezi wa tisa pia mafuta yalipanda lakini yeye mshahara wake haijapanda kwa mwaka sasa.
Je, ataendeshaje maisha yake bila kupiga dili? Lakini akiangalia taarifa ya habari anaomwona Mh. Rais na timu yake pamoja na baadhi ya wafanyabiashara na CEO wanatembelea maonesho ya wakulima wa mbogamboga na maua huko Qatar. Jiulize nani anaenda field ambae angestahili kwenda kujifunza hizo mbinu za kulima mbogamboga na maua huko Doha?

Huyo mtumishi unaemtupia lawama wakiomba training kwenda kujifunza mbinu bora za kuboresha namna ya kulima kwa mafanikio kwa hao waliofanikiwa ili waje wakawafundishe wakulima wetu; hawapewi nafasi anakwenda CEO na timu ya Mh Rais...then wanakuja kuyakalia kwa kupiga siasa.

Je, kipindi cha Nyerere ni watu gani walikuwa wanatumwa kwenda nje kwa ajili ya kusoma na kupata mafunzo mbalimbali?

Yaani mtoa mada hajashangazwa na Mh. Rais kupitishwa kwenye bustani ya mbogamboga na maua kweli????
Ngoja twende hivyohivyo wenda tutafika.
 
Wakati mwingine tuwe Logical kidogo, chukulia huyo mtumishi akitoka kazini anakuta umeme ulikatika nyumbani kwake na vyakula kwenye friji zimearibika, kesho asubuhi kabla ya kwenda kazini kama leo anaamka anakuta mafuta yamepanda na majuzi mwezi wa tisa pia mafuta yalipanda lakini yeye mshahara wake haijapanda kwa mwaka sasa.
Je, ataendeshaje maisha yake bila kupiga dili? Lakini akiangalia taarifa ya habari anaomwona Mh. Rais na timu yake pamoja na baadhi ya wafanyabiashara na CEO wanatembelea maonesho ya wakulima wa mbogamboga na maua huko Qatar. Jiulize nani anaenda field ambae angestahili kwenda kujifunza hizo mbinu za kulima mbogamboga na maua huko Doha?

Huyo mtumishi unaemtupia lawama wakiomba training kwenda kujifunza mbinu bora za kuboresha namna ya kulima kwa mafanikio kwa hao waliofanikiwa ili waje wakawafundishe wakulima wetu; hawapewi nafasi anakwenda CEO na timu ya Mh Rais...then wanakuja kuyakalia kwa kupiga siasa.

Je, kipindi cha Nyerere ni watu gani walikuwa wanatumwa kwenda nje kwa ajili ya kusoma na kupata mafunzo mbalimbali?

Yaani mtoa mada hajashangazwa na Mh. Rais kupitishwa kwenye bustani ya mbogamboga na maua kweli????
Ngoja twende hivyohivyo wenda tutafika.
Mkuu hongera,hata hivyo umeenda mbali. Mf, Waziri anazunguka nchi nzima kutembelea mashamba sehemu mbalimbali kila uchao. Kwenye hotuba unamsikia unamsikia Waziri akisema nyie wakulima wa Singida,igeni mfano wa wale wa Songea. Nilikuwepo huko juzi,tumbaku yao inafanya vizuri. Badala ya kiongozi kugharamia ziara za wakulima, yeye ndo anapiga perdiem na kikundi chake kidogo cha ofisini
 
Ni chaguzi kuu 6 sasa zimefanyika hapa nchini tangu tupate Uhuru.

Ahadi kutoka vyama vyote kwenda kwa wananchi ni zilezile maji, barabara, elimu, na afya.

Kwa watumishi hawa ninaowafahamu Mimi kwa miaka 8 sasa wananchi hawatakuja kupata utoshelevu wa mahitaji ya elimu, maji, umeme, miundombinu n.k

Wasahau, wasahau kabisa.

Watumishi hawa ambao kazi yao kutongozana ofisini ndio walete maendeleo kwa wananchi? No.

Watumishi hawa ambao kazi yao ni kupiga madili kila mda ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi? No.

Watumishi hawa ambao kazi yao kubishana kuhusu Simba na Yanga kazini ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi? No

Watumishi hawa ambao kazi yao ni kuandaa mikeka ya kumnyoa Mhindi ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi,? No.

Watumishi hawa ambao wanaingia kazini na pombe kichwani ndio wapeleke maendeleo kwa wananchi? No
[emoji2956][emoji2956][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Ebwana umetambaa haswaa....

Umenikumbusha yule kijana mwenzetu pale Wilayani Kisarawe....kilema haswaa ,yaani ni mteja* wa kutandaza mikeka.....anashiriki hata kamari ya "karata" fundi fundi mnooo.....huliwa* na anakula sana* ....alisemwa sana na viongozi...mpaka uongozi wa juu wa nchi... hadharani...

Watumishi wanasubiri tu MISHAHARA tarehe 22....waitumie kukopa na kufanya yao....tija yao kwa taifa ni KIDUCHU MNO halafu sisi wananchi tunawalaumu akina mh.PM Kassim Majaliwa....[emoji1787]

Tuna safari ndefu mno....

#SiempreJMT[emoji120]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wananchi kazi wanayo
Hakika sisi wananchi kazi tunayo...

Ni juzi nimekwenda ofisi moja...dada yule akanisubirisha kisa anachat* kwa kuchungulia kisungura nikaona yuko TWITTER daah....aliniweka zaidi ya saa 1.....mimi nikabaki kimya tu kwani shida hizi.....sistaduuu akaniuliza kwa kedi "umeingia saa ngapi hapa" na wakati ni yeye aliyeniambia nisubiri...yaani ningekuwa ninajiweza kiuchumi ningemuomba namba halafu akijaa* nikampakie Kassongo Mpango Mundende Vumbi la huba maaamae yule sholi[emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hakika sisi wananchi kazi tunayo...

Ni juzi nimekwenda ofisi moja...dada yule akanisubirisha kisa anachat* kwa kuchungulia kisungura nikaona yuko TWITTER daah....aliniweka zaidi ya saa 1.....mimi nikabaki kimya tu kwani shida hizi.....sistaduuu akaniuliza kwa kedi "umeingia saa ngapi hapa" na wakati ni yeye aliyeniambia nisubiri...yaani ningekuwa ninajiweza kiuchumi ningemuomba namba halafu akijaa* nikampakie Kassongo Mpango Mundende Vumbi la huba maaamae yule sholi[emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ahahaha huyo mpigie suti za uongo na ukweli. Then nenda ofisini kwake mwambie kuwa uko faster akuhudumie gari yako umeipark pabaya (road) utampata kirahisi
 
Ahahaha huyo mpigie suti za uongo na ukweli. Then nenda ofisini kwake mwambie kuwa uko faster akuhudumie gari yako umeipark pabaya (road) utampata kirahisi
[emoji1787][emoji1787]
Anhaaa yaani nijifanye kama wale washkaji wanaovaa vile vikaunda suti na kutuogopesha huku mitaani ?!!!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wakati mwingine tuwe Logical kidogo, chukulia huyo mtumishi akitoka kazini anakuta umeme ulikatika nyumbani kwake na vyakula kwenye friji zimearibika, kesho asubuhi kabla ya kwenda kazini kama leo anaamka anakuta mafuta yamepanda na majuzi mwezi wa tisa pia mafuta yalipanda lakini yeye mshahara wake haijapanda kwa mwaka sasa.
Je, ataendeshaje maisha yake bila kupiga dili? Lakini akiangalia taarifa ya habari anaomwona Mh. Rais na timu yake pamoja na baadhi ya wafanyabiashara na CEO wanatembelea maonesho ya wakulima wa mbogamboga na maua huko Qatar. Jiulize nani anaenda field ambae angestahili kwenda kujifunza hizo mbinu za kulima mbogamboga na maua huko Doha?

Huyo mtumishi unaemtupia lawama wakiomba training kwenda kujifunza mbinu bora za kuboresha namna ya kulima kwa mafanikio kwa hao waliofanikiwa ili waje wakawafundishe wakulima wetu; hawapewi nafasi anakwenda CEO na timu ya Mh Rais...then wanakuja kuyakalia kwa kupiga siasa.

Je, kipindi cha Nyerere ni watu gani walikuwa wanatumwa kwenda nje kwa ajili ya kusoma na kupata mafunzo mbalimbali?

Yaani mtoa mada hajashangazwa na Mh. Rais kupitishwa kwenye bustani ya mbogamboga na maua kweli????
Ngoja twende hivyohivyo wenda tutafika.​
Kwa hiyo mama kaenda kujifunza mbinu bora za horticulture huko arabuni ili aje kufundisha hawa watu wetu.....haishangazi ziara za mafunzo kwa wataalamu ni kama hazipo unaambiwa bajeti hakuna ila za safari za mabosi huwa hazikosekani.​
 
Hakuna Mwafrika anaeweza mletea maendeleo mwafrika mwenzake usipowekeza vya kutosha kwenye akili utakufa masikini na ukoo wako.
Uongozi ni ajira na Sio wito wa kukutumikia wewe
 
Watumishi nao Wana mioyo ya nyama na familia zinazowategemea pia mjue......!

Yaani nyie mmeuza Hadi bandari halafu mnategemea wapate uzalendo na moyo wa kazi wauokote wapi................!
 
Watumishi nao Wana mioyo ya nyama na familia zinazowategemea pia mjue......!

Yaani nyie mmeuza Hadi bandari halafu mnategemea wapate uzalendo na moyo wa kazi wauokote wapi................!
[emoji15][emoji15]
Kwa hiyo kuyumbayumba kiutendaji kwa watumishi wa umma nchini kumeanza baada tu ya DP WORLD?!!

Basi sawa.....

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom