Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Hivi naomba mnisaidie wadau tiba ya hernia (ngiri) kwa mtoto wa kiume wa miezi 7.

Huyu mtoto amekuwa akivimba sehemu zake za siri,upande wa kulia. Uvimbe unajitokeza kwa muda mchache unapotea, na unajitokeza tena wkt mwingine

Ingawa mtoto amekuwa haoneshi h ali ya kupata maumivu yeyote.

Naomba mwenye utaalam wa hili anipe msaada
mshana jr
 
Hivi naomba mnisaidie wadau tiba ya hernia (ngiri) kwa mtoto wa kiume wa miezi 7.

Huyu mtoto amekuwa akivimba sehemu zake za siri,upande wa kulia. Uvimbe unajitokeza kwa muda mchache unapotea, na unajitokeza tena wkt mwingine

Ingawa mtoto amekuwa haoneshi h ali ya kupata maumivu yeyote.

Naomba mwenye utaalam wa hili anipe msaada
mshana jr
Mh nipe muda hii ni serious issue
 
Unajua kuna wengine wanawapa hadi viporo vya uji

Halafu wakati mwingine mahg wanachangia.....unaweza kuwaza kufunga cctv
Nna rfk yangu mpaka aliweka ratiba ya chakula ila hg anawasha jiko la mkaa saa nane au tisa ndo apike cha kula cha mtoto cha mchana. so mtoto akisumbua ye anamdunga uji tu. Hata juzi mtt alikua ana dose ya malaria ila mchana uji
 
Mimi nashukuru Mungu ka-baby kangu kwa miaka yake mitatu yote kanifaidi kwa 100%. Yani hakuna cha dada wa kazi wala mwalimu. Raha sana kwakweli maana kila nnachotaka ajifunze namfundisha mwenyewe na nisichotaka namkataza.

Nadhani nae ka-enjoy sana kuwa na mimi muda mwingi maana he is a very happy kid.

Sema huwa nakuwa dissapointed sana kuona watu wengine hawana hata muda kidogo na watoto wao.Unakuta mtoto na mzazi wake ni strangers, dada wa kazi ndo anaemjua na kumuelewa mtoto na mtoto kamzoea kuliko mama na baba yake.
Akina mama wengi wanatamani sana hiyo yako. Ila kuna wanaozaa wako chuo au wana kazi zinabana. So akirudi nyumbani ndo anakua na mtt. Ila wanaoniudhi ni wale ambao hata akirudi hana nafasi na mtt
 
Daktari alinambia hilo swala la kuwa kibamia sio kweli hasa hasa itamsaidia kupona haraka kuliko hadi awe mkubwa
Eve nijuavyo ni kweli ukimkata mapema sana mtoto atapona fasta kuliko mtu mzima na ni hata pia kwa kidonda chochote mwilini mwake ila mwaka aisee katalia sana hadi na kupata homa na utakaonea huruma.

Pia utadumaza dud*u lake baadaye aje kuwa na kabamia. I recommend kuanzia miaka 8 kuendelea.
 
Eve nijuavyo ni kweli ukimkata mapema sana mtoto atapona fasta kuliko mtu mzima na ni hata pia kwa kidonda chochote mwilini mwake ila mwaka aisee katalia sana hadi na kupata homa na utakaonea huruma.

Pia utadumaza dud*u lake baadaye aje kuwa na kabamia. I recommend kuanzia miaka 8 kuendelea.
Iko hivi govi husaidia kunenepesha na kurefusha uume lakini ukishaliondoa mapema ukuaji wa nanihii hudumaa kwa kiasi fulani hivyo kwakweli kwa faida ya mtoto ukubwani ni vema kuchelewa kidogo kwakuwa atakapochekwa wala mzazi hutajua itakuwa ni siri na maumivu yake
Zamani watoto walitahiriwa ukubwani porini tena bila ganzi....kuna ya kale bado ni dhahabu
 
Iko hivi govi husaidia kunenepesha na kurefusha uume lakini ukishaliondoa mapema ukuaji wa nanihii hudumaa kwa kiasi fulani hivyo kwakweli kwa faida ya mtoto ukubwani ni vema kuchelewa kidogo kwakuwa atakapochekwa wala mzazi hutajua itakuwa ni siri na maumivu yake
Zamani watoto walitahiriwa ukubwani porini tena bila ganzi....kuna ya kale bado ni dhahabu
Ni kweli mshana jr na hata sasahv bado makabila mengine (likiwepo letu) yanatahiri vijana porini wakiwa mostly 14-18 ages,na pia huko wanafunzwa ujasiri,adabu na heshima kwa kila mtu.
 
Eve nijuavyo ni kweli ukimkata mapema sana mtoto atapona fasta kuliko mtu mzima na ni hata pia kwa kidonda chochote mwilini mwake ila mwaka aisee katalia sana hadi na kupata homa na utakaonea huruma.

Pia utadumaza dud*u lake baadaye aje kuwa na kabamia. I recommend kuanzia miaka 8 kuendelea.
Ngoja niwaze tena nione kama nitaahirisha, akifanyiwa hiyo shughuli nampeleka kwa mkubwa sitaki kumuona akilia na maumivu najua nitalia zaidi yake hapana kwakweli
 
Ngoja niwaze tena nione kama nitaahirisha, akifanyiwa hiyo shughuli nampeleka kwa mkubwa sitaki kumuona akilia na maumivu najua nitalia zaidi yake hapana kwakweli

Shosti, kwani ulitaka kumtia sunna baby R saiv???
 
Alimvalisha pampas?, zina madhara pia, kuna mama mmoja alikumbwa na hilo la mwanae kuumwa sana ngiri, aliposhauriwa aache kumvalisha pampas tatizo likakoma
Nimeambiwa hilo pia ni tatizo lakini vile vile eti hali ya hewa hii sijaikubali sana mwingine kaniambia utumbo kujikunja bado naendelea mpaka nipate kitu kinachoendana na uhalisia
 
Maziwa ya ng'ombe kwa mtoto mdogo si mazuri sana humletea mtoto gesi na kuvimbiwa

Akiwa under 1yr ndo haitakiwi kwasababu protein iliyopo kwenye maziwa ni nyingi kuliko mwili wa mtoto unavyohitaji/weza ku-handle, ila above 1yr hakuna shida.
 
Akina mama wengi wanatamani sana hiyo yako. Ila kuna wanaozaa wako chuo au wana kazi zinabana. So akirudi nyumbani ndo anakua na mtt. Ila wanaoniudhi ni wale ambao hata akirudi hana nafasi na mtt

I suppose uko sahihi maana hata likizo ya uzazi hapa kwetu ni fupi sana. Ila wengi hata kujitahidi hawataki. Unakuta mtu anatoka kazini mapema tu, akifika nyumbani hakai huyoo anaenda zake kutembea. Na sehemu anazoenda angeweza kuongozana na mtoto lakini ana opt kumuacha. Yani mtoto anakuwa kama kamzigo kasikobebeka.
 
Akiwa under 1yr ndo haitakiwi kwasababu protein iliyopo kwenye maziwa ni nyingi kuliko mwili wa mtoto unavyohitaji/weza ku-handle, ila above 1yr hakuna shida.
Thanks Lizzy uko vizuri mtaa huu, replies zako ni msaada kwa wengi
 
Wazazi na walezi wengi hujisahau kuwapa watoto maji ya kunywa....ukiona mtoto analialia jaribu yafuatayo
-mgeuzegeuze huku ukimminyaminya kila sehemu inawezekana kuna mahali kaumia au amaumwa
-mpe maji
-pengine joto limezidi inabidi umpunguzie nguo au umuweke kwenye hewa
-njaa
-uchovu
-usingizi
Homa nk
Si mara zote mtoto akiwa na mabadiliko yoyote ukimbilie hospitali, ni vema kujiridhisha kwanza kama kuna uhitaji wa kwenda hospital
mshana jr mtoto akiwa na miezi mingapi anaweza pewa maji?
 
Back
Top Bottom