Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Iko hivi govi husaidia kunenepesha na kurefusha uume lakini ukishaliondoa mapema ukuaji wa nanihii hudumaa kwa kiasi fulani hivyo kwakweli kwa faida ya mtoto ukubwani ni vema kuchelewa kidogo kwakuwa atakapochekwa wala mzazi hutajua itakuwa ni siri na maumivu yake
Zamani watoto walitahiriwa ukubwani porini tena bila ganzi....kuna ya kale bado ni dhahabu
Mkuu hii bado ipo kwetu umasaini sio zamani tu hadi sasa tunadumisha mila ,hakuna cha ganzi na unakatwa ukiwa mkubwa ,hili la kutokatwa mapema na ukuaji wa uume lina ukweli ,watakoa bisha wajaaribu kuwatembelea wamasai au makabila mengine yenye utaratibu huu wa kufanya tohara ukubwani waje watupe mrejesho
 
Kwa baby mwenye kama 7 months Jee? Mi wanangu wanachelewa kuota meno pia.
Angel Nylon umeshamwachisha kunyonya?

Kama bado ananyonya na maziwa yapo ya kutosha endelea kumnyonyesha na vyakula vingine mpe kidogo kidogo tu kama nyongeza lakini sio kwa nia ya kumshibisha.

Anyway, kwa breakfast unaweza kumpa cerelac, pureé ya matunda(hii tengeneza mwenyewe, hata juice ya mtoto unless msichana wako wa kazi ni msafi sana na unamuamini kiasi cha kutosha), kipande kidogo cha mkate (wa brown ni mzuri zaidi), kiini cha yai scrambled au vipande vya matunda laini laini kama bado hajawa mtafunaji mzuri.
 
Kuna vikohozi vikavu visivyokoma hapa dawa yake ni Kijiko kidogo cha asali na kama una maziwa fresh unaweza kumchanganyia humo...hii haina madhara kabisa na kama ni mdogo zaidi humpi kwenye Kijiko bali unamlambisha

Kwenye vikohozi juice kama hizi za Azam pia zinachangia, zinakuwa na tuvitu tunabaki baki kooni na mtoto anakuwa anakohoa mara kwa mara.
 
Ndio mpendwa tena ilikua mwaka jana June akiwa na miezi 8 kuna mambo yakaingilia nikakwama teh nlimuambia Dr kwamba kitakua na kibamia akasema sio kweli
Mie wangu nilimfanyia tangu ana wiki 3. Na mtaimbo Alhamdulillah anao wa kiasi chake.
 
Akiwa under 1yr ndo haitakiwi kwasababu protein iliyopo kwenye maziwa ni nyingi kuliko mwili wa mtoto unavyohitaji/weza ku-handle, ila above 1yr hakuna shida.
Mi nakumbuka wakwangu nlikua nayachanganya na maji ndo nampa.Ili kupunguza hiyo protein.
 
Tukiachana na ishu ya kutahiri ni muhimu sana kama mzazi/mlezi kumchunguza mwanao kama inasimama vema alfajiri au asubuhi, mara nyingi perfect erection ni nyuzi 45, ukiona hali ni tofauti na hiyo vema kuwahi tiba kumuokoa mtoto na uhanithi ukubwani
 
Mzazi wa kike kumbuka haya ukiwa na mtoto mdogo/mchanga
-Acha kabisa kutumia makeups za aina zozote ikiwa ni pamoja na vipodozi, vina sumu nyingi ambayo huweza kuathiri hata ubongo wa mtoto moyo Figo mapafu hata maini na ngozi
Mafuta ya kawaida kwako na ya nazi ni bora zaidi kwenu wote wawili
Mzazi wa kiume
Chondechonde tabia ya Kuchepuka si jambo jema kabisa utamletea mtoto majoto ya ajabu yanayomuathiri mtoto, hospital mtakuwa hampungui
 
Tukiachana na ishu ya kutahiri ni muhimu sana kama mzazi/mlezi kumchunguza mwanao kama inasimama vema alfajiri au asubuhi, mara nyingi perfect erection ni nyuzi 45, ukiona hali ni tofauti na hiyo vema kuwahi tiba kumuokoa mtoto na uhanithi ukubwani
Kuja mdada juzi alikua anasema mwanae ana korodani moja hivi ikiwa hivo mtoto anakua hana shida?
 
Back
Top Bottom