Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Na kama ni wale identical twins ni shida zaidi hasa kwenye kuumwa lazima akianza mmoja akipona tu mwenzake anapokea
Yes, wangu ni Identical, mmoja akilia mwingine nae analia, ukimkataza mmoja kitu mwngn anaanza kukifanya, kula wale wote kwa pmj, kubebwa, wabebwe wote kwa pmj, loooh!