Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #161
Naingilia mada bila ruhusaMmh hivi kuna ukweli hapo? kwa mara ya kwanza nimesikia juzi kwa lara 1 kwenye ile mada yake ya wema. Na mara ya pili ndo hii naisikia kwako.
Hebu Eve nipe uzoefu wako baada ya kujifungua, nipe kwa private kama hapa soo
Kiukweli mashine hutanuka wakati wa kujifungua lakini baada ya muda na kwa kufuata miongozo ya wataalam ngoma hurudi pale pale japo yaweza kuwa sio tight mark tena