Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Kuja mdada juzi alikua anasema mwanae ana korodani moja hivi ikiwa hivo mtoto anakua hana shida?
Kama anaona mwanae ana korodani moja basi acheki hernia(ngiri). Kwa kawaida mtoto mchanga korodani hudevelop ndani ya mwili na anapozaliwa ndani ya siku chache basi zinashuka na yale matundu yaliyozipitisha katika pubic bone huziba. Hernia ni hitilafu inayotokea katika pubic bone kwamba hapako imara hivo pakiachia basi yafuatayo hutokea.
1. utumbo kupita na mhusika kuona uvimbe ambao pindi akilala chali basi hupotea.
2. korodani kujivuta na kurudi ndani
3. kupata maumivu pindi akiinama ama kukaa mkao unaojibana sehemu nyeti.

na hizo juu ndio dalili ama tuseme tunachoita hernia.

Tiba nzuri ya hernia ni upasuaji na kuwekewa patch sehemu iliyoadhirika. Namna ya kuizuia ni usifanye kazi ngumu ya kuinua vitu vizito ama kusimama kwa mda mrefu eneo moja.

** nyanda za baridi huwa ni kawaida korodani kupotea hasa kpindi cha baridi kali. Wanachofanya ni kumpigapiga mhusika mgongoni hadi zinatoka/zinashuka.
*kupotea kwa korodani si kwamba moja kwa moja ni hernia bali yaweza kuwa ubaridi hvo znaingia/znajikusanya ndani kwenye joto (hii kwa walio kanda za joto wataiona mda wa kuoga maji ya baridi).
 
Kama anaona mwanae ana korodani moja basi acheki hernia(ngiri). Kwa kawaida mtoto mchanga korodani hudevelop ndani ya mwili na anapozaliwa ndani ya siku chache basi zinashuka na yale matundu yaliyozipitisha katika pubic bone huziba. Hernia ni hitilafu inayotokea katika pubic bone kwamba hapako imara hivo pakiachia basi yafuatayo hutokea.
1. utumbo kupita na mhusika kuona uvimbe ambao pindi akilala chali basi hupotea.
2. korodani kujivuta na kurudi ndani
3. kupata maumivu pindi akiinama ama kukaa mkao unaojibana sehemu nyeti.

na hizo juu ndio dalili ama tuseme tunachoita hernia.

Tiba nzuri ya hernia ni upasuaji na kuwekewa patch sehemu iliyoadhirika. Namna ya kuizuia ni usifanye kazi ngumu ya kuinua vitu vizito ama kusimama kwa mda mrefu eneo moja.
Asante sana fundi mmh fundichupi kwa ufafanuzi mzuri
 
Suala la kupeleka mtoto boarding schools nimelikataa na limeleta ugomvi nyumbani kwangu. Akianza kidato cha kwanza atakwenda bweni kwasasa day care inatosha.
Kuna baadhi ya wazazi na walezi kwa kutofahamu au kwa kutaka sifa hufanya hivi,lakini madhara ni makubwa kuliko faida
Lakini pia wengine ni kukimbia majukumu
 
Mshana Jr tafadhali jibu issue hiyo. Ni muhimu kwani nina mtoto wangu alinyolewa nywele mpaka sasa ni miezi kama sita hazijaota. Ni sehemu ndogo kichwani iliyonyolewa siyo rahisi kwa mtu aliyembali kuiona hiyo sehemu. Nashukuru saana ukitia neno. Ahsanteni
@mshanajr hebu njoo ujibu hili jambo limezua ugomvi kwa majirani zangu
 
@mshanajr hebu njoo ujibu hili jambo limezua ugomvi kwa majirani zangu
Wala huhitaji kugombana na mtu kama mtoto yuko salama nitakuja na post yake!nywele za watoto hutumiwa na washirikina kwenda kufanya yao kwa wengine ila huelekezwa ni nywele za aina gani na za mtoto wa aina gani zinafaa !!!cha muhimu ni kumkabidhi mtoto mbele za mikono ya Mungu bila kusahau ibada zaka na matoleo
Vile vile unaweza ukachagua siku moja ya ibada ya imani yako ukamtolea Mungu sadaka maalum kwa ajili ya mtoto
 
Kitunguu saum ni tiba kwa mtoto anayelia na kustuka usiku!...fafanua kidogo mkuu!...
 
Nimebaki nashangaa tu. Huyu mshana jr ni nani mpaka kuulizwa maswali yanayohitaji mtaalam kuyajibu? Mambo mengine anayatolea tiba ya jumla. Kwa mfano dawa ya mtoto anayeshtuka na kulia usiku ni kitunguu twaumu!! Yaani kinatibu tu hata kama mtoto anamwa lakini hawezi kusema? hata kama kanyonya sana halafu hajacheulishwa tumbo likajaa gesi? hata kama anaogopa giza? hata kama ni mtoto mchungu kwa asili (difficult child)??? Nywele kutokuota nazo ushirikina? Wi!
 
Nimebaki nashangaa tu. Huyu mshana jr ni nani mpaka kuulizwa maswali yanayohitaji mtaalam kuyajibu? Mambo mengine anayatolea tiba ya jumla. Kwa mfano dawa ya mtoto anayeshtuka na kulia usiku ni kitunguu twaumu!! Yaani kinatibu tu hata kama mtoto anamwa lakini hawezi kusema? hata kama kanyonya sana halafu hajacheulishwa tumbo likajaa gesi? hata kama anaogopa giza? hata kama ni mtoto mchungu kwa asili (difficult child)??? Nywele kutokuota nazo ushirikina? Wi!

Mtaalam ndo huyo mshana jr, au hutaki!
 
Nimebaki nashangaa tu. Huyu mshana jr ni nani mpaka kuulizwa maswali yanayohitaji mtaalam kuyajibu? Mambo mengine anayatolea tiba ya jumla. Kwa mfano dawa ya mtoto anayeshtuka na kulia usiku ni kitunguu twaumu!! Yaani kinatibu tu hata kama mtoto anamwa lakini hawezi kusema? hata kama kanyonya sana halafu hajacheulishwa tumbo likajaa gesi? hata kama anaogopa giza? hata kama ni mtoto mchungu kwa asili (difficult child)??? Nywele kutokuota nazo ushirikina? Wi!
NANDERA Usijaribu kupotosha nilichoandika kuhusu kitunguu saumu soma kwa umakini kila nilipojibu na kila nilichojibu
 
Nimebaki nashangaa tu. Huyu mshana jr ni nani mpaka kuulizwa maswali yanayohitaji mtaalam kuyajibu? Mambo mengine anayatolea tiba ya jumla. Kwa mfano dawa ya mtoto anayeshtuka na kulia usiku ni kitunguu twaumu!! Yaani kinatibu tu hata kama mtoto anamwa lakini hawezi kusema? hata kama kanyonya sana halafu hajacheulishwa tumbo likajaa gesi? hata kama anaogopa giza? hata kama ni mtoto mchungu kwa asili (difficult child)??? Nywele kutokuota nazo ushirikina? Wi!
hapa tunabadilishana uzoefu mkuu.sio anachosema mshana au yeyote basi ndio final.hapana.kila mtu yupo huru kuongeza chcchote.
 
hapa tunabadilishana uzoefu mkuu.sio anachosema mshana au yeyote basi ndio final.hapana.kila mtu yupo huru kuongeza chcchote.
naongelea usahihi wa taarifa mkuu. Niliogopa baada ya kuona kuna watu wameonyesha kuamini baadhi ya tiba na wanafikiria kwenda kujaribu kwa watoto. Si salama.
 
naongelea usahihi wa taarifa mkuu. Niliogopa baada ya kuona kuna watu wameonyesha kuamini baadhi ya tiba na wanafikiria kwenda kujaribu kwa watoto. Si salama.
Sawa Lakini sio kwa muktadha wa post yako hapa hatubishani bali tunaelimishana
Ishu ya watoto siku hizi ni case sensitive!
 
Back
Top Bottom