Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni mzazi au ni mlezi? Kama ni mzazi ni tatizo la makuzi saa nyingine kizalia na kurithi ukimfanyia Ubabe atazidi kuharibikaHivi ukiwwa na mtt mbishi sana kila kitu anare act mfano kuoga, kula, kuvaa hata kulala unaishi naye vipi ili usimuathiri kwa kumpiga. Msaada pls ana miaka mitatu kasoro
Mkuu hii kitu ina ushahidi wa kisayansi kweli? Manake mi nilichanjwa mapema sana lakini alhamdullah mashine saizi ya ujivuni..Maalum kwa watoto wa kiume
Si vema kumuwahisha tohara mtoto. ..hii ni kwa faida yake ukubwani, tohara inayowahi husababisha vibamia
Nakuunga mkono mia kwa mia. Zaidi ya madhara anayoweza kukumbana nayo huko shule unamnyima mtoto na wewe mzazi mwenyewe nafasi ya kubond.. I believe the best moments in life includes watching your little ones grow up popping in and out the doors making demands on you kukuletea mashtaka etc .vitu hivi vyote utavikosa ama utavipata kwa uchache sana mwanao akiwa boarding school.. Unampeleka mtoto huko he comes back a stranger unashangaa imekuaje tena..Suala la kupeleka mtoto boarding schools nimelikataa na limeleta ugomvi nyumbani kwangu. Akianza kidato cha kwanza atakwenda bweni kwasasa day care inatosha.
Asante sana kwahii shule mkuu. Kuna siku ambapo mwanangu husumbua sana usiku for seemingly no reasons at all kwan anakuwa amenyonyeshwa na mamake vilivyo. Asante tutajaribu hii makitu ya vitunguu saumuKwakweli sijui ninini kilichopo nyuma yake lakini ukimpaka mtoto tumboni kwenye nyayo na viganjani tatizo linaisha na huu sio ushirikina
Imagine ungecheleweshwa kidogo sijui ingekuwaje sasa...anyway hili jambo lina ukweli wake kwa kiasi fulaniMkuu hii kitu ina ushahidi wa kisayansi kweli? Manake mi nilichanjwa mapema sana lakini alhamdullah mashine saizi ya ujivuni..
Ha ha haaaaa. OK, hata sijafikiria wallahSorry mumie ni typing error ni ndimi sio ndimu
Sidhani Kama Ina ushahidi wa kisayansi! Wangu amechelewa Ni miezi miwili....Mkuu hii kitu ina ushahidi wa kisayansi kweli? Manake mi nilichanjwa mapema sana lakini alhamdullah mashine saizi ya ujivuni..
Tumia mafuta ya mzeituni na kitunguu saumuMwnangu analia sana usiku akilalamika uso wote kuwasha.akiamka asubuhi kwenda shule yupo safi.kwa sasa anasoma drs la ii,nimempeleka hospital amechekiwa wanasema hana tatizo..taf..sijui nifayeje.cc Mhshana jr
Mie mtoto wangu mchanga hapendi joto kama nini vile.Hili jambo nimekuwa najaribu kusema lakini wazazi wetu yani wakwe na mama zetu huchangia sana kuumiza watoto ktk eneo hili kwa kisingizio mtoto anahitaji joto mtoto huwa hasikii joto wanashindwa kuelewa dar ni tofauti pengine na mkoani ulipozaliwa wewe au bibi huyo alipokuzia watoto wake wengine unaenda clinic daktari anakushangaa jinsi ulivyomjaza mtoto nguo nyingi kabaki macho tu.wazazi tuwe makini hawa ni wakubwa zetu ila panapobidi kuwaelewesha tufanye hivyo vinginevyo ni sisi ndio tunakuja kupata shida na watoto wetu badae.
Kuna kitu kimoja muhimu sana cha kuzingatia kwa mtoto mdogo chini ya mwaka mmojaMie mtoto wangu mchanga hapendi joto kama nini vile.
Hivi mechanism ya mtoto kusikia usingizi na kulia ipoje,then kuna maneno ya Kubemenda ni kweli hiyo issue ipo au ni uongo?Inakiponda na kumpaka kwenye nyayo, viganjani na utosini na kitovuni pia
Naomba niongelee kuhusu kubemendaHivi mechanism ya mtoto kusikia usingizi na kulia ipoje,then kuna maneno ya Kubemenda ni kweli hiyo issue ipo au ni uongo?