Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Mwnangu analia sana usiku akilalamika uso wote kuwasha.akiamka asubuhi kwenda shule yupo safi.kwa sasa anasoma drs la ii,nimempeleka hospital amechekiwa wanasema hana tatizo..taf..sijui nifayeje.cc Mhshana jr
Jitahidi kubadilisha Shika na foronya ya mtu kila Siku ikiwezekana katika bed ya mtoto, pia hakikisha nguo alizovaa Jana na kulalia asivae Tena usiku unaofuata.....
 
Kuhusu mechanism ya usingizi na kulia kwa mtoto ni njia ya mtoto kujieleza yeye hawezi kukwambia lakini anakua na hisia ngeni mwilini labda hapa tuiite maudhi maana wote tunafahamu kabla ya kupata usingizi kuna hali huwa tunaipitia ambayo inamaudhi wakati mwingine unakua katika hali ya kulala na kuwa macho-kusinzia hapa ikimpata mtoto njia pekee ya kujisalimisha ni kulia mtoto hulia akilowa,akichafuka,akihisi joto,akihisi baridi,akiwa mpweke au ukimwacha peke yake,akiwa na njaa,akiwa na kiu vilevile akihisi usingizi anatafuta namna ya kukabiliana au msaada kwa kulia ndio maana ukimbembeleza analala.
 
Kwa wazazi kuna virutubisho ambavyo vinasambazwa na wizara ya Afya na vimethibitishwa vimeandikwa BORESHA VIRUTUBISHI HUBORESHA CHAKULA KWA VITAMINI NA MADINI vinasambazwa kwa gharama nafuu sana nia ni kuboresha Afya za watoto chini ya miaka mitano pia nimeona hata wagonjwa wa magonjwa ya muda mrefu wanapewa wameelekeza paketi moja iwekwe kwenye chakula kilichopoozwa kila baada ya siku moja kwa watoto na paket mbili kwa watu wazima nilivikuta katika kliniki ya watoto hospitali ya serikali na pia nilisikia tangazo redioni na wanasema ni vizuri kwani vyakula tunavyowapa watoto havina virutubishi vya kutosha na pia ufyonzwaji wake ni duni ,wazazi tufuatilie ili tupate manufaa maana upatikanaji wa vitamini na madini kwenye lishe za kila siku umekua duni,nimewahi ona pia kwenye maduka ya madawa wanauza kwa gharama nafuu
 
Kwa wazazi kuna virutubisho ambavyo vinasambazwa na wizara ya Afya na vimethibitishwa vimeandikwa BORESHA VIRUTUBISHI HUBORESHA CHAKULA KWA VITAMINI NA MADINI vinasambazwa kwa gharama nafuu sana nia ni kuboresha Afya za watoto chini ya miaka mitano pia nimeona hata wagonjwa wa magonjwa ya muda mrefu wanapewa wameelekeza paketi moja iwekwe kwenye chakula kilichopoozwa kila baada ya siku moja kwa watoto na paket mbili kwa watu wazima nilivikuta katika kliniki ya watoto hospitali ya serikali na pia nilisikia tangazo redioni na wanasema ni vizuri kwani vyakula tunavyowapa watoto havina virutubishi vya kutosha na pia ufyonzwaji wake ni duni ,wazazi tufuatilie ili tupate manufaa maana upatikanaji wa vitamini na madini kwenye lishe za kila siku umekua duni,nimewahi ona pia kwenye maduka ya madawa wanauza kwa gharama nafuu
Vinatengenezwa wapi hivi? Binafsi huwa siamini saana hivi vitu vyenye chemicals je hakuna mbadala wake? Kwa mfano tukisisitiziana kuhusu fresh juice matunda puddings vyakula asili vyenye kufaa mtoto maji safi na salama..!?
Kwa uzoefu Wangu hivi virutubisho vinaweza kwa vizuri sana kwa uasili wake lakini huu usafirishaji usambazaji utunzaji wake na hatimaye utumiaji wake je wahusika wana uelewa na uweledi wa kutosha kuhakikisha kwenye hiyo michakato yote kirutubisho husika hakiwezi kupoteza ubora wake na kuleta madhara kwa mtumiaji?
 
Hii ni changamoto hivi virutubisho mimi nilivipata kliniki hapa kwety na vimeenea sana na wameeleza kuwa tuendelee kuwapa watoto vitu fresh lakini namna ya upatikanaji wa hivyo vitu namna vilivyolimwa havizuii kupata kemikali pia kuhusu kufyonzwa wanasema kuwa system ya mtoto kupata kila kitu kupitia chakula nayo ni dhaifu lakini akipata hivi inasaidi hapa naona kimetengenezwa Manisha Pharmo Plast Pvt.Ltd Umbergaon-396 171.Gujarat,India nitaangalia namna ya kutuma picha ila vimo kwenye pharmacy nyingi sana siku hizi.Chakula fresh bado ni muhimu sana ila kutokana na changamoto za upishi wa vyakula hivyo,ulaji wa watoto nk Wametuletea hii product.
 
Hii ni changamoto hivi virutubisho mimi nilivipata kliniki hapa kwety na vimeenea sana na wameeleza kuwa tuendelee kuwapa watoto vitu fresh lakini namna ya upatikanaji wa hivyo vitu namna vilivyolimwa havizuii kupata kemikali pia kuhusu kufyonzwa wanasema kuwa system ya mtoto kupata kila kitu kupitia chakula nayo ni dhaifu lakini akipata hivi inasaidi hapa naona kimetengenezwa Manisha Pharmo Plast Pvt.Ltd Umbergaon-396 171.Gujarat,India nitaangalia namna ya kutuma picha ila vimo kwenye pharmacy nyingi sana siku hizi.Chakula fresh bado ni muhimu sana ila kutokana na changamoto za upishi wa vyakula hivyo,ulaji wa watoto nk Wametuletea hii product.
Ni zile pakiti za njano zenye virutubisho wanazopewa watu wenye magonjwa makubwa kama km cancer na ukimwi?
 
Ndiyo zile ila mlengwa wa kwanza wanasema ni mtoto chini ya miaka mitano na matangazo yake wanatangaza kwa ajili ya watoto lakini wasambazaji ukiwa unaomba wanauliza kwa ajili ya mtoto au mtu mzima ndio nimejifunza kuwa hata watu wazima wenye magojwa ya muda mrefu wanapewa paketi mbili kila baada ya siku moja
 
Ndiyo zile ila mlengwa wa kwanza wanasema ni mtoto chini ya miaka mitano na matangazo yake wanatangaza kwa ajili ya watoto lakini wasambazaji ukiwa unaomba wanauliza kwa ajili ya mtoto au mtu mzima ndio nimejifunza kuwa hata watu wazima wenye magojwa ya muda mrefu wanapewa paketi mbili kila baada ya siku moja
Tatizo langu kubwa ni kwa hao suppliers nina allergy na hao watu na huu ni mtazamo wangu binafsi na jinsi niionavyo serikali yangu na mambo ya commission
 
Ni kweli tunashirikishana mtu mwenye uhitaji afuatilie na atapewa elimu atasoma kuna vipeperushi,ataamua kumpatia mtoto au kujitahidi kwenye vyakula vinavyopatikana mimi napenda vyakula asilia upatikanaji wake nao ni changamoto,suala lingine ni muda maana wazazi wengi ni watafutaji maandalizi ya vyakula hv yanakua sahihi tukiwaacgia wasaiduzi kuandaa?ukiangalia na changamoto za ukuaji watoto na upungufu wa vitamini na madini ambayo inasababisha watoto wengi kudhoofika inabidi kujitoa kwa dhati kabisa kuangalia namna bora ya kumsaidia mtoto ambayo hapa sasa ni uchaguzi wa mzazi,mlezi na wote wanaozunguka mtoto huyu kuchukua jukumu la kuhakikisha mtoto anakua vema
 
Ni kweli tunashirikishana mtu mwenye uhitaji afuatilie na atapewa elimu atasoma kuna vipeperushi,ataamua kumpatia mtoto au kujitahidi kwenye vyakula vinavyopatikana mimi napenda vyakula asilia upatikanaji wake nao ni changamoto,suala lingine ni muda maana wazazi wengi ni watafutaji maandalizi ya vyakula hv yanakua sahihi tukiwaacgia wasaiduzi kuandaa?ukiangalia na changamoto za ukuaji watoto na upungufu wa vitamini na madini ambayo inasababisha watoto wengi kudhoofika inabidi kujitoa kwa dhati kabisa kuangalia namna bora ya kumsaidia mtoto ambayo hapa sasa ni uchaguzi wa mzazi,mlezi na wote wanaozunguka mtoto huyu kuchukua jukumu la kuhakikisha mtoto anakua vema
Asante sana kwa hili
 
Mimi pia sikubaliani na virutubisho vya kuongeza kwenye vyakula vya mtoto wala sikubaliani na kumpa mtoto vitamins unless kapimwa kakutwa na upungufu mkubwa wa madini fulani basi ndio mtoto apewe hayo madini/vitamin kama matibabu. naamini kabisa mtoto akilishwa mboga mboga, matunda, maziwa asilia ya mama au asilia ya ng'ombe (siyo ya kopo yaliyochanganywa na kemikali kadha wa kadha ) wanga bora (whole grains) na protini ya kutosha hasa ya mimea kama maharage, mbaazi, dengu nk lazima atapata virutubisho vyote vinavyotakiwa mwilini, mboga organic na matunda yanapatikana kwa urahisi sana Tanzania, wakulima wengi hata majirani zetu wanalima mboga kwa kiasi kidogo hazipuliziwi madawa. Matunda mengi ya msimu huwa hayahitaji kupuliziwa madawa au mbolea za sumu.

Menu hii simple lakini inaweza kumpa mtoto wa miaka 4 na kuendelea karibu mahitaji karibu yote ya virutubisho kwa siku:
Asubuhi :uji wa ulezi uliopikiwa kwenye maziwa kikombe kimoja,
Snack ya asubuhi: embe au tunda lolote la msimu kwa snack
Mchana: ugali wa dona mchicha, na dengu zilizoungwa na nyanya kitunguu na nazi
Snack ya mchana: salad ya tango kitunguu na hoho
Usiku: ugali wa dona, dagaa aliyeungwa kwa nyanya, vitunguu, mchicha; na juisi ya nanasi au ya tunda la msimu isiyoongezwa sukari

kwenya protini tunaweza kubadilisha dengu na dagaa kwa maharage, nyama, mayai, mbaazi, etc
kwa wanga asubuhi tunaweza kubadilisha uji wa ulezi na na viazi vitamu vya kuchemsha, majimbi, uji wa dona, etc na kikombe cha maziwa
mboga za majani na matunda zipo aina nyingi tu.
 
Hii ni changamoto hivi virutubisho mimi nilivipata kliniki hapa kwety na vimeenea sana na wameeleza kuwa tuendelee kuwapa watoto vitu fresh lakini namna ya upatikanaji wa hivyo vitu namna vilivyolimwa havizuii kupata kemikali pia kuhusu kufyonzwa wanasema kuwa system ya mtoto kupata kila kitu kupitia chakula nayo ni dhaifu lakini akipata hivi inasaidi hapa naona kimetengenezwa Manisha Pharmo Plast Pvt.Ltd Umbergaon-396 171.Gujarat,India nitaangalia namna ya kutuma picha ila vimo kwenye pharmacy nyingi sana siku hizi.Chakula fresh bado ni muhimu sana ila kutokana na changamoto za upishi wa vyakula hivyo,ulaji wa watoto nk Wametuletea hii product.

hapo kwenye ulaji mbaya wa watoto , wakati mwingine tuna tatizo kubwa la kula vyakula hovyo na tofauti na watoto tena watoto wakubwa miaka 3 and up wanaoelewa tofauti ya vyakula, unakuta mtoto asubuhi anapikiwa uji wa ulezi (kila siku) sisi tunakunywa chai na maandazi, chapati, vitumbua, mkate na blueband etc vitu ambavyo kwanza havitupi lishe kabisa yaani vimekaangwa , vina wanga mtupu usio na virutubisho na vina gharama, na vina weza ku changia kufanya watoto watamani kula tunavyokula sisi badala ya lishe yao. Au kibaya zaidi tunawapa watoto hivyo vyakula vya hovyo tunavyokula

Nimeona mtoto akiacha kabisa ulaji mbaya baada ya familia nzima kula karibu sawa na anachokula mtoto, kwa mfano, familia nzima wakila chai viazi vitamu asubuhi, mtoto anapewa maziwa na viazi vitamu. mchana familia ikila ugali wa dona na maharage na mchicha na mtoto nae anapewa ugali wa dona na maharage na mchicha anaongezewa na juisi ya matunda waliyombakizia jana yake jioni. Yaani familia ilipoondoa vyakula visivyo bora nyumbani na kuanza kula vyakula bora mtoto nae akazoea.
 
Mzio/allergy
Mtoto apoanza vyakula mara nyingi hupata allergy hasa kwenye nyama samaki na maziwa
Kwahiyo ni muhimu sana kwa mzazi na mlezi kuwa makini sana hali yoyote tofauti unayoona kwa mtoto
Kuna allergy nyingine ni mbaya na humuathiri mtoto kwa kiwango kikukikubwa sana
Pia ni muhimu kuwa makini na vitu kama mafuta nguo na diapers
 
Back
Top Bottom