Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Bado ni muhimu mno kuzingatia usafi wa mwili kwa mtoto nguo zake sehemu anazocheza kulala na kupumzika...kichocheo cha usafi huleta afya ya akili
Ratiba pia ya mtoto kuoga kula na kulala isiwe shaghala baghala
 
Wakuu hii mada ni endelevu tusiisuse kwa ustawi wa watoto wetu...

Leo nimeipata hii, naomba kwa waliowahi kuisikia watupe ufafanuzi.

Je ni kweli kwamba mtoto anaweza kupata homa ya manjano akifunikwa na kanga au kitenge cha njano???

Wapi mshana jr, Evelyn Salt na wengineo mkujeee...
 
Wakuu hii mada ni endelevu tusiisuse kwa ustawi wa watoto wetu...

Leo nimeipata hii, naomba kwa waliowahi kuisikia watupe ufafanuzi.

Je ni kweli kwamba mtoto anaweza kupata homa ya manjano akifunikwa na kanga au kitenge cha njano???

Wapi mshana jr, Evelyn Salt na wengineo mkujeee...
Mmh hii ndo naisikia leo mpnz, ngoja namie nisubiri majibu
 
Wakuu hii mada ni endelevu tusiisuse kwa ustawi wa watoto wetu...

Leo nimeipata hii, naomba kwa waliowahi kuisikia watupe ufafanuzi.

Je ni kweli kwamba mtoto anaweza kupata homa ya manjano akifunikwa na kanga au kitenge cha njano???

Wapi mshana jr, Evelyn Salt na wengineo mkujeee...
charminglady asante kwa hili tumewaomba saana Moderator na Invisible waiwekee kipini isipotee lakini naona kimya kabisa...kwetu sisi ni mada muhimu sana
Kuhusu hili la pili nilishawahi kulisikia lakini nafikiri ni imani za kienyeji zaidi kuliko uhalisia
 
Mada mujarabu hii, kwa walezi na wanaotarajia kulea..
Nimejifunza mengi, hasa kwa kuzingatia hali halisi ya kiafrika.
 
Hili la chakula aina moja teh ni shida utadhani kuna ratiba ya kupewa uji, watoto tunawaonea kuwapa uji kila siku kila siku ndo maana hata wanakua wanasumbua kuunywa
Nikipata tatizo Hilo Kwa wanangu la chakula kimoja daily ikabidi ni tengeneza ratiba ya chakula Kwa nyumba nzima!!! Sasa wenyewe wanajua Leo kitu fulani!! Na kila miezi 3 na jaribu kubadilisha kidogo!!
 
Wakuu hii mada ni endelevu tusiisuse kwa ustawi wa watoto wetu...

Leo nimeipata hii, naomba kwa waliowahi kuisikia watupe ufafanuzi.

Je ni kweli kwamba mtoto anaweza kupata homa ya manjano akifunikwa na kanga au kitenge cha njano???

Wapi mshana jr, Evelyn Salt na wengineo mkujeee...
Hii ndio kwanza naisikia leo, Ila hii haina ukweli kabisa!! Zaidi ya shirki!!
 
Mmh hii ndo naisikia leo mpnz, ngoja namie nisubiri majibu
Nimepitia pitia pitia na kukutana na haya machache yanayoambukiza homa ya manjano
-Ngono isiyo salama na bila kinga
-kunyonyana ndimi
-Kuwekewa damu isiyo salama
-kuchangia vitu vyenye ncha kali
Nb: mama mjamzito mwenye maambukizi ya ugonjwa wa manjano huweza kumwambukiza mtoto wakati wa kujifungua
 
jukumu la wengi ni kuzaa kulea atajilea mwenyewe kama mtoto wa bata
Tunahitaji kueleweshana sana kuhusu hili hata huko mitaani na kwenye maofisi yetu
Watoto wengi wanakosa malezi sahihi kwasababu tu ya upuuzi wa wazazi ambao hawakuwa au hawakujiandaa kuwa na watoto
 
Tunahitaji kueleweshana sana kuhusu hili hata huko mitaani na kwenye maofisi yetu
Watoto wengi wanakosa malezi sahihi kwasababu tu ya upuuzi wa wazazi ambao hawakuwa au hawakujiandaa kuwa na watoto
mfano mzazi kumruhuu mtoto kumiliki simu naona hapo kuna hatari kubwa mbili
1.kwakuwa mtoto bado mdogo hatokuwa na matumizi ya maana ktk simu zaidi ni mambo ya hovyo

2.phone radiation ubongo wa mtoto ni rahisi sana kupata madhara ya mionzi kuliko mtu mzima
 
mfano mzazi kumruhuu mtoto kumiliki simu naona hapo kuna hatari kubwa mbili
1.kwakuwa mtoto bado mdogo hatokuwa na matumizi ya maana ktk simu zaidi ni mambo ya hovyo

2.phone radiation ubongo wa mtoto ni rahisi sana kupata madhara ya mionzi kuliko mtu mzima
Nakubaliana na wewe katika hili kuna upendo wa faida na upendo wa hasara simu kwa mtoto mdogo ni upendo wa hasara
 
naombeni msaaada nina mtoto wa miaka miwili sasa nilimzaa kwa opresheni je ni mda gan mzur unafaa kwa kubeba mimba nyingine na je kuna uwezekano wa kuzaa mara ya pili bila opresheni?naombeni majibu asanteni
Unaweza beba sasa.
Ila kwa.usalama wako operation inakuhusu
 
Wadau maji ni uhai. Kiukweli mimi huwa napingana sana na wazazi au walezi wasiowapa wattoto wachanga maji ya kunywa. Hata wao huwa wanasikia kiu maana maziwa ya mama ni chakula, mtu anakulaje chakula bila maji?

Nadhani wengi wanaogopa kuwapa watoto wao maji kutokana na maandaliz yasiyo safi. Mie wa kwangu alianza kunywa maji baada ya siku 2 tangu kuzaliwa mpaka sasa ana 12yrs, Ni mtoto mwenye afya na hajawahi kulazwa kwa ajili ya homa kali alipokuwa mdogo mpaka sasa.

Ushauri wangu ingawa mie sio Dr. Maji ni muhimu kwa watoto ila zingatia usafi sana, hii husaidia mtoto kutopungukiwa maji mwilini pindi apatapo homa.
Unayosema ni kweli

Wangu alianza maji toka day 2 (maana alianza na maziwa ya kopo na huwa mazito hayachelewi kuwasumbua choo) ila ni tumaji twenye uvuguvugu kwa mbaaali
 
Maji ni muhimu kwa watoto, nina uzoefu hata mtoto akizaliwa hospitali na maziwa ya mama kuchelewa kutoka wakunga humpa maji, mpaka hapo daktari atakaporuhusu maziwa mbadala kwa kipindi kinachofuata ingawa siku hizi unapomuandaa mzazi na kumpeleka kwa ajili ya kujifungua ni vizuri wenza na walezi kuzungumza na kuandaa maziwa mbadala yawepo kabla hayajatakiwa kwakuwa uzazi ni mchakato.

Kuhusu kwanini katika kliniki wanasisitiza mtoto asipewe chochote ukweli ni hasa USAFI. Kuna familia mpaka leo hazichemshi maji ya kunywa kwa mtoto ni hatari zaidi. Pia vyombo vya mtoto lazima vitengwe, kuwabadilisha watu hapa ni kaziii. Vyombo vya mtoto baada ya kuoshwa vizuri na maji na sabuni na kusuuzwa vizuri ni muhimu vichemshwe, hakika hapa ndio kwenye changamoto bado watu wengi wanaona sio muhimu....

Ukweli ukiamua kuanza kumpa mtoto chochote zaidi ya maziwa ya mama hakikisha unafuata kanuni za afya kila unapomuandalia mtoto chochote ikiwemo kunawa mikono vizuri kwa maji safi na sabuni...Tusijisahau..
 
Nimepitia pitia pitia na kukutana na haya machache yanayoambukiza homa ya manjano
-Ngono isiyo salama na bila kinga
-kunyonyana ndimu
-Kuwekewa damu isiyo salama
-kuchangia vitu vyenye ncha kali
Nb: mama mjamzito mwenye maambukizi ya ugonjwa wa manjano huweza kumwambukiza mtoto wakati wa kujifungua
My kunyonyana ndimu ndo nn?
Samahani sijafahamu usije ona natania.
 
Back
Top Bottom