jwhizzy
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 680
- 389
Asante mkuu ngoja nijaribu nione maana hatulali kabisa na mchana nikumbeba tuu.Kwa ushauri wangu binafsi jaribu tiba ya kitunguu saumu...kiponde kisha mpake kwenye nyayo viganjani tumboni na kwenye paji la uso