Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Haya haya,mtoto wangu hapendi kula wala kunywa uji ama maziwa,anakunywa juice tu na kunyonya.Nipeni mbinu.
Umri miezi saba
Mshana Jr
 
Habari waungwana. Hivi mnadeal vipi na mtoto ambae ana jeuri? Ni mtoto wa kiume miaka 4 ukimkataza kitu anakirudia tena huku anakutazama usoni like kuona reaction yako. Ukimtandika anaenda kufanya kitu kingine ambacho anajua pia huwa unamkataza kufanya na anafanya kwa vurugu kweli kweli, Mwanzoni mama yake alikuwa ni harsh yaani hadekezi mtoto lakini dogo akawa na jeuri, mama akajaribu kuwa mpole na kumwambia vitu kwa upole na kutomtandika sana hata akikosea bado dogo ndo kama alizidisha kuwa jeuri. Hivi sasa mama yake yuko harsh nae lakini mwendo ni uleule dogo hasikii.
Mnadeal vipi jamani na hii tabia?
 
Haya haya,mtoto wangu hapendi kula wala kunywa uji ama maziwa,anakunywa juice tu na kunyonya.Nipeni mbinu.
Umri miezi saba
Mshana Jr
Ukitaka mtoto ale inabidi sometimes ujichetue akili uwe ka mtoto, umwimbieimbie akiwa anakushangaa unamwekea kijiko hivohivo utashangaa anamaliza pia jaribu kumbadilishia mlo kila siku usimpe uji kila siku asubuhi unaweza mpa mtori wa ndizi na viazi mixer nyama kama finyango kadhaa na supu yake then unablend, akilala akiamka mpe smooth ya parachichi, embe na ndizi unaweza tia yogurt, siku nyingine ndizi mzuzu ile ya kuiva unaisteam au unaichemsha kidogo ikiiva unaacha inapoa unaweka parachichi na maziwa/yogurt unablend , au viazi mbatata unachemsha vikipoa unablend na yai la kienyeji la kuchemsha .
Watoto wanapenda vyakula tofauti ladha moja huwa zinawachosha. Lakini pia unaweza ukawa unamshikisha vyakula vilaini au matunda kama tikiti anakula mwenyewe .
 
Ukitaka mtoto ale inabidi sometimes ujichetue akili uwe ka mtoto, umwimbieimbie akiwa anakushangaa unamwekea kijiko hivohivo utashangaa anamaliza pia jaribu kumbadilishia mlo kila siku usimpe uji kila siku asubuhi unaweza mpa mtori wa ndizi na viazi mixer nyama kama finyango kadhaa na supu yake then unablend, akilala akiamka mpe smooth ya parachichi, embe na ndizi unaweza tia yogurt, siku nyingine ndizi mzuzu ile ya kuiva unaisteam au unaichemsha kidogo ikiiva unaacha inapoa unaweka parachichi na maziwa/yogurt unablend , au viazi mbatata unachemsha vikipoa unablend na yai la kienyeji la kuchemsha .
Watoto wanapenda vyakula tofauti ladha moja huwa zinawachosha. Lakini pia unaweza ukawa unamshikisha vyakula vilaini au matunda kama tikiti anakula mwenyewe .
Ubarikiwe sana
 
Haya haya,mtoto wangu hapendi kula wala kunywa uji ama maziwa,anakunywa juice tu na kunyonya.Nipeni mbinu.
Umri miezi saba
Mshana Jr
So sorry ndio naiona hii leo.. Usiwalazimishe chakula bali huohuo uji hakikisha uko balanced
 
Haya haya,mtoto wangu hapendi kula wala kunywa uji ama maziwa,anakunywa juice tu na kunyonya.Nipeni mbinu.
Umri miezi saba
Mshana Jr
So sorry ndio naiona hii leo.. Usiwalazimishe chakula bali huohuo uji hakikisha uko balanced
Habari waungwana. Hivi mnadeal vipi na mtoto ambae ana jeuri? Ni mtoto wa kiume miaka 4 ukimkataza kitu anakirudia tena huku anakutazama usoni like kuona reaction yako. Ukimtandika anaenda kufanya kitu kingine ambacho anajua pia huwa unamkataza kufanya na anafanya kwa vurugu kweli kweli, Mwanzoni mama yake alikuwa ni harsh yaani hadekezi mtoto lakini dogo akawa na jeuri, mama akajaribu kuwa mpole na kumwambia vitu kwa upole na kutomtandika sana hata akikosea bado dogo ndo kama alizidisha kuwa jeuri. Hivi sasa mama yake yuko harsh nae lakini mwendo ni uleule dogo hasikii.
Mnadeal vipi jamani na hii tabia?
Kuna kitu alipitia ama anapitia.. Tenga muda wa kutosha wa kuongea naye mambo ya kawaida kabisa kuna mengi utagundua muweke karibu sana nawe.. Huo ukaidi ni defensive mechanism ya kitu kilichojificha nyuma yake
 
Kiuhalisia na ndiyo ukweli usiopingika jamii ya sasa tumekosa elimu ya FAMILIA NA MALEZI kiujumla tumeshindwa kuendana na kasi ya mabadiliko ya kidunia malezi ya mtoto wa miaka 2 siyo malezi ya mtoto wa miaka 4
Kama Mr Masha Jr alivyosema malezi ya mtoto huanza tangu tumboni na elimu ni jambo Pana
Pia muhimu kila mtu kwa Imani yake Tumuombe Mwenyezi Mungu atusaidie katika malezi ya jamii yetu kwa ujumla
 
Kosa huwa linaanza na mimba za kuviziana au kukomoana. Mwanamke anashika ujauzito na hajawahi kukaa chini na mwanaume wakakubaliana kuwa sasa tupate mtoto. Haya maamuzi huwa yanakuja kugharimu sana malezi ya mtoto mbeleni.

Unakuta mwanaume anakuja kuwa kisirani anagoma hata kumnunulia mtoto diapers kitu ambacho ukitenga laki moja tu mtoto anapata mzigo wa kukimbiza miezi kuanzia miwili na zaidi (kama mwanamke ana akili timamu maana wengine ukimnunulia full package anagawa kwa ndugu na mashoga zake utadhani yeye ni UNICEF).

Mahusiano mazuri kati ya baba na mama ndio chanzo cha malezi bora ya mtoto. Nasikitika sana kwa sasa wazazi wengi wanaleta watoto katika mazingira tatanishi sana halafu wanaanza kututesea watoto. Mtoto wa mwaka na miezi anapelekwa Day care anakaa tokea asubuhi anarudishwa jioni hamuoni baba wala mama. Huyu mtoto utimamu wake hauwezi kuwa sawa baadae maana anapitia trauma ambayo hata wanyama hawaipitii utotoni.

Pia haya malezi ya mzazi m'moja ifike wakati sasa tuyakemee na kuweka ukomo wake kuanzia 2025. Wanaume msizae na wanawake ambao mnajua kabisa hautaweza kufanya nae maisha wala familia. Imagine yule kijana aliyezaa na Gigy Money alikuwa anatumia akili ya aina gani? Giggy money kabisa unakwenda kukojolea ndani unategemea kitu gani kutokea? Kama lengo ilikuwa ni kula mzigo sawa kula but usije ukarisk na kujiachia hadi mtoto anapatikana then useme ni bahati mbaya. Kuna wanawake kupiga na kuachana nao kama daladala,na kuna wanawake ambao unajua huyu hata kama hajui kitu nitaweza muongoza na kumpanga tukaenda.

Na mabinti,acheni mahusiano ya kuwa desperate. Kuna nyuzi kibao zinaelekeza mahusiano sahihi na namna ya kuanza vizuri na mwanaume. Ukizifuata hautakuwa na haja ya kurukia wahuni,wanaume za watu au wapigaji watakao kuharibia future ya kujenga familia bora.

Nina mengi zaidi ya kusema ila kwa leo ntaishia hapa.
 
Mnadeal vipi na mtoto anaetaka kubebwa Tu kila saa na kulia Lia ovyo 10 month
Mtoto wa umri huo kulilia kubebwa ni jambo la kawaida kwasababu bado anahitaji uwepo wa mzazi kumsaidia kumove haraka kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Anakutegemea kwa ulinzi kumbuka bado hayadevelope uwezo wake wa kujitegemea mwenyewe kama binadamu kamili.

Ukitaka mtoto asiwe na hiyo hali basi kuwepo na watu wengine wanaompatia attention na atawaamini kumbeba na kumove nae kutoka sehemu moja kwenda nyingine. Mtoto akishawaamini basi hatakuwa anakutegemea wewe pekee yako kumove haraka. Na utagundua mokono ya kumbeba ikiwa mingi ataanza kuchukia kubebwa atakuwa anafosi kutembea mwenyewe hadi atakapochoka na kuanza kuomba kubebwa tena.

So ni kawaida,weka mbeleko hiyo ubebe mtoto. Mama ni jukumu lake kubeba mtoto muda wote bila kuchoka,wewe mbona ulibebwa sana.
 
mshana jr hiyo ya kumvisha mtoto nguo nyingi sijaelewa, wengne wanasema hiyo ndo inafaa
Lengo la kumvalisha mtoto nguo nzito ni kumkinga na baridi ili asipate pneumonia au homa ya mapafu. Sasa unapoona upo mazingira ambayo hata wewe unaona ni joto why unamfunika mtoto manguo mengi hadi anasweat?

Joto lina hisika kwa urahisi sana unajua kuwa hapa kuna joto eneo hili. Ukiona joto eneo ulipo then usimvalishe mtoto manguo mengi ambayo yatampa joto zaidi unaweza m'suffocate. Mnunulie nguo nyepesi za kuvaa mazongira yenye joto,ukiona ubaridi umeanza au kuna watu wanakwambia kuna baridi then unaweza mkinga na blankets zake za kumpa joto.
 
Kati ya mambo yanayonikosesha raha ni jinsi hawa madriver wa hizi school bus walivyokosa umakini waendeshapo watoto wetu.

Nilshuhudia ajali ya bus la shule iliopelekea kupoteza uhai wa watoto watatu hapo hapo...niliumia mno na siwezi sahau tukio lile.

Toka siku hiyo huwa najitahidi sana asubuh kuhakikisha na wadrop watoto wangu shuleni kwao mwenyewe nimeshindwa tu kuwachukua jioni.

Kweli kuna changa moto sana kumlea mtoto hadi akue
Shule nzuri nazo ni changamoto,unakuta shule ipo kilometers 20 kutoka nyumbani lazima mtoto apate shida.
 
Japo tunadhani kuwa changamoto za malezi ya mimba ni nyingi lakini kiuhalisia changamoto kubwa na za muda mrefu ni baada ya mtoto kuzaliwa mpaka atoke kwenye kile kipindi cha 'danger zone'
Kulea ujauzito hadi kujifungua pale kazi hakuna, MUNGU aepushie mbali majanga ya wodini wakati wa kujifungua ila mtoto akishatoka ndio balaa linaanza especially kwa mwanaume huyo kiumbe ni unaenda nae sambamba hadi unazeeka. So usipokuwa makini kuharibu ni rahisi sana.
 
Kosa huwa linaanza na mimba za kuviziana au kukomoana. Mwanamke anashika ujauzito na hajawahi kukaa chini na mwanaume wakakubaliana kuwa sasa tupate mtoto. Haya maamuzi huwa yanakuja kugharimu sana malezi ya mtoto mbeleni.

Unakuta mwanaume anakuja kuwa kisirani anagoma hata kumnunulia mtoto diapers kitu ambacho ukitenga laki moja tu mtoto anapata mzigo wa kukimbiza miezi kuanzia miwili na zaidi (kama mwanamke ana akili timamu maana wengine ukimnunulia full package anagawa kwa ndugu na mashoga zake utadhani yeye ni UNICEF).

Mahusiano mazuri kati ya baba na mama ndio chanzo cha malezi bora ya mtoto. Nasikitika sana kwa sasa wazazi wengi wanaleta watoto katika mazingira tatanishi sana halafu wanaanza kututesea watoto. Mtoto wa mwaka na miezi anapelekwa Day care anakaa tokea asubuhi anarudishwa jioni hamuoni baba wala mama. Huyu mtoto utimamu wake hauwezi kuwa sawa baadae maana anapitia trauma ambayo hata wanyama hawaipitii utotoni.

Pia haya malezi ya mzazi m'moja ifike wakati sasa tuyakemee na kuweka ukomo wake kuanzia 2025. Wanaume msizae na wanawake ambao mnajua kabisa hautaweza kufanya nae maisha wala familia. Imagine yule kijana aliyezaa na Gigy Money alikuwa anatumia akili ya aina gani? Giggy money kabisa unakwenda kukojolea ndani unategemea kitu gani kutokea? Kama lengo ilikuwa ni kula mzigo sawa kula but usije ukarisk na kujiachia hadi mtoto anapatikana then useme ni bahati mbaya. Kuna wanawake kupiga na kuachana nao kama daladala,na kuna wanawake ambao unajua huyu hata kama hajui kitu nitaweza muongoza na kumpanga tukaenda.

Na mabinti,acheni mahusiano ya kuwa desperate. Kuna nyuzi kibao zinaelekeza mahusiano sahihi na namna ya kuanza vizuri na mwanaume. Ukizifuata hautakuwa na haja ya kurukia wahuni,wanaume za watu au wapigaji watakao kuharibia future ya kujenga familia bora.

Nina mengi zaidi ya kusema ila kwa leo ntaishia hapa.
I wish kila mtu aisome hii
 
Back
Top Bottom