Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #1,161
Basi fuata maelekezo ya Unforgettable yamenyooka na yako kitaalam zaidiBado ana nyonya ni miezi miwili sahv na week 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi fuata maelekezo ya Unforgettable yamenyooka na yako kitaalam zaidiBado ana nyonya ni miezi miwili sahv na week 3
Haya shukranBasi fuata maelekezo ya Unforgettable yamenyooka na yako kitaalam zaidi
Asante sana naomba nitarejeaJamani wakulu,naona mnajadili sana kuhusu afya ya kimwili sana kwa watoto wetu,hivi mnaonaje mkagusia kidogo hili suala mtambuka la ugaynism kwa watoto wetu wa kiume hasa hasa huko mashuleni,tuwalindaje madogo manake kwa kweli hali ni mbaya,ripoti ya mwakyembe imenishtua sana mtima wanje
Sawa sawa mkuuAsante sana naomba nitarejea
Kuna haya machache nayo ni ya kuzingatia mnoSawa sawa mkuu
hivi ndivyo mzee wangu alivyonihusia........Jamani wakulu,naona mnajadili sana kuhusu afya ya kimwili sana kwa watoto wetu,hivi mnaonaje mkagusia kidogo hili suala mtambuka la ugaynism kwa watoto wetu wa kiume hasa hasa huko mashuleni,tuwalindaje madogo manake kwa kweli hali ni mbaya,ripoti ya mwakyembe imenishtua sana mtima wanje
Vitu kama vitu gani mkuu?hivi ndivyo mzee wangu alivyonihusia........
[03/04, 19:52] :
La msingi msikubali watoto waje na vitu eti wamepewa shuleni vikataeni wasivitumie kama ukivitilia wasiwasi. Hizi shule kwa sasa ni za LGBTQ!
[03/04, 19:53]
Watoto wanafundishwa ushoga! Kaeni na watoto jueni tabia zao ukiona kuna mabadiliko huyaelewi chukua hatua!
Naweza nikaongezeaKuna haya machache nayo ni ya kuzingatia mno
. Wasaidizi nyumbani, lazima ujenge tabia ya kutotabirika muda wa kurejea home na uwe mchunguzi wa vitu vidogo vidogo hasa mwendo wa mtoto, tabia zake, mikao yake nk
. Ukaribu na wasaidizi wa nyumbani na watoto pia ni muhimu kuufuatilia kwa karibu
. Ndugu wanaoshinda nyumbani hasa wa kiume jitahidi kuweka mipaka na watoto, hasa kwenye ishu ya kulala pamoja hilo likatae kwa asilimia 100
. Mashuleni
Jiridhishe na historia ya shule hasa kwenye upande wa kashfa mbalimbali
. Muda wao kuingia na kutoka
. Muda wa mapumziko
. Marafiki zake shuleni, mtaani na nyumbani
. Ukaribu wake na walimu wake
. Ukaribu na walimu wake wa dini
. Vitu anavyopendelea je ni sahihi kwa jinsia yake? Nknk
Surehivi ndivyo mzee wangu alivyonihusia........
[03/04, 19:52] :
La msingi msikubali watoto waje na vitu eti wamepewa shuleni vikataeni wasivitumie kama ukivitilia wasiwasi. Hizi shule kwa sasa ni za LGBTQ!
[03/04, 19:53]
Watoto wanafundishwa ushoga! Kaeni na watoto jueni tabia zao ukiona kuna mabadiliko huyaelewi chukua hatua!
Sasa wewe upo kwenye chumba ambacho joto lake na wewe unasweat halafu unasema mtoto anasikia baridi inatoka wapo hiyo baridi?mshana jr hiyo ya kumvisha mtoto nguo nyingi sijaelewa, wengne wanasema hiyo ndo inafaa
Balaa linaanzia kuanza kushika ujauzito bila kupanga nini kitakwenda vipi huko mbeleni.Wazazi wengi siku hizi hatuna muda na watoto wetu... Watoto wamekuwa ni wa wadada wa kazi na walimu, makuzi ya mtoto kiakili na kimaadili yanahitaji uwepo na ukaribu wa mtoto kuliko mtu mwingine yeyote yule.
Pamoja na harakati za kimaisha lakini ni vema ni muhimu na kuna wakati kutenga muda wa kukaa na familia yako ili kile ukitafutacho kiwe na manufaa na baraka mbeleni.
Dada wa kazi ana sehemu yake na majukumu yake ambayo ni 1/4
Mwalimu ana sehemu yake na majukumu yake ambayo ni 1/4 pia
Mzazi ana majukumu yake ambayo ni 1/2
Kwahiyo kama mzazi usibweteke nusu nzima ya malezi ya mtoto inakuhusu wewe.
Na hii ni hatari sana. Hiki kizazi cha wanawake na wanaume wa sasa sijui watakuja wafundisha nini watoto wao aisee mimi nahofia sana .Ni kweli mshana jr, itakuwa nzuri maana wazazi wengi wa Kileo kila kitu wanajifunza ukubwani, naamini tutasaidiana kujua malezi ya wanetu...
Tatizo wanakabidhi madereva wa bodaboda na bajaji kuendesha magari ya shule jambo ambalo ni negligence na irresponsibility.Kati ya mambo yanayonikosesha raha ni jinsi hawa madriver wa hizi school bus walivyokosa umakini waendeshapo watoto wetu.
Nilshuhudia ajali ya bus la shule iliopelekea kupoteza uhai wa watoto watatu hapo hapo...niliumia mno na siwezi sahau tukio lile.
Toka siku hiyo huwa najitahidi sana asubuh kuhakikisha na wadrop watoto wangu shuleni kwao mwenyewe nimeshindwa tu kuwachukua jioni.
Kweli kuna changa moto sana kumlea mtoto hadi akue
Tuendelee na kumuomba Mungu pia....Na hii ni hatari sana. Hiki kizazi cha wanawake na wanaume wa sasa sijui watakuja wafundisha nini watoto wao aisee mimi nahofia sana .