Dodo86
Member
- Oct 23, 2018
- 99
- 83
Insitwaje? Niko karibu na Nakiete ya Mwenge sababu naishi SinzaKama uko sehem ambapo NAKIETE wapo, nenda wanadawa ya mafua nzuri kweli unampakia anapolala
Wanauza kimoja 2,000
Pia hakikisha usafi muda wote sehem anapolala kusiwe na hali ya vumbi vumbi