Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

Kwa wazazi na walezi: Mada maalum ya watoto

IMG-20220801-WA0121.jpg
 
Naombeni mnisaidie hili,umri sahihi wakutenganisha watoto vyumba kulingana na jinsia zao ni upi.
 
Ndugu Wazazi/Walezi. Hii ni kukuarifu kuwa kituo cha katuni cha Nickelodeon kuanzia jana Jumamosi tarehe 20 Agosti, 2022 kimeanza kuwaonyesha wanandoa wapenzi wa jinsia moja kwenye moja ya mfululizo wao uitwao The Loud House.

Tafadhali tuangalie kila wakati watoto wetu wanatazama nini. Mungu atubariki sote ...Nilipokea hii na kuangalia mtandaoni. .Ni kweli! Kwa sasa chaneli ya Nickelodeon the Children inaendesha mfululizo wa katuni ili kutangaza Ushoga miongoni mwa watoto. Jina la katuni ni "Loud House". Mnamo 2014 walitoa katuni iliyopewa jina la "The Legend of Korra" ili kukuza mapenzi ya jinsia mbili. Mfululizo huo ni onyesho la kwanza la Nickelodeon katika historia kuangazia wenzi wa ndoa wa jinsia moja.

Uamuzi wa kuangazia wenzi wa ndoa wa jinsia moja kwenye mpango wa watoto unaripotiwa kuwa na maoni mazuri sana. Nani anajua nini kitatolewa baadaye! JIHADHARI na kile ulichonacho nyumbani kwako ambacho kinaweza kuwapoteza watoto wako. JUA AINA YA KATUNI WANAZOANGALIA WATOTO WAKO. TAFADHALI ZUIA CHANNEL HII AU UZUIE WATOTO WAKO KUITAZAMA HII!!! SHARE HII PLS!! HIKI NI KIPINDI CHA SIKUKUU NA TUNAHITAJI KUWA MAKINI
 
Ndugu Wazazi/Walezi. Hii ni kukuarifu kuwa kituo cha katuni cha Nickelodeon kuanzia jana Jumamosi tarehe 20 Agosti, 2022 kimeanza kuwaonyesha wanandoa wapenzi wa jinsia moja kwenye moja ya mfululizo wao uitwao The Loud House. Tafadhali tuangalie kila wakati watoto wetu wanatazama nini. Mungu atubariki sote ...Nilipokea hii na kuangalia mtandaoni. .Ni kweli! Kwa sasa chaneli ya Nickelodeon the Children inaendesha mfululizo wa katuni ili kutangaza Ushoga miongoni mwa watoto. Jina la katuni ni "Loud House". Mnamo 2014 walitoa katuni iliyopewa jina la "The Legend of Korra" ili kukuza mapenzi ya jinsia mbili. Mfululizo huo ni onyesho la kwanza la Nickelodeon katika historia kuangazia wenzi wa ndoa wa jinsia moja. Uamuzi wa kuangazia wenzi wa ndoa wa jinsia moja kwenye mpango wa watoto unaripotiwa kuwa na maoni mazuri sana. Nani anajua nini kitatolewa baadaye! JIHADHARI na kile ulichonacho nyumbani kwako ambacho kinaweza kuwapoteza watoto wako. JUA AINA YA KATUNI WANAZOANGALIA WATOTO WAKO. TAFADHALI ZUIA CHANNEL HII AU UZUIE WATOTO WAKO KUITAZAMA HII!!! SHARE HII PLS!! HIKI NI KIPINDI CHA SIKUKUU NA TUNAHITAJI KUWA MAKINI

Shukran sana mkuu!
 
Jamani wakubwa mwanangu anasumbuliwa sana na mafua ni dawa gani nzuri inaweza mtibu yasiwe yanaludi mala kwa mala. Ana miezi 9
 
Jamani wakubwa mwanangu anasumbuliwa sana na mafua ni dawa gani nzuri inaweza mtibu yasiwe yanaludi mala kwa mala. Ana miezi 9
Nashauri onana na Dr bingwa pengine ana allergy na vitu fulani hapo nyumbani
 
Juzi kati nilikua nimekaa maeneo flani na washkaji!

Ktk piga piga stori tukajikuta tumezama kwny ishu ya ushoga na hii ni baada ya jamaa mmoja kipande cha mtu kukatiza karibu na meza yetu. Mi nilivyompiga jicho yule jamaa mikato yake nikawaambia jamaa zangu,huyu mtu mbona kama 'sio sio'?

Ndo stori zikaanzia hapo!!
Pale kulikua na mdada wale washikaji wako naye ofisi moja!!

Yule mdada akaanza kutupa mkasa wake. Anasema yy ana watoto wawili wote wakike!!
Amekaa takribani miaka 4 toka ajifungue mtoto wake wa mwisho!!
2020 akawa anataka apate mtoto lkn wa kiume!
Akaenda kuonana na Daktari wake AghaKhan!!
Daktari akamuuliza kipindi chote alichokaa bila kuzaa alikua anatumia njia gani kuzuia ujauzito!?
Akajibu alikua anatumia vidonge vinaitwa P2.

Daktari akamshauri nakumwambia vidonge hivyo si vizuri sababu ukipata mtoto wa kiume baada ya matumizi ya P2 kwa muda mrefu mara nyingi zinafanya homoni za kiume ziwe chini mno hivyo ukipata mtoto wa kiume mwny homoni chache za kiume mara nyingi na asilimia kubwa utaweza pata mtoto mwenye uelekeo wa ushoga!

Dada anasema kuthibitisha hilo wakafanya vipimo na majibu yakawa vilevile alivyosema Daktari!!
Daktari akamshauri kuna dawa atumie kwa miaka miwili baada ya hapo ndo anaweza akapata mtoto wa kiume mwenye asilimia kubwa na homoni za kiume. Dada anasema sasa kashamaliza dozi na kapima kila kitu kiko sawa.

Kiukweli niliondoka pale nikiwa na mawazo na maswali lukuki!!
Nasikia hizi dawa zinatumika sana uswahili,kama hii stori aliyotoa yule dada ina ukweli basi baada ya miaka kadhaa hali itakua mbaya sana. Wataalamu wa afya hebu tuwekeni sawa kwenye hili otherwise tunatengeneza kizazi kijacho cha hatari hasa upande wa ushoga!!

Nawasilisha!!

Wapendwa mimi sina uhakika na hili lakini nimeogopa na siwezi kukaa nalo kimya.Hebu na nyie lioneni na wale walioko kwenye mazingira hayo mjue cha kufanya
 
Juzi kati nilikua nimekaa maeneo flani na washkaji!!
Ktk piga piga stori tukajikuta tumezama kwny ishu ya ushoga na hii ni baada ya jamaa mmoja kipande cha mtu kukatiza karibu na meza yetu!!
Mi nilivyompiga jicho yule jamaa mikato yake nikawaambia jamaa zangu,huyu mtu mbona kama 'sio sio'?
Ndo stori zikaanzia hapo!!
Pale kulikua na mdada wale washikaji wako naye ofisi moja!!

Yule mdada akaanza kutupa mkasa wake!!

Anasema yy ana watoto wawili wote wakike!!
Amekaa takribani miaka 4 toka ajifungue mtoto wake wa mwisho!!
2020 akawa anataka apate mtoto lkn wa kiume!
Akaenda kuonana na Daktari wake AghaKhan!!
Daktari akamuuliza kipindi chote alichokaa bila kuzaa alikua anatumia njia gani kuzuia ujauzito!?
Akajibu alikua anatumia vidonge vinaitwa P2!!
Daktari akamshauri nakumwambia vidonge hivyo si vizuri sababu ukipata mtoto wa kiume baada ya matumizi ya P2 kwa muda mrefu mara nyingi zinafanya homoni za kiume ziwe chini mno hivyo ukipata mtoto wa kiume mwny homoni chache za kiume mara nyingi na asilimia kubwa utaweza pata mtoto mwenye uelekeo wa ushoga!!
Dada anasema kuthibitisha hilo wakafanya vipimo na majibu yakawa vilevile alivyosema Daktari!!
Daktari akamshauri kuna dawa atumie kwa miaka miwili baada ya hapo ndo anaweza akapata mtoto wa kiume mwenye asilimia kubwa na homoni za kiume!!
Dada anasema sasa kashamaliza dozi na kapima kila kitu kiko sawa!!
Kiukweli niliondoka pale nikiwa na mawazo na maswali lukuki!!
Nasikia hizi dawa zinatumika sana uswahili,kama hii stori aliyotoa yule dada ina ukweli basi baada ya miaka kadhaa hali itakua mbaya sana!!
Wataalamu wa afya hebu tuwekeni sawa kwenye hili otherwise tunatengeneza kizazi kijacho cha hatari hasa upande wa ushoga!!

Nawasilisha!!

Wapendwa mimi sina uhakika na hili lakini nimeogopa na siwezi kukaa nalo kimya.Hebu na nyie lioneni na wale walioko kwenye mazingira hayo mjue cha kufanya
Sio kweli
 
Kuna dawa inaitwa SINAREST , ni vidonge hebu kivunje kidonge kimoja na na umpatie robo kila masaa 6 tuone japo mafua Og ni viral (Virus) nao ni nadra kupata dawa ya kuwauwa . Dawa zitolewazo mara nyingi ni za kusaidia mwili kupambana na virus hivyo kwa ujumla body defense mechanism kukiwa hakuna homa ,hufanya kazi vizuri
 
Back
Top Bottom